-
"Kamishna wa Haki wa UN achukue hatua za kukomesha jinai za Israel Gaza"
Feb 28, 2024 03:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtaka Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa achukue hatua madhubuti za kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Kukua uchumi wa Iran licha ya kuandamwa na vikwazo
Feb 27, 2024 23:19Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limetangaza kuwa, uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umekuwa kwa kiwango ambacho haikutabiriwa
-
Kwesi Pratt: Iran ina mfumo madhubuti wa demokrasia
Feb 27, 2024 07:50Mwandishi mashuhuri wa habari wa Ghana amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina mfumo madhubuti wa demokrasia.
-
Iran yaionya UN: Marekani inashadidisha taharuki katika eneo
Feb 27, 2024 03:59Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali juhudi za Marekani za kushadidisha hali ya taharuki katika Bahari Nyekundu na Yemen na kuonya kuwa, hatua hizo za kijeshi za Washington hazitakuwa na matokeo mengine isipokuwa kuvuruga jitihada za pamoja za Iran na Umoja wa Mataifa katika eneo la Asia Magharibi.
-
Umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi mkuu kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 25, 2024 23:34Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni miongoni mwa shakhsia mashuhuri ambao daima wanasisitiza juu ya ushiriki mkubwa wa wananchi katika chaguzi tofauti zinazofanyika nchini.
-
Kiongozi wa kundi la kigaidi la Jaish al Dhulm aangamizwa katika hujuma ya askari usalama wa Iran
Feb 25, 2024 23:01Kiongozi wa kundi la kigaidi la "Jaish al-Dhulm" ameuawa katika shambulio la askari usalama wa Iran.
-
Iran: Mataifa ya Kiislamu yachukue hatua za kuwanga mkono watu wa Gaza
Feb 25, 2024 07:43Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran amesema mataifa yote ya Kiislamu yana wajibu wa kuwaunga mkono Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kuwapa usaidizi wa kivitendo ili kuwafanya waondokane na hali mbaya ya kibinadamu inayowakabili.
-
Kufufuka uhusiano wa Iran na Sudan kwaitia wahka mkubwa Marekani
Feb 25, 2024 02:54John Godfrey, balozi wa Marekani nchini Sudan, amesema katika taarifa ya uingiliaji wa wazi wa mambo yasiyomuhusu ndewe wala sikio kwamba eti ana wasiwasi wa kuimarika uhusiano kati ya Iran na Sudan kwa madai kuwa uhusiano huo utaifanya Iran iisaidie kijeshi Sudan.
-
Kiongozi Mkuu: "Kuwa na imani na Jamhuri ya Watu na Uislamu" ndio sababu ya uthabiti na maendeleo iliyopata Iran
Feb 24, 2024 08:41Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, "imani juu ya Jamhuri ya Watu na Uislamu" ndio wenzo wa uthabiti na maendeleo ya Iran.
-
Idadi ya wagombea katika uchaguzi wa Bunge nchini Iran yaweka rekodi mpya tangu 1979
Feb 23, 2024 22:44Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran inaonesha kuwa, idadi ya watu waliojiandikisha kugombea viti vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) imevunja rekodi ya ile iyosajiliwa tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, mwaka 1979.