Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Iran, Imarati zasisitiza haja ya Waislamu kote duniani kuwa na umoja

    Iran, Imarati zasisitiza haja ya Waislamu kote duniani kuwa na umoja

    Jun 07, 2025 07:00

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran na Kiongozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan wametoa wito wa umoja wa Waislamu.

  • Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu

    Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu

    May 14, 2025 12:05

    Rais Donald Trump wa Marekani alianza safari ya siku tatu katika nchi tatu za kusini mwa Ghuba ya Uajemi, Saudi Arabia, Imarati (UAE) na Qatar kuanzia Jumanne, Mei 13.

  • UAE imeweka mtambo wa rada wa Israel Puntland kwa ajili ya kutungua makombora ya Yemen

    UAE imeweka mtambo wa rada wa Israel Puntland kwa ajili ya kutungua makombora ya Yemen

    Apr 16, 2025 11:31

    Duru za habari zimeripoti kuwa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) au Imarati imeweka mtambo wa rada wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi ya Puntland, Somalia ili kuyanasa na kuyatungua makombora yanayorushwa na Yemen.

  • Sudan yaiambia ICJ kuwa UAE inachochea mauaji ya halaiki Darfur

    Sudan yaiambia ICJ kuwa UAE inachochea mauaji ya halaiki Darfur

    Apr 11, 2025 02:06

    Sudan iliiambia Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) jana Alhamisi kwamba, Umoja wa Falme za Kiarabu umekiuka Mkataba wa Mauaji ya Kimbari kwa kuunga mkono vikosi vya wanamgambo huko Darfur, na kuwataka majaji wa mahakama hiyo kutoa amri ya dharura ya kuzuia mauaji ya kimbari katika eneo hilo.

  • Khartoum yakosoa uingiliaji wa Imarati katika masuala ya ndani ya Sudan

    Khartoum yakosoa uingiliaji wa Imarati katika masuala ya ndani ya Sudan

    Dec 04, 2024 12:12

    Wizara ya Ulinzi ya Sudan imetoa taarifa ikikosoa uingiliaji wa Imarati katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na pia hatua yake ya kuwapatia silaha na zana za kijeshi wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).

  • Kamal Kharrazi: Uungaji mkono wa EU kwa UAE ni uadui wa wazi dhidi ya Iran

    Kamal Kharrazi: Uungaji mkono wa EU kwa UAE ni uadui wa wazi dhidi ya Iran

    Oct 19, 2024 03:04

    Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Iran amekosoa uingiliaji kati wa Umoja wa Ulaya (EU) kwa malengo yasiyofaa na kuunga mkono madai ya Imarati kuhusu visiwa vitatu vya Iran, na amewatahadharisha viongozi wa Imarati kwamba waache uadui wao na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Imarati, Uturuki wajadiliana matukio ya Ghaza

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Imarati, Uturuki wajadiliana matukio ya Ghaza

    Apr 11, 2024 09:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo yake ya simu na mawaziri wenzake wa Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Uturuki kwamba kuna udharura wa kukomeshwa haraka jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza.

  • 'Washauri wa kijeshi' wa Imarati, Bahrain wauawa na al-Shabaab Somalia

    'Washauri wa kijeshi' wa Imarati, Bahrain wauawa na al-Shabaab Somalia

    Feb 12, 2024 04:38

    Kwa akali wakufunzi watano wa kijeshi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Bahrain wameuawa katika shambulizi linaloaminika kufanywa na wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Qalibaf aendelea na mashauriano huko Abu Dhabi; akutana na Rais wa Imarati

    Qalibaf aendelea na mashauriano huko Abu Dhabi; akutana na Rais wa Imarati

    Oct 06, 2023 07:50

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kuhusu kustawisha uhusiano wa pande mbili.

  • Ansarullah yaionya Imarati kutokana na hatua inazochukua ndani ya Yemen

    Ansarullah yaionya Imarati kutokana na hatua inazochukua ndani ya Yemen

    Oct 06, 2023 02:47

    Mjumbe wa baraza la kisiasa la harakati ya Ansarullah ameionya Imarati kuhusu hatua na harakati zake inazoendesha huko Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS