-
Wasiwasi wa Human Rights Watch kuhusu jinai za Israel
Jan 03, 2017 03:37Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limebainisha wasiwasi wake juu ya mauaji na jinai zinazotekelezwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.
-
Israel yaingiwa na kiwewe kuhusu uwezo wa Hizbullah
Jan 02, 2017 22:57Kituo kimoja cha utafiti katika utawala wa Kizayuni wa Israel kimekiri katika ripoti yake ya hivi karibuni kuwa, Wazayuni wana wasiwasi mkubwa kuhusu nguvu za harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
-
Abbas: 2017 utakuwa mwaka wa kujitangazia uhuru Palestina
Jan 01, 2017 04:35Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amekaribisha hatua ya hivi karibuni ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kupasisha azimio dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na kusema kuwa 2017 utakuwa mwaka wa Palestina kujitangazia uhuru wake.
-
Mayahudi wa Othodoksi waunga mkono azimio la UN dhidi ya Israel
Dec 30, 2016 03:36Idadi kadhaa ya Mayahudi wa madhehebu ya Othodoksi wamekusanyika mbele ya Ikulu ya Rais wa Marekani, White House kuonyesha uungaji mkono wao kwa azimio lililopitishwa karibuni na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kulaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na utawala haramu wa Israel katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina.
-
UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka mno
Dec 30, 2016 01:00Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mwaka huu unaomalizika wa 2016 umeshuhudia ongezeko la vitendo vya uvunjaji na ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Bahrain yalaaniwa kwa kuanzisha uhusiano na Israel
Dec 29, 2016 03:53Utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain umelaaniwa vikali kwa hatua yake ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Israel: Tutampa Trump ushahidi wa kuhusika Obama na azimio la UNSC
Dec 27, 2016 04:19Utawala wa Kizayuni wa Israel umedai kuwa una ushahidi madhubuti unaothibitisha kuwa Rais wa Marekani Barack Obama alihusika kikamilifu na kupitishwa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni; na kwamba nyaraka na ushahidi huo utampatia rais mteule wa Marekani tu Donald Trump.
-
'Israel yaendelea kupoteza uungaji mkono duniani'
Dec 26, 2016 13:02Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema ataangalia upya uhusiano wa utawala huo na Umoja wa Mataifa.
-
Maulamaa wa Bahrain walaani uhusiano wa nchi yao na Israel
Dec 26, 2016 03:44Maulamaa nchini Bahrain wamelaani juhudi za utawala wa nchi hiyo za kuweka uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran yakaribisha hatua ya Baraza la Usalama dhidi ujenzi wa vitongoji vya Israel
Dec 25, 2016 04:09Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepongeza hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.