Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • WHO: Vituo vya Ebola Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo vimezidiwa

    WHO: Vituo vya Ebola Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo vimezidiwa

    Sep 10, 2026 02:47

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, vituo vya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo vimeelemewa kutokana na kuongezeka idadi ya maambukizi ya ugonjwa huuo.

  • Watu 5 waliopona Ebola waruhusiwa kurejea nyumbani Kongo huku idadi ya maambukizi ikipindukia 6,000

    Watu 5 waliopona Ebola waruhusiwa kurejea nyumbani Kongo huku idadi ya maambukizi ikipindukia 6,000

    Sep 01, 2026 14:15

    Watu watano waliopona ugonjwa wa Ebola jana waliruhusiwa kutoka katika kituo cha matibabu huko Béni, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • WHO: Mapigano yasitishwe DRC kwa angalau miezi sita ili kukomesha mripuko wa ebola

    WHO: Mapigano yasitishwe DRC kwa angalau miezi sita ili kukomesha mripuko wa ebola

    Aug 26, 2026 11:10

    Wakati mripuko wa ugonjwa wa ebola unaendelea kuenea kwa kasi ambayo haijawahi kushuhudiwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa wito wa kusitishwa mapigano kwa sababu za kibinadamu kwa muda wa angalau miezi sita, ili kuwezesha timu za afya kuwafikia watu walio katika hatari na kudhibiti kuenea kwa maambukizi ya ugonjwa huo hatari.

  • UN yaonya: Mlipuko wa Ebola nchini DR Congo 'unaongezeka kwa kasi' baada ya zaidi ya watu 2,500 kuaga dunia

    UN yaonya: Mlipuko wa Ebola nchini DR Congo 'unaongezeka kwa kasi' baada ya zaidi ya watu 2,500 kuaga dunia

    Aug 22, 2026 03:29

    Umoja wa Mataifa ulitangaza jana Ijumaa kwamba virusi vya Ebola vinaenea kwa kasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kuua zaidi ya watu 2,500, ukitoa wito wa kutolewa misaada zaidi na kuonya kwamba ufadhili uliotolewa hadi sasa utaisha ndani ya wiki chache.

  • Matumaini baada ya DRC kupokea dozi 70,000  za chanjo ya Ebola

    Matumaini baada ya DRC kupokea dozi 70,000 za chanjo ya Ebola

    Aug 21, 2026 10:22

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO, na Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa, Africa CDC, zimekaribisha uamuzi wa kuipatia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, dozi 70,000 za chanjo ya Ervebo ili kuimarisha mapambano dhidi ya mlipuko wa Ebola aina ya Bundibugyo.

  • WHO: Inawezekana kuitokomeza Ebola ndani ya miezi 3

    WHO: Inawezekana kuitokomeza Ebola ndani ya miezi 3

    Aug 19, 2026 09:12

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa bado kuna uwezekano wa kudhibiti mlipuko wa Ebola ambao unaenea kwa kasi inayopiku juhudi za kuuzuia, na ambao umekuwa mlipuko wa pili kwa ukubwa kuwahi kurekodiwa.

  • Mlipuko wa Ebola DRC sasa ni mbaya zaidi katika historia ya nchi hiyo

    Mlipuko wa Ebola DRC sasa ni mbaya zaidi katika historia ya nchi hiyo

    Aug 18, 2026 03:16

    Mlipuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umesababisha vifo vya watu 2,325 tangu mwezi Mei.

  • UN: Ebola inaua mtu mmoja kila baada ya nusu saa huko Congo DR

    UN: Ebola inaua mtu mmoja kila baada ya nusu saa huko Congo DR

    Aug 16, 2026 03:17

    Tom Fletcher, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Masuala ya Kibinadamu, ametangaza kwamba mlipuko wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo sasa unaua mtu mmoja kila baada ya nusu saa, akitoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kupambana na mlipuko huo.

  • Mlipuko wa Ebola Kongo wapindukia maambukizi 4,000

    Mlipuko wa Ebola Kongo wapindukia maambukizi 4,000

    Aug 08, 2026 02:42

    Idadi ya kesi za Ebola zilizothibitishwa hadi kufikia jana Ijumaa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zilikuwa zimepindukia 4,000 huku maeneo ya afya yaliyoathirika yakiongezeka.

  • Kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya Ebola DRC huku maambukizi yakienea

    Kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya Ebola DRC huku maambukizi yakienea

    Aug 06, 2026 03:49

    Kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kimefunguliwa wiki hii na wadau wa Umoja wa Mataifa ikiwa ni hatua inayolenga kuimarisha mwitikio dhidi ya mlipuko wa sasa wa virusi vya Ebola aina ya Bundibugyo unaoendelea kuenea kwa kasi katika jimbo la Ituri, mashariki mwa taifa hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS