-
Saba wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia
Dec 21, 2018 11:08Watu 7 wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea katika jimbo la Amhara, kaskazini mwa Ethiopia.
-
Watu kumi wafariki dunia katika mlipuko wa bomu nchini Ethiopia
Dec 20, 2018 04:24Kwa akali watu 10 wamefariki dunia nchini Ethiopia na mwingine mmoja kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko mkubwa wa bomu la kutegwa kando ya barabara moja magharibi mwa nchi hiyo.
-
Makumi ya watu wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia
Dec 15, 2018 03:48Watu wasiopungua 21 wameuawa katika mapigano ya kikabila kusini mwa Ethiopia.
-
Ethiopia yaondoa wanajeshi wake katika mpaka na Eritrea
Dec 14, 2018 23:11Katika kile kinachoonekana ni ishara ya kuendelea kuimarika uhusiano wa Asmara na Addis Ababa, jana Ijumaa serikali ya Ethiopia ilitangaza habari ya kuviondoa vikosi vyake vya jeshi katika mpaka na Eritrea.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia akutana na wapinzani, aahidi uchaguzi huru, wa haki
Nov 27, 2018 11:21Waziri Mkuu wa Ethiopia amekutana na wajumbe wa vyama 81 vya siasa kujadili njia za marekebisho ya mfumo wa uchaguzi wa nchi hiyo.
-
Ethiopia yamteua mwanamke mpinzani kuongoza Tume ya Uchaguzi
Nov 22, 2018 11:27Bunge la Ethiopia limemuidhinisha kiongozi mashuhuri wa upinzani aliyekuwa akiishi uhamishoni, Birtukan Mideksa kuwa mkuu mpya wa Tume ya Uchaguzi nchini humo.
-
Baraza la Usalama la UN laifutia vikwazo Eritrea
Nov 15, 2018 00:04Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeifutia vikwazo Eritrea kufuatia kusainiwa makubaliano ya amani ya kihistoria kati ya nchi hiyo na Ethiopia na kuboreka uhusiano baina yake na Djibouti pia.
-
Kaburi la umati lagunduliwa Ethiopia
Nov 09, 2018 04:21Serikali ya Ethiopia imetangaza kugunduliwa kaburi la umati lenye miili 200 katika eneo lililo baina ya maeneo ya Oromia na Somali yanayokumbwa na machafuko.
-
Homa ya Manjano yaua watu 10 nchini Ethiopia
Nov 06, 2018 04:33Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa watu 10 wamepoteza maisha kutokana na Homa ya Manjano kusini magharibi Ethiopia.
-
Baraza la Usalama la UN kuiondolea vikwazo Eritrea
Nov 04, 2018 04:34Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatazamiwa kuiondolea vikwazo Eritrea ndani ya siku chache zijazo, ilivyowekewa mwaka 2009 kwa tuhuma za kuliunga mkono kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la nchi jirani ya Somalia.