Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • "Kamishna wa Haki wa UN achukue hatua za kukomesha jinai za Israel Gaza"

    Feb 28, 2024 03:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtaka Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa achukue hatua madhubuti za kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Kukua uchumi wa Iran licha ya kuandamwa na vikwazo

    Kukua uchumi wa Iran licha ya kuandamwa na vikwazo

    Feb 27, 2024 23:19

    Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limetangaza kuwa, uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umekuwa kwa kiwango ambacho haikutabiriwa

  • Kwesi Pratt: Iran ina mfumo madhubuti wa demokrasia

    Kwesi Pratt: Iran ina mfumo madhubuti wa demokrasia

    Feb 27, 2024 07:50

    Mwandishi mashuhuri wa habari wa Ghana amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina mfumo madhubuti wa demokrasia.

  • Iran yaionya UN: Marekani inashadidisha taharuki katika eneo

    Iran yaionya UN: Marekani inashadidisha taharuki katika eneo

    Feb 27, 2024 03:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali juhudi za Marekani za kushadidisha hali ya taharuki katika Bahari Nyekundu na Yemen na kuonya kuwa, hatua hizo za kijeshi za Washington hazitakuwa na matokeo mengine isipokuwa kuvuruga jitihada za pamoja za Iran na Umoja wa Mataifa katika eneo la Asia Magharibi.

  • Umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi mkuu kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi mkuu kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 25, 2024 23:34

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni miongoni mwa shakhsia mashuhuri ambao daima wanasisitiza juu ya ushiriki mkubwa wa wananchi katika chaguzi tofauti zinazofanyika nchini.

  • Kiongozi wa kundi la kigaidi la Jaish al Dhulm aangamizwa katika hujuma ya askari usalama wa Iran

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la Jaish al Dhulm aangamizwa katika hujuma ya askari usalama wa Iran

    Feb 25, 2024 23:01

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la "Jaish al-Dhulm" ameuawa katika shambulio la askari usalama wa Iran.

  • Iran: Mataifa ya Kiislamu yachukue hatua za kuwanga mkono watu wa Gaza

    Iran: Mataifa ya Kiislamu yachukue hatua za kuwanga mkono watu wa Gaza

    Feb 25, 2024 07:43

    Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran amesema mataifa yote ya Kiislamu yana wajibu wa kuwaunga mkono Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kuwapa usaidizi wa kivitendo ili kuwafanya waondokane na hali mbaya ya kibinadamu inayowakabili.

  • Kufufuka uhusiano wa Iran na Sudan kwaitia wahka mkubwa Marekani

    Kufufuka uhusiano wa Iran na Sudan kwaitia wahka mkubwa Marekani

    Feb 25, 2024 02:54

    John Godfrey, balozi wa Marekani nchini Sudan, amesema katika taarifa ya uingiliaji wa wazi wa mambo yasiyomuhusu ndewe wala sikio kwamba eti ana wasiwasi wa kuimarika uhusiano kati ya Iran na Sudan kwa madai kuwa uhusiano huo utaifanya Iran iisaidie kijeshi Sudan.

  • Kiongozi Mkuu:

    Kiongozi Mkuu: "Kuwa na imani na Jamhuri ya Watu na Uislamu" ndio sababu ya uthabiti na maendeleo iliyopata Iran

    Feb 24, 2024 08:41

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, "imani juu ya Jamhuri ya Watu na Uislamu" ndio wenzo wa uthabiti na maendeleo ya Iran.

  • Idadi ya wagombea katika uchaguzi wa Bunge nchini Iran yaweka rekodi mpya tangu 1979

    Idadi ya wagombea katika uchaguzi wa Bunge nchini Iran yaweka rekodi mpya tangu 1979

    Feb 23, 2024 22:44

    Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran inaonesha kuwa, idadi ya watu waliojiandikisha kugombea viti vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) imevunja rekodi ya ile iyosajiliwa tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, mwaka 1979.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS