Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Droni za Karrar zilizoboreshwa zajiunga na Kikosi cha Anga cha Iran

    Droni za Karrar zilizoboreshwa zajiunga na Kikosi cha Anga cha Iran

    Dec 10, 2023 06:00

    Makumi ya ndege zisizo na rubani (droni) aina ya Karrar ambazo zimeboreshwa na kuimarishwa zimejiunga na Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Raisi: Kimbunga cha al-Aqsa kimepanua mipaka ya muqawama

    Raisi: Kimbunga cha al-Aqsa kimepanua mipaka ya muqawama

    Dec 10, 2023 00:31

    Rais wa Iran amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imepanua mipaka ya muqawama na kuufikisha katika kona zote za dunia.

  • Rais wa Iran akiwa safarini Russia asisitiza kusitishwa jinai za Israel dhidi ya Gaza

    Rais wa Iran akiwa safarini Russia asisitiza kusitishwa jinai za Israel dhidi ya Gaza

    Dec 07, 2023 23:49

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kusitishwa mara moja jinai za Israel za "mauaji ya kimbari" dhidi ya Wapalestina Ukanda wa Gaza.

  • Kanani: Baadhi ya wanachama wa G7 ndio chanzo kikuu cha kukosekana utulivu Asia Magharibi

    Kanani: Baadhi ya wanachama wa G7 ndio chanzo kikuu cha kukosekana utulivu Asia Magharibi

    Dec 07, 2023 10:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, baadhi ya wanachama wa kundi G7 ndio chanzo kikuu cha ukosefu wa amani na usalama katika Magharibi mwa Asia na duniani.

  • Iran: Israel inawajihiwa na siku za kutisha kutokana na majibu makali ya muqawama

    Iran: Israel inawajihiwa na siku za kutisha kutokana na majibu makali ya muqawama

    Dec 07, 2023 00:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema wanamapambano wa makundi ya muqawama ya Palestina wameendelea kutoa majibu makali na ya nguvu kwa uvamizi wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza, na kwamba mwenendo wa majibu hayo utauweka utawala wa Kizayuni kwenye hali mbaya katika siku zijazo.

  • Raisi: Msingi wa uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ni Katiba

    Raisi: Msingi wa uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ni Katiba

    Dec 03, 2023 09:03

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ndio msingi wa taifa hili kuiunga mkono Palestina na Ukanda wa Gaza ambao hivi sasa unakabiliwa na mashambulizi ya Wazayuni.

  • Iran: Wanyonyaji damu wa Kizayuni wameanzisha upya mauaji Gaza kwa uungaji mkono wa US

    Iran: Wanyonyaji damu wa Kizayuni wameanzisha upya mauaji Gaza kwa uungaji mkono wa US

    Dec 01, 2023 07:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: baada ya kuwaua zaidi ya Wapalestina 15,000, wanyonyaji damu wa Kizayuni wameanzisha duru mpya ya mauaji huko Gaza kwa uungaji mkono kamili wanaoendelea kupewa na serikali ya Marekani.

  • Rais wa Iran asusia mkutano wa COP28 Dubai kwa kushiriki Israel

    Rais wa Iran asusia mkutano wa COP28 Dubai kwa kushiriki Israel

    Dec 01, 2023 03:17

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran hatashiriki mkutano wa 28 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi, COP28, mjini Dubai kutokana na uwepo wa Rais Isaac Herzog na maafisa wengine wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye mkutano huo.

  • Iran yaipongeza Yemen kwa kuwaunga mkono Wapalestina

    Iran yaipongeza Yemen kwa kuwaunga mkono Wapalestina

    Nov 30, 2023 23:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepongeza na kusifu uungaji mkono wa Yemen kwa taifa la Palestina, wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni umeshadidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Nov 30, 2023 00:23

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika ikiwemo Senegal katika nyuga mbalimbali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS