Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Waislamu wa Tanzania wamuomboleza Sayyid Ebrahim Raisi

    Waislamu wa Tanzania wamuomboleza Sayyid Ebrahim Raisi

    May 22, 2024 07:09

    Waislamu nchini Tanzania wameshiriki katika hafla ya kuwakumbuka na kuwaenzi viongozii wa Iran walioaga dunia hivi karibuni akiwemo Rais Ebrahim Raisi.

  • Uganda: Tunahitaji teknolojia ya Iran kudhibiti maudhui chafu, potofu mitandaoni

    Uganda: Tunahitaji teknolojia ya Iran kudhibiti maudhui chafu, potofu mitandaoni

    May 10, 2024 07:25

    Serikali ya Uganda inatafakari kuanza kutumia teknolojia iliyopiga hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kudhibiti maudhui chafu na za upotoshaji kwenye mitandao ya kijamii.

  • Iran: Lugha ya Kifarsi kufundishwa katika Vyuo Vikuu vya Zimbabwe

    Iran: Lugha ya Kifarsi kufundishwa katika Vyuo Vikuu vya Zimbabwe

    May 10, 2024 07:23

    Waziri wa Sayansi, Utafiti na Teknolojia wa Iran ametangaza utayarifu wa Jamhuri ya Kiislamu wa kuanza kufunza lugha ya Kifarsi katika Vyuo Vikuu vya Zimbabwe.

  • Iran yatathmini njia za kuimarisha uhusiano wake na Tunisia

    Iran yatathmini njia za kuimarisha uhusiano wake na Tunisia

    May 06, 2024 07:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inachunguza njia na majukwaa ya kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili kati yake na Tunisia.

  • Irani, Misri zinajadili kukuza uhusiano, kukomesha ukatili wa Israel

    Irani, Misri zinajadili kukuza uhusiano, kukomesha ukatili wa Israel

    May 05, 2024 06:45

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Misri wamejadili njia zinazowezekana za kustawisha uhusiano wa pande mbili na kukomesha jinai zinazofanywa na Israel dhidi ya watu wa Palestina hususan katika Ukanda wa Gaza.

  • Mahdavi: Iran iko tayari kusafirisha vifaa vya matibabu barani Afrika

    Mahdavi: Iran iko tayari kusafirisha vifaa vya matibabu barani Afrika

    May 02, 2024 11:45

    Katibu wa Baraza la Sera ya Mauzo ya Nje la Shirika la Chakula na Dawa la Wizara ya Afya ya Iran ametangaza utayarifu wa Iran wa kusafirisha vifaa na suhula za matibabu barani Afrika.

  • Iran na Uganda zaazimia kupanua ushirikiano katika uga wa mawasiliano na teknolojia ya habari

    Iran na Uganda zaazimia kupanua ushirikiano katika uga wa mawasiliano na teknolojia ya habari

    May 02, 2024 11:21

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran ametangaza utayari wa taifa hili wa kushirikiana na Uganda katika miradi ya mawasiliano na teknolojia habari na uhamishaji wa taaluma hiyo kwa taifa hilo la Afrika Mashariki.

  • Iran na Uganda kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo

    Iran na Uganda kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo

    May 01, 2024 07:18

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Viwanda na Madini ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inatilia maanani ushirikiano wa kilimo na Uganda katika uga wa kilimo nje ya mipaka ya nchi, mafunzo na ushirikiano wa wataalamu na watafiti.

  • Makamu wa Rais wa Iran asisitiza kuendeleza uhusiano na nchi za Afrika

    Makamu wa Rais wa Iran asisitiza kuendeleza uhusiano na nchi za Afrika

    Apr 28, 2024 07:22

    Makamu wa kwanza wa rais wa Iran amesema kuwa, kustawisha uhusiano na nchi za Kiafrika imekuwa stratijia ya Iran tangu ulipopatikana ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu mwaka 1979.

  • Kikao cha Pili cha Kimataifa cha Iran na Afrika; nembo ya azma ya kupanua ushirikiano

    Kikao cha Pili cha Kimataifa cha Iran na Afrika; nembo ya azma ya kupanua ushirikiano

    Apr 26, 2024 14:37

    Kikao cha pili cha kimataifa kati ya Iran na Afrika kimefanyika leo asubuhi (Ijumaa) kwa kuhudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu wa masuala ya kiuchumi wa nchi zaidi ya 30 za Afrika na kwa hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika ukumbi wa mikutano wa nchi za Kiislamu mjini Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS