-
Radiamali ya Iran kwa hatua ya kihasama ya Canada dhidi ya SEPAH
Jun 21, 2024 07:24Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani vikali hatua ya kihasama na kiuadui ya serikali ya Canada dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH).
-
Kamanda: Iran itatoa jibu mwafaka kwa tishio la aina yoyote
Jun 21, 2024 04:31Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu leo hii ina nguvu zaidi kwenye sekta ya ulinzi kuliko wakati wowote ule, na kwamba tishio lolote dhidi ya taifa hili litapata jibu mwafaka na madhubuti.
-
Iran yamuita balozi wa Italia kulalamikia hatua ya Canada dhidi ya IRGC
Jun 21, 2024 04:19Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imemuita balozi wa Italia mjini Tehran ambaye anawakilisha pia maslahi ya Canada hapa nchini, kulalamikia hatua ya serikali ya Ottawa ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kwenye orodha ya kile inachokiita "makundi ya kigaidi".
-
Iran: Muqawama lazima uifanye Israel ilipe gharama kubwa kwa uvamizi
Jun 20, 2024 22:47Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makundi ya muqawama yanapasa kutumia nguvu na uwezo wao wote kuufanya utawala wa Kizayuni wa Israel ulipe gharama kubwa kutokana na uvamizi na mashambulizi yake dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Iran yalaani hatua ya Canada ya kuliweka jeshi la SEPAH katika orodha ya magaidi
Jun 20, 2024 08:59Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani vikali hatua ya uadui ya serikali ya Canada dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH).
-
Waziri Owji: US haina ubavu wa kuzuia uuzaji wa mafuta ya Iran nje ya nchi
Jun 19, 2024 08:02Waziri wa Mafuta wa Iran amesema kuwa, hakuna serikali yoyote ya Marekani yenye uwezo na ujasiri wa kuzuia uuzaji wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu nje ya nchi.
-
Wagombea wa urais Iran wabainisha mipango yao kwenye mdahalo wa kwanza
Jun 17, 2024 23:56Mdahalo wa kwanza wa wagombea urais nchini Iran ulifanyika jana usiku kupitia televisheni ya taifa, na kuendelea kwa muda wa karibu saa nne.
-
Mokhber: Nchi za Waislamu ziungane kuzima jinai za Israel Gaza
Jun 17, 2024 04:16Kaimu Rais wa Iran ametaka kuwepo umoja na mshikamano miongoni mwa nchi za Waislamu ili kukomesha jinai na mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Iran: Taarifa iliyotolewa na Troika ya Ulaya haina itibari
Jun 17, 2024 02:29Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekosoa vikali taarifa ya pamoja ya nchi tatu za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza (Troika ya Ulaya) kuhusu mradi wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu wenye malengo ya amani na kusisitiza kuwa, taarifa hiyo imetolewa kwa kutegemea tuhuma bandia na zisizo na msingi.
-
Kaimu Rais wa Iran awapongeza Waislamu kwa mnasaba wa Idul Adh'ha
Jun 16, 2024 23:25Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyatumia ujumbe mataifa ya Kiislamu akiyapongeza kwa mnasaba wa kuadhimisha sikukuu ya Idul Adh'ha.