Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Africa CDC: Kwa muda wa wiki moja, kesi za Ebola zimeongezeka zaidi ya maradufu mkoani Kasai, DRC

    Africa CDC: Kwa muda wa wiki moja, kesi za Ebola zimeongezeka zaidi ya maradufu mkoani Kasai, DRC

    Sep 12, 2025 10:27

    Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Maradhi, (Africa CDC) kimetangaza kuwa, idadi ya watu wanaoshukiwa kuwa na ugonjwa hatari wa Ebola katika jimbo la Kasai kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka zaidi ya maradufuu katika muda wa wiki moja tangu ulipothibitishwa mripuko mpya wa ugonjwa huo katika eneo hilo.

  • DRC yatangaza mripuko wa 16 wa Ebola; WHO yatoa indhari

    DRC yatangaza mripuko wa 16 wa Ebola; WHO yatoa indhari

    Sep 05, 2025 10:38

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza mripuko mpya wa Ebola katika jimbo la kati la Kasai, ambalo ni la 16 nchini humo tangu 1976, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) likitahadharisha kuwa huenda maambukizi ya maradhi hayo yakaongezeka.

  • Uganda yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa Ebola ulioua makumi

    Uganda yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa Ebola ulioua makumi

    Jan 11, 2023 11:15

    Uganda imetangaza habari ya kudhibitiwa na kutokomezwa mlipuko wa Ebola ambao umeua makumi ya watu nchini humo tangu Septemba mwaka uliomalizika 2022.

  • Afrika CDC: Mlipuko wa Ebola nchini Uganda

    Afrika CDC: Mlipuko wa Ebola nchini Uganda "unadhibitika"

    Oct 27, 2022 13:00

    Shirika la juu zaidi la afya ya umma barani Afrika (Afrika CDC) limetangaza leo Alhamisi kwamba mlipuko wa Ebola nchini Uganda bado unadhibitiwa, licha ya kuongezeka kwa kesi za maambukizi ya ugonjwa huo hadi katika mji mkuu, Kampala.

  • Afrika CDC: Mripuko wa Ebola Uganda unaweza kudhibitiwa

    Afrika CDC: Mripuko wa Ebola Uganda unaweza kudhibitiwa

    Oct 21, 2022 04:13

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema kuna hatari ya mripuko wa Ebola unaoshuhudiwa nchini Uganda kusambaa katika nchi nyingine, lakini msambao huo unaweza kudhibitiwa hivi sasa.

  • Idadi ya wahanga wa Ebola yazidi kuongezeka Uganda

    Idadi ya wahanga wa Ebola yazidi kuongezeka Uganda

    Oct 19, 2022 08:03

    Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza kuhusu kuongezeka idadi ya watu wanaoga dunia kwa ugonjwa wa Ebola nchini humo.

  • Uganda yafunga wilaya 2 ili kudhibiti msambao wa Ebola

    Uganda yafunga wilaya 2 ili kudhibiti msambao wa Ebola

    Oct 16, 2022 11:19

    Serikali ya Uganda imetangaza habari ya kuziweka wilaya mbili za nchi hiyo katika karantini, kwa lengo la kudhibiti mripuko wa virusi vya Ebola unaoshuhudia katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwa wiki kadhaa sasa.

  • Daktari Mtanzania aaga dunia kwa Ebola nchini Uganda

    Daktari Mtanzania aaga dunia kwa Ebola nchini Uganda

    Oct 01, 2022 12:14

    Daktari mmoja raia wa Tanzania aliyekuwa akifanya kazi nchini Uganda ameaga dunia kutoka na ugonjwa wa Ebola.

  • DRC yatangaza kumalizika mripuko wa sasa wa Ebola

    DRC yatangaza kumalizika mripuko wa sasa wa Ebola

    Sep 28, 2022 08:09

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kutokomezwa ugonjwa wa Ebola mashariki mwa nchi.

  • DRC yafanya kampeni ya chanjo baada ya Ebola kuripotiwa Beni

    DRC yafanya kampeni ya chanjo baada ya Ebola kuripotiwa Beni

    Aug 25, 2022 12:04

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Alkhamisi imezindua kampeni ya kutoa chanjo katika mji Beni, mashariki mwa nchi, baada ya kesi ya virusi hivyo kuthibitishwa katika mji huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS