Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Saba wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia

    Saba wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia

    Dec 21, 2018 11:08

    Watu 7 wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea katika jimbo la Amhara, kaskazini mwa Ethiopia.

  • Watu kumi wafariki dunia katika mlipuko wa bomu nchini Ethiopia

    Watu kumi wafariki dunia katika mlipuko wa bomu nchini Ethiopia

    Dec 20, 2018 04:24

    Kwa akali watu 10 wamefariki dunia nchini Ethiopia na mwingine mmoja kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko mkubwa wa bomu la kutegwa kando ya barabara moja magharibi mwa nchi hiyo.

  • Makumi ya watu wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia

    Makumi ya watu wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia

    Dec 15, 2018 03:48

    Watu wasiopungua 21 wameuawa katika mapigano ya kikabila kusini mwa Ethiopia.

  • Ethiopia yaondoa wanajeshi wake katika mpaka na Eritrea

    Ethiopia yaondoa wanajeshi wake katika mpaka na Eritrea

    Dec 14, 2018 23:11

    Katika kile kinachoonekana ni ishara ya kuendelea kuimarika uhusiano wa Asmara na Addis Ababa, jana Ijumaa serikali ya Ethiopia ilitangaza habari ya kuviondoa vikosi vyake vya jeshi katika mpaka na Eritrea.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia akutana na wapinzani, aahidi uchaguzi huru, wa haki

    Waziri Mkuu wa Ethiopia akutana na wapinzani, aahidi uchaguzi huru, wa haki

    Nov 27, 2018 11:21

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amekutana na wajumbe wa vyama 81 vya siasa kujadili njia za marekebisho ya mfumo wa uchaguzi wa nchi hiyo.

  • Ethiopia yamteua mwanamke mpinzani kuongoza Tume ya Uchaguzi

    Ethiopia yamteua mwanamke mpinzani kuongoza Tume ya Uchaguzi

    Nov 22, 2018 11:27

    Bunge la Ethiopia limemuidhinisha kiongozi mashuhuri wa upinzani aliyekuwa akiishi uhamishoni, Birtukan Mideksa kuwa mkuu mpya wa Tume ya Uchaguzi nchini humo.

  • Baraza la Usalama la UN laifutia vikwazo Eritrea

    Baraza la Usalama la UN laifutia vikwazo Eritrea

    Nov 15, 2018 00:04

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeifutia vikwazo Eritrea kufuatia kusainiwa makubaliano ya amani ya kihistoria kati ya nchi hiyo na Ethiopia na kuboreka uhusiano baina yake na Djibouti pia.

  • Kaburi la umati lagunduliwa Ethiopia

    Kaburi la umati lagunduliwa Ethiopia

    Nov 09, 2018 04:21

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kugunduliwa kaburi la umati lenye miili 200 katika eneo lililo baina ya maeneo ya Oromia na Somali yanayokumbwa na machafuko.

  • Homa ya Manjano yaua watu 10 nchini Ethiopia

    Homa ya Manjano yaua watu 10 nchini Ethiopia

    Nov 06, 2018 04:33

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa watu 10 wamepoteza maisha kutokana na Homa ya Manjano kusini magharibi Ethiopia.

  • Baraza la Usalama la UN kuiondolea vikwazo Eritrea

    Baraza la Usalama la UN kuiondolea vikwazo Eritrea

    Nov 04, 2018 04:34

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatazamiwa kuiondolea vikwazo Eritrea ndani ya siku chache zijazo, ilivyowekewa mwaka 2009 kwa tuhuma za kuliunga mkono kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la nchi jirani ya Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS