Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Walinda amani watatu wafariki dunia katika ajali ya helikopta nchini Sudan

    Walinda amani watatu wafariki dunia katika ajali ya helikopta nchini Sudan

    Feb 10, 2019 04:06

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, walinda usalama watatu wamepoteza maisha baada ya helikopta ya kijeshi ya Ethiopia kupata ajali ndani ya kituo cha askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa (UNISFA), kwenye eneo lenye mzozo la Abyei katika mpaka wa Sudan na Sudan Kusini.

  • Shambulizi la kigaidi laua askari kadhaa wa Ethiopia nchini Somalia

    Shambulizi la kigaidi laua askari kadhaa wa Ethiopia nchini Somalia

    Feb 02, 2019 21:57

    Mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa garini umeua watu kadhaa wakiwemo wanajeshi wa Ethiopia huko kusini mwa Somalia.

  •  Wayahudi wenye asili ya Ethiopia waandamana Tel Aviv kupinga ukatili wa polisi wa Kizayuni

    Wayahudi wenye asili ya Ethiopia waandamana Tel Aviv kupinga ukatili wa polisi wa Kizayuni

    Jan 31, 2019 11:20

    Maelfu ya Wayahudi wenye asili ya Ethiopia yaani Mafalasha wamefanya maandamano huko Tel Aviv kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Foreign Policy: Waziri Mkuu wa Ethiopia ni mwanafikra wa kimataifa

    Foreign Policy: Waziri Mkuu wa Ethiopia ni mwanafikra wa kimataifa

    Jan 26, 2019 04:44

    Jarida la Foreign Policy limemtaja Abiy Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia kuwa mwanafikra wa kimataifa kutokana na jitihada zake za kitaifa na kieneo ndani ya miezi 12 iliyopita.

  • Ethiopia yawaachia huru maelfu ya wafungwa wa kisiasa

    Ethiopia yawaachia huru maelfu ya wafungwa wa kisiasa

    Jan 23, 2019 04:20

    Serikali ya Ethiopia imewaachia huru wafungwa wa kisiasa zaidi ya 13 elfu katika kipindi cha miezi sita iliyopita.

  • Ethiopia yawakamata wapiganaji 800 wa Oromia wakiwa na silaha

    Ethiopia yawakamata wapiganaji 800 wa Oromia wakiwa na silaha

    Jan 18, 2019 04:51

    Serikali ya Ethiopia imesema katika wiki za hivi karibuni imewakamata waasi 835 wenye silaha wakati hali ya wasiwasi ikiendelea kuongezeka kwenye maeneo mbalimbali ya jimbo la Oromia.

  • Ghasia zaibuka Ethiopia kufuatia kuongezeka mapigano ya kikabila

    Ghasia zaibuka Ethiopia kufuatia kuongezeka mapigano ya kikabila

    Jan 15, 2019 04:45

    Ghasia zimeshika kasi nchini Ethiopia kufuatia kuongezeka mapigano ya kikabila katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wahajiri 14 wa Ethiopia waaga dunia katika mazingira ya kutatanisha Tanzania

    Wahajiri 14 wa Ethiopia waaga dunia katika mazingira ya kutatanisha Tanzania

    Jan 01, 2019 04:42

    Polisi ya Tanzania imetangaza habari ya kuaga dunia wahamiaji 14 waliothibitishwa kuwa raia wa Ethiopia mkoani Morogoro, mashariki mwa Tanzania.

  • Baraza la Dini Ethiopia lakutana na viongozi wa OLF

    Baraza la Dini Ethiopia lakutana na viongozi wa OLF

    Dec 27, 2018 23:32

    Baraza la Dini la Ethiopia pamoja na makundi ya wazee jana Alkhamisi yalikutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa kundi la wabeba silaha la Harakati ya Ukombozi ya Oromo (OLF).

  • Ethiopia yawakamata waliohusika na mauaji ya mafisa wa serikali

    Ethiopia yawakamata waliohusika na mauaji ya mafisa wa serikali

    Dec 25, 2018 04:36

    Ethiopia imewakamata watu 15 wanaotuhumiwa kuhusika na mauaji ya viongozi wa serikali za mitaa. Taarifa iliyotolewa na idara ya mawasiliano ya jimbo la Oromia inasema watu hao 15 wanashukiwa kuwaua maofisa wa serikali wa jimbo hili, na kuwalenga maofisa wa usalama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS