Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Hatua mpya za Ulaya kulinda makubaliano ya JCPOA

    Hatua mpya za Ulaya kulinda makubaliano ya JCPOA

    Jun 07, 2018 05:23

    Sambamba na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutangaza hatua ya kuimarisha shughuli zake za nyuklia katika fremu ya mapatano ya nyuklia na nchi sita kubwa za dunia mashuhuri kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), nchi za Ulaya zimeongeza mashauriano na juhudi za kuyalinda yasije yakasambaratika.

  • Madola matatu makuu ya Ulaya yaitahadharisha Marekani na matokeo hasi endapo Iran itajitoa kwenye JCPOA

    Madola matatu makuu ya Ulaya yaitahadharisha Marekani na matokeo hasi endapo Iran itajitoa kwenye JCPOA

    Jun 06, 2018 22:48

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa na wa Fedha wa Ujerumani, Uingereza na Ufaransa wamewaandikia barua mawaziri wenzao wa Marekani wakieleza wasiwasi walionao juu ya uwezekano wa Iran kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia na matokeo hasi ya hatua hiyo.

  • Hatua shtukizi na za kivitendo za Iran za kuleta mlingano katika JCPOA

    Hatua shtukizi na za kivitendo za Iran za kuleta mlingano katika JCPOA

    Jun 06, 2018 09:23

    Uamuzi mpya uliotangazwa na Iran wa kustawisha shughuli zake za nyuklia kufuatia agizo lililotolewa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu umeonyesha kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiwezi kutiwa shemere na kuburuzwa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, bali hatamu za kuamua nini la kufanya ziko mikononi mwake.

  • EU: Hatua ya Iran ya kuimarisha urutubishaji urani haikiuki JCPOA

    EU: Hatua ya Iran ya kuimarisha urutubishaji urani haikiuki JCPOA

    Jun 06, 2018 03:03

    Umoja wa Ulaya umesema tathmini yake ya mwanzo inaashiria kuwa mpango wa Iran wa kuimarisha urutubishaji urani hadi kufikia kiwango cha SWU 190,000 haukinzani na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Ziara ya barani Ulaya ya Netanyahu, na shabaha ya kuivuruga JCPOA

    Ziara ya barani Ulaya ya Netanyahu, na shabaha ya kuivuruga JCPOA

    Jun 04, 2018 22:35

    Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala dhalimu wa Kizayuni ambaye alimchochea rais wa Marekani, Donald Trump, ajitoe katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA hivi sasa ameamua kuzifungia safari nchi za Ulaya kwa ajili ya kuzichochea ili nazo zijitoe kwenye mapatano hayo.

  • Umoja wa Ulaya wapiga hatua katika kulinda biashara na Iran

    Umoja wa Ulaya wapiga hatua katika kulinda biashara na Iran

    Jun 01, 2018 09:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Yves Le Drian amesema Umoja wa Ulaya umepiga hatua katika kuyalinda mashirika ya kibiasahra ya umoja huo ili yasilengwe kwa vikwazo vya Marekani kutokana na kufanya biashara na Iran. Hata hivyo amesema hatua zilizochukuliwa bado hazitoshi.

  • Uganda yasisitiza kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Uganda yasisitiza kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Jun 01, 2018 03:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda amesema kulindwa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA ni jambo lenye udharura mkubwa.

  • Russia: Marekani imejitoa kwenye JCPOA ili ikabiliane pande zote na Iran

    Russia: Marekani imejitoa kwenye JCPOA ili ikabiliane pande zote na Iran

    May 30, 2018 23:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema Marekani imeamua kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA kwa sababu inataka kukabiliana pande zote na Iran.

  • Ujerumani yaipigia magoti Iran, yaitaka isijiondoe JCPOA

    Ujerumani yaipigia magoti Iran, yaitaka isijiondoe JCPOA

    May 29, 2018 23:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema Berlin iko tayari kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran madhali Tehran itaendelea kufungamana na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Mogherini: Kulindwa JCPOA kuna umuhimu wa kiusalama kwa Ulaya

    Mogherini: Kulindwa JCPOA kuna umuhimu wa kiusalama kwa Ulaya

    May 28, 2018 21:15

    Mkuu wa Siasa za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA kuna umuhimu wa kiusalama kwa bara Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS