-
Ruto: Wakfu wa US ndio unaochochea maandamano ya fujo Kenya
Jul 16, 2024 03:14Rais William Ruto wa Kenya ameujia juu Wakfu wa Ford wa Marekani, akiuhusisha na vurugu zilizoshuhudiwa nchini humo wakati wa maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha wa 2024 na jinsi utawala wa Kenya Kwanza unaendesha serikali.
-
Atiwa mbaroni baada ya kukiri kuua wanawake 42 Kenya
Jul 15, 2024 11:44Polisi nchini Kenya imemkamata mshukiwa wa mauaji ya makumi ya wanawake viungani mwa mji mkuu, Nairobi.
-
Mashinikizo ya vijana yamlazimisha Ruto alivunje Baraza la Mawaziri
Jul 11, 2024 13:02Rais William Ruto wa Kenya ametangaza kulivunja Baraza la Mawaziri kutokana na mashinikizo na maandamano ya vijana wa kizazi cha Gen-Z. Kwa mujibu wa sheria za Kenya, Rais hana mamlaka ya kumfuta kazi Naibu wake.
-
Rais William Ruto atia saini muswada wa IEBC, mashinikizo ya Gen Z yaanza kuzaa matunda
Jul 09, 2024 11:00Rais William Ruto wa Kenya Jumanne ya leo ametia saini muswada uliorekebishwa wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka wa 2024 kuwa sheria.
-
Mahakama Kenya yailaumu polisi kwa kifo cha mwandishi habari wa Pakistan
Jul 09, 2024 07:42Mahakama nchini Kenya jana ilitoa uamuzi ikisema kuwa kitendo cha polisi wa nchi hiyo cha kumpiga risasi mwandishi wa habari wa Pakistan mjini Nairobi mwaka 2022 kilikuwa kinyume cha sheria na kinyume na katiba.
-
Ruto achukua hatua za kubana matumizi kufuatia maandamano ya vijana
Jul 06, 2024 02:39Katika hatua za kubana matumizi, Rais William Ruto wa Kenya ametangaza kwamba atapunguza idadi ya washauri wa serikali kwa asilimia 50, huku watumishi wa umma waliofikisha umri wa kustaafu (miaka 60) wakitakiwa kuondoka kazini mara moja.
-
Rais Ruto aagiza kutazamwa upya nyongeza ya mishahara ya serikali
Jul 04, 2024 06:37Mapendekezo ya nyongeza ya mishahara kwa maafisa wa Serikali na wawakilishi wa Bunge la Kenya hayatatekelezwa baada ya Rais William Ruto wa nchi hiyo kuagiza kuangaliwa upya kwa mipango hiyo kufuatia malalamiko ya umma.
-
Maandamano ya vijana Kenya yaendelea, waandamanaji wamtaka Rais Ruto aondoke madarakani
Jul 02, 2024 14:53Vijana wa Kenya, wengi wao wakiwa Generation Z, wamerejea barabarani katika maandamano yaliyopewa jina la #OccupyEverywhere dhidi ya utawala wa Rais William Ruto.
-
UN: Tumeshtushwa na mauaji dhidi ya waandamanaji Kenya
Jun 28, 2024 03:20Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na maandamano ya ghasia ya kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 nchini Kenya, yaliyopelekea makumi ya watu kuuawa.
-
Waandamanaji Kenya wamtaka Rais Ruto ajiuzulu licha ya kuurejesha muswada wa fedha bungeni
Jun 27, 2024 12:42Waandamanaji Kenya wanamtaka Rais wa nchi hiyo William Ruto ajiuzulu licha ya uamuzi wake wa kuuondoa muswada tata wa fedha wa 2024 uliokuwa umedhamiria kuongeza ushuru ili kusaidia kupunguza mzigo wa madeni nchini humo.