Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ivory Coast

  • Kuendelea mageuzi ya kisiasa nchini Ivory Coast

    Kuendelea mageuzi ya kisiasa nchini Ivory Coast

    Nov 04, 2016 16:05

    Kufuatia kufanyika Kura ya Maoni ya marekebisho ya Katiba ya Ivory Coast, serikali ya nchi hiyo imetangaza tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo.

  • Upinzani: Matokeo ya kura ya maoni Kodivaa ni bandia

    Upinzani: Matokeo ya kura ya maoni Kodivaa ni bandia

    Nov 02, 2016 14:23

    Wapinzani nchini Ivory Coast wamepuuzilia mbali matokeo ya kura ya maoni ya kupitisha au kukataa katiba mpya ya nchi na kusema kuwa matokeo hayo ni bandia na ambayo hayaakisi sauti ya wananchi walio wengi.

  • Machafuko na mahudhurio madogo yagubika kura ya maoni ya Katiba ya Ivory Coast

    Machafuko na mahudhurio madogo yagubika kura ya maoni ya Katiba ya Ivory Coast

    Oct 31, 2016 07:38

    Machafuko yalitokea jana katika vituo vipatavyo 100 vya upigaji kura nchini Ivory Coast wakati wananchi waliposhiriki kwenye Kura ya Maoni ya kupitisha au kuikataa katiba mpya iliyopendekezwa ambayo Rais wa nchi hiyo Alassane Ouattara amesema itahakikisha amani inarejea baada ya miaka kadhaa ya machafuko ya kisiasa.

  • Kodivaa washiriki kura ya maoni kuainisha katiba mpya

    Kodivaa washiriki kura ya maoni kuainisha katiba mpya

    Oct 30, 2016 15:18

    Wapiga kura nchini Kodivaa (Ivory Coast) leo wameshiriki katika kura ya maoni ya kuamua iwapo katiba mpya ya nchi hiyo iidhinishwe au la huku wapinzani wakitaka kususiwa kura hiyo.

  • Iran inalenga kuimarisha zaidi uhusiano na nchi za Afrika

    Iran inalenga kuimarisha zaidi uhusiano na nchi za Afrika

    Oct 17, 2016 15:53

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika ni msingi muhimu wa sera za kigeni za Iran.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na mawaziri wa Benin, Kodivaa

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na mawaziri wa Benin, Kodivaa

    Oct 16, 2016 13:47

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ivory Coast wamekutana na kufanya mazungumzo mjini Tehran.

  • Wahanga wa machafuko ya baada ya uchaguzi Kodivaa walipwa fidia

    Wahanga wa machafuko ya baada ya uchaguzi Kodivaa walipwa fidia

    Sep 15, 2016 07:25

    Waziri wa Masuala ya Mshikamano wa Kijamii wa Ivory Coast amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo itaendelea kuwalipa fidia wahanga wa machafuko ya baada ya uchaguzi wa nchi hiyo.

  • Askari walioshirikiana na al-Qaeda Kodivaa wafungwa miaka 10 jela

    Askari walioshirikiana na al-Qaeda Kodivaa wafungwa miaka 10 jela

    Aug 05, 2016 13:46

    Askari wawili wa Ivory Coast wamehukumiwa kifungo cha miaka kumi jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kushirikiana na kuwa na mafungumano na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Qaeda.

  • Wakodivari wanataka mabadiliko ya Katiba

    Wakodivari wanataka mabadiliko ya Katiba

    Jun 25, 2016 13:09

    Jumuiya za kiraia nchini Ivory Coast zimeafiki suala la kufanyika marekebisho ya katiba ya nchi hiyo kwa ajili ya kutayarisha mazingira ya kufanyika uchaguzi sahihi nchini kote.

  • Ivory Coast yasisitiza, Uislamu ni dini ya amani

    Ivory Coast yasisitiza, Uislamu ni dini ya amani

    Jun 17, 2016 04:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ivory Coast ametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kusema kuwa Uislamu ni dini ya amani na suluhu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS