Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Jeshi la Majini la Iran kuunda nyambizi za nyuklia

    Jeshi la Majini la Iran kuunda nyambizi za nyuklia

    Apr 17, 2020 04:30

    Kamanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kikosi hicho kinajiandaa kuunda nyambizi zitakazotumia nishati ya nyuklia zenye uwezo wa kutekeleza operesheni za baharini kwa muda mrefu zaidi katika maji ya kimataifa.

  • Brigedia Amir Hatami: Jeshi la Iran ni miongoni mwa majeshi yaliyojiweka tayari zaidi duniani

    Brigedia Amir Hatami: Jeshi la Iran ni miongoni mwa majeshi yaliyojiweka tayari zaidi duniani

    Apr 15, 2020 12:58

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kutoa pongezi kwa mnasaba wa kuwadia Siku ya Jeshi la Iran amesema kuwa, katika mtazamo wa zana za kijeshi, nguvukazi, mafunzo na mipango, jeshi la nchi hii ni kati ya majeshi yaliyojiweka tayari zaidi duniani.

  • Bashar Asad: Syria itaanza opesheni dhidi ya wavamizi wa Kimarekani karibuni

    Bashar Asad: Syria itaanza opesheni dhidi ya wavamizi wa Kimarekani karibuni

    Mar 06, 2020 08:23

    Rais Bashar Assad wa Syria amesema kuwa Uturuki inatekeleza maagizo ya Marekani na inafanya juu chini kuhakikisha kwamba Damascus haikomboi mkoa wa Idlib kutoka kwenye makucha ya makundi ya kigaidi.

  • Jeshi la Syria lakomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib

    Jeshi la Syria lakomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib

    Feb 28, 2020 01:17

    Taasisi inayoitwa 'Watetezi wa Haki za Binaadamu Syria' imetangaza kuwa jeshi la Syria limefanikiwa kukomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib, kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Wakazi wa mkoa wa al Hasakah Syria waanzisha mapambano ya kuwafukuza wanajeshi wa Marekani

    Wakazi wa mkoa wa al Hasakah Syria waanzisha mapambano ya kuwafukuza wanajeshi wa Marekani

    Feb 14, 2020 02:40

    Gavana wa mkoa wa al Hasakah nchini Syria amezitaja hatua za mapambano zilizochukuliwa na raia wa vijiji kadhaa vya mkoa huo dhidi ya wanajeshi wa Marekani kuwa ni kuanza kwa mapambano ya wananchi ya kuwafukuza wanajeshi vamizi wa Marekani huko Syria.

  • Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Russia na Syria Baharini

    Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Russia na Syria Baharini

    Jan 22, 2020 01:03

    Majeshi ya Russia na Syria yamefanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bandari ya Tartus ya Syria katika pwani ya Bahari ya Mediterranea.

  • Njama za Marekani za kutaka kuficha hasara kubwa za shambulizi la makombora ya Iran huko Ainul Asad

    Njama za Marekani za kutaka kuficha hasara kubwa za shambulizi la makombora ya Iran huko Ainul Asad

    Jan 18, 2020 12:43

    Katika jitihada zake za kutimiza ahadi ya kulipiza kisasi kikali dhidi ya Marekani kutokana na mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na nchi hiyo dhidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani na wana jihadi wenzake, Alfajii ya Jumatano tarehe 8 Januari Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilishambulia kambi kubwa zaidi ya wanajeshi wa Marekani nchini Iraq ya Ainul Asad.

  • Muungano wa Marekani wahamisha makao yake makuu kutoka Iraq hadi Kuwait

    Muungano wa Marekani wahamisha makao yake makuu kutoka Iraq hadi Kuwait

    Jan 08, 2020 02:51

    Muungano eti wa kupambana na kundi la Daesh unaoongozwa na Marekani umehamisha makao yake makuu kutoka Iraq na kuyapeleka Kuwait kufuatia mauaji ya Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Naibu Kamanda wa kikosi cha kujitolea cha wananchi wa Iraq, al Hashdul Shaabi Abu Mahdi al Muhandes, na sisitizo la Iran la kulipiza kisasi mauaji hayo ya kigaidi yaliyofanywa na Marekani.

  • Marekani yazidi kumimina wanajeshi wake kaskazini mwa Syria + Video

    Marekani yazidi kumimina wanajeshi wake kaskazini mwa Syria + Video

    Nov 17, 2019 11:23

    Msafara mwingine mmoja wa wanajeshi wa Marekani umeingia katika mji wa Qamishli mkoani al Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria.

  • Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran: Tumetungua ndege isiyo na rubani ya nchi ya kigeni

    Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran: Tumetungua ndege isiyo na rubani ya nchi ya kigeni

    Nov 09, 2019 03:15

    Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran amesema kuwa jeshi hilo limetungua ndege isiyo na rubani ya nchi ya kigeni baada ya kuingia katika anga ya kusini mwa Iran katika eneo la Mahshahr.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS