-
Uganda yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa Ebola ulioua makumi
Jan 11, 2023 11:15Uganda imetangaza habari ya kudhibitiwa na kutokomezwa mlipuko wa Ebola ambao umeua makumi ya watu nchini humo tangu Septemba mwaka uliomalizika 2022.
-
Afrika CDC: Mlipuko wa Ebola nchini Uganda "unadhibitika"
Oct 27, 2022 13:00Shirika la juu zaidi la afya ya umma barani Afrika (Afrika CDC) limetangaza leo Alhamisi kwamba mlipuko wa Ebola nchini Uganda bado unadhibitiwa, licha ya kuongezeka kwa kesi za maambukizi ya ugonjwa huo hadi katika mji mkuu, Kampala.
-
Afrika CDC: Mripuko wa Ebola Uganda unaweza kudhibitiwa
Oct 21, 2022 04:13Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema kuna hatari ya mripuko wa Ebola unaoshuhudiwa nchini Uganda kusambaa katika nchi nyingine, lakini msambao huo unaweza kudhibitiwa hivi sasa.
-
Idadi ya wahanga wa Ebola yazidi kuongezeka Uganda
Oct 19, 2022 08:03Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza kuhusu kuongezeka idadi ya watu wanaoga dunia kwa ugonjwa wa Ebola nchini humo.
-
Uganda yafunga wilaya 2 ili kudhibiti msambao wa Ebola
Oct 16, 2022 11:19Serikali ya Uganda imetangaza habari ya kuziweka wilaya mbili za nchi hiyo katika karantini, kwa lengo la kudhibiti mripuko wa virusi vya Ebola unaoshuhudia katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwa wiki kadhaa sasa.
-
Daktari Mtanzania aaga dunia kwa Ebola nchini Uganda
Oct 01, 2022 12:14Daktari mmoja raia wa Tanzania aliyekuwa akifanya kazi nchini Uganda ameaga dunia kutoka na ugonjwa wa Ebola.
-
DRC yatangaza kumalizika mripuko wa sasa wa Ebola
Sep 28, 2022 08:09Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kutokomezwa ugonjwa wa Ebola mashariki mwa nchi.
-
DRC yafanya kampeni ya chanjo baada ya Ebola kuripotiwa Beni
Aug 25, 2022 12:04Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Alkhamisi imezindua kampeni ya kutoa chanjo katika mji Beni, mashariki mwa nchi, baada ya kesi ya virusi hivyo kuthibitishwa katika mji huo.
-
WHO: Mripuko wa 14 wa Ebola katika jimbo la Equateur, DRC umetokomezwa
Jul 06, 2022 02:33Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa, mripuko wa Ebola uliotangazwa tarehe 23 mwezi Aprili mwaka huu huko Mbandaka, mji mkuu wa jimbo la Equateur katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umetokomezwa.
-
Ivory Coast yarekodi kisa cha kwanza cha Ebola katika miaka 25
Aug 15, 2021 13:28Waziri wa Afya wa Ivory Coast ametangaza kuwa nchi hiyo imesajili kisa cha kwanza cha virusi vya kutokwa na damu vya Ebola ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 25.