Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Afisa wa zamani wa CIA: Saudia na Israel zilishirikiana katika tukio la silaha za kemikali la Khan Sheikhoun, Syria

    Afisa wa zamani wa CIA: Saudia na Israel zilishirikiana katika tukio la silaha za kemikali la Khan Sheikhoun, Syria

    Apr 16, 2017 11:31

    Afisa wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) amesema utawala wa Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel zilishirikiana na viongozi wa Marekani katika njama ya shambulio la silaha za kemikali dhidi ya eneo la Khan Sheikhoun nchini Syria.

  • Utupiaji jicho jinai za Israel katika kuwachukua mateka Wapalestina

    Utupiaji jicho jinai za Israel katika kuwachukua mateka Wapalestina

    Apr 16, 2017 07:46

    Jumuiya ya Masuala ya Mateka na Watu Walioachiliwa Huru ya Palestina imetangaza kuwa, idadi ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za utawala ghasibu wa Israel imefikia 6,500.

  • PLO: White House imekaliwa na kuendeshwa na Wazayuni

    PLO: White House imekaliwa na kuendeshwa na Wazayuni

    Apr 16, 2017 03:13

    Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imesema Ikulu ya Marekani ya White House imekaliwa na kuendeshwa na walowezi wa Kiyahudi.

  • Netanyahu: Tutaendelea kuwapa matibabu magaidi wa Syria

    Netanyahu: Tutaendelea kuwapa matibabu magaidi wa Syria

    Apr 09, 2017 23:09

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amesema Tel Aviv itaendelea kuwapa matibabu magaidi wanaojeruhiwa katika harakati zao za kujaribu kuingusha serikali halali ya Rais Bashar al-Assad wa Syria.

  • Utawala wa Kizayuni na wimbi jipya la migomo

    Utawala wa Kizayuni na wimbi jipya la migomo

    Apr 09, 2017 01:58

    Katika siku za hivi karibuni, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshuhudia wimbi jipya la migomo. Mgomo wa karibuni kabisa ni ule wa wanadiplomasia wa ofisi za kibalozi za utawala huo dhalimu ambao wameamua kufanya mgomo wa wote kulalamikia mishahara na marupurupu madogo wanayopatiwa.

  • Jumuiya ya Wafanyakazi Norway yataka kutambuliwa rasmi nchi ya Palestina

    Jumuiya ya Wafanyakazi Norway yataka kutambuliwa rasmi nchi ya Palestina

    Apr 08, 2017 22:10

    Jumuiya ya Wafanyakazi nchini Norway imetoa wito wa katambulwia rasmi nchi huru ya Palestina.

  • Siku ya Mtoto wa Palestina na mauaji ya Israel dhidi ya watoto

    Siku ya Mtoto wa Palestina na mauaji ya Israel dhidi ya watoto

    Apr 05, 2017 08:25

    Jumatano ya leo tarehe 5 Aprili Wapalestina wameadhimisha Siku ya Mtoto wa Palestina huku askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakiendelea kufanya mauaji na ukatili wa kutisha dhidi ya watoto katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.

  • EU: Hatutohamishia balozi zetu Quds tukufu kutoka Tel Aviv

    EU: Hatutohamishia balozi zetu Quds tukufu kutoka Tel Aviv

    Apr 04, 2017 11:21

    Katika hali ambayo Marekani imezungumzia mpango wa kuhamishia ubalozi wake ulioko Israel kutoka Tel Aviv na kuupeleka katika mji wa Quds tukufu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, Umoja wa Ulaya umesema nchi wanachama wake hazitofuata sera hizo za Washington.

  • Mayahudi waandamana Quds kulaani ukaliaji wa mabavu wa Palestina

    Mayahudi waandamana Quds kulaani ukaliaji wa mabavu wa Palestina

    Apr 02, 2017 03:36

    Maelfu ya Mayahudi wamefanya maandamano katika eneo la Quds tukufu kulaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Israel inakalia kwa mabavu asilimia 85 ya ardhi za Palestina

    Israel inakalia kwa mabavu asilimia 85 ya ardhi za Palestina

    Mar 30, 2017 02:21

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unakalia kwa mabavu asilimia 85 ya ardhi zote za Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS