Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Upinzani Bahrain wapinga kuajiriwa madaktari wa Israel

    Upinzani Bahrain wapinga kuajiriwa madaktari wa Israel

    Aug 08, 2023 03:52

    Mrengo mkubwa zaidi wa upinzani Bahrain umekosoa vikali azma ya utawala wa Aal-Khalifa ya kuwaajiri madaktari wa utawala haramu wa Israel katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Walowezi wa Kizayuni waliwashambulia Wapalestina mara 900 Julai

    Walowezi wa Kizayuni waliwashambulia Wapalestina mara 900 Julai

    Aug 06, 2023 04:21

    Kamisheni ya mapambano ya Palestina imesema katika ripoti yake mpya kuwa, vikosi vya utawala haramu wa Israel pamoja na walowezi wa Kizayuni waliwashambulia Wapalestina na maeneo yao matakatifu karibu mara 900 mwezi uliopita wa Julai.

  • Jenerali wa Israel akiri; Nasrullah si mtu wa kupuuzwa

    Jenerali wa Israel akiri; Nasrullah si mtu wa kupuuzwa

    Aug 01, 2023 22:49

    Aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Operesheni cha jeshi la utawala haramu wa Israel amesema Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ni shakhsia ambaye hapaswi kupuuzwa.

  • Biden: Kuna uwezekano wa Saudia na Israel kuanzisha rasmi uhusiano wao

    Biden: Kuna uwezekano wa Saudia na Israel kuanzisha rasmi uhusiano wao

    Jul 29, 2023 07:12

    Rais wa Marekani, Joe Biden kwa mara nyingine tena amedokeza kuwa kuna uwezekano mkubwa kwa Saudi Arabia kuanzisha rasmi uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran: Israel ikomeshe ukaliaji ardhi za Wapalestina kwa mabavu

    Iran: Israel ikomeshe ukaliaji ardhi za Wapalestina kwa mabavu

    Jul 28, 2023 08:40

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kusisitiza kuwa, mgogoro wa Palestina unaweza kupatiwa ufumbuzi tu kupitia kuhitimishwa ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Wapalestina unaofanywa na Wazayuni maghasibu.

  • Iran: Mkono wa Israel unaonekana kwenye vitendo vya kuivunjia heshima Qur'ani

    Iran: Mkono wa Israel unaonekana kwenye vitendo vya kuivunjia heshima Qur'ani

    Jul 25, 2023 23:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameashiria kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya Magharibi za Sweden na Denmark na kusema kuwa, alama za vidole za utawala haramu wa Israel zinaonekana wazi kwenye vitendo hivyo viovu.

  • Ripoti: Israel imeua Wapalestina 200 na kukamata watoto 570, 2023

    Ripoti: Israel imeua Wapalestina 200 na kukamata watoto 570, 2023

    Jul 24, 2023 07:31

    Vikosi vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimewaua shahidi mamia ya Wapalestina kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu 2023 hadi sasa.

  • Algeria yaijia juu Israel kwa kutambua mamlaka ya Morocco Sahara Magharibi

    Algeria yaijia juu Israel kwa kutambua mamlaka ya Morocco Sahara Magharibi

    Jul 21, 2023 04:15

    Algeria imekosoa vikali uamuzi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wa kutambua mamlaka ya Morocco katika eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi.

  • Israel yatambua mamlaka ya Morocco kwa eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi

    Israel yatambua mamlaka ya Morocco kwa eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi

    Jul 18, 2023 23:11

    Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umesema unatambua mamlaka ya Morocco katika eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi. Hayo ni kwa mujibu wa serikali ya Morocco kupitia taarifa iliyotolewa na ofisi ya waziri mkuu wa Israel.

  • Iran: Aliyechoma moto Qurani Sweden ana uhusiano na MOSSAD

    Iran: Aliyechoma moto Qurani Sweden ana uhusiano na MOSSAD

    Jul 11, 2023 04:10

    Wizara ya Intelijensia ya Iran imefichua mfungamano uliopo baina ya Salwan Momika, raia wa Sweden aliyechoma moto nakala ya Qur'ani Tukufu mjini Stockholm mwezi uliopita na shirika la ujasusi la Israeli (MOSSAD).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS