-
Iran, Kenya kuimarisha ushirkiano wa kiuchumi
Jul 19, 2016 23:33Waziri wa Uchumi na Fedha wa Iran Ali Tayebnia ameelezea matumaini kuwa, baada ya kuondolewa vizingti vya uhusiano wa kibenki, Kenya na Iran zitaweza kuimarisha uhusiano katika sekta za biashara na viwanda.
-
Usalama waimarishwa zaidi Nairobi Kenya huku mkutano wa UNCTAD ukiendelea
Jul 18, 2016 09:33Usalama umeimarishwa katika mji mkuu wa Kenya Nairobi huku mkutano wa 14 wa Umoja wa Mataifa wa Biashara na Maendeleo (UNCTAD) ukiendelea kufanyika mjini humo.
-
Mkutano wa UNCTAD wafunguliwa Nairobi, Kenya
Jul 18, 2016 00:33Mkutano wa 14 Umoja wa Mataifa wa Biashara na Maendeleo (UNCTAD) uliofunguliwa jana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya mjini Nairobi umeanza kwa kutolewa wito wa kuwepo ushirikiano zaidi kati ya nchi za dunia.
-
Wapalestina washiriki mkutano wa ustawi wa biashara wa mjini Nairobi
Jul 17, 2016 11:23Duru za Palestina zimetangaza kuwa, ujumbe wa kiuchumi wa Wapalestina unashiriki katika Mkutano wa 14 wa Biashara na Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNCTAD) unaofanyika mjini Nairobi Kenya.
-
Maafisa sita wa polisi Kenya wauawa katika hujuma ya kigaidi
Jul 14, 2016 03:22Maafisa wasiopungua sita wa polisi wanaripotiwa kuuawa nchini Kenya baada ya gaidi kushambulia kituo cha polisi katika eneo la Kapenguria katika kaunti ya Pokot Magharibi inayopakana na Uganda.
-
Uganda haitatuma UPDF S/Kusini huku KQ ikisimamisha safari za ndege Juba
Jul 11, 2016 02:57Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limesema halitatuma askari wake kwenda kudhibiti hali ya mambo nchini Sudan Kusini, muda mfupi baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuzitaka nchi za kanda ya Afrika Mashariki kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro na mapigano mapya yaliyozuka nchini humo.
-
Viogozi wa Waislamu Kenya walalamikia safari ya Netanyahu
Jul 10, 2016 02:17Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamekosoa vikali uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na ziara ya hivi karibuni ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo dhalimu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Kenya yakanusha ripoti ya UN ya kuua raia 29 Somalia
Jul 08, 2016 23:51Kenya imekanusha vikali ripoti ya Umoja wa Mataifa inayodai kuwa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo KDF liliua raia wapatao 29 katika hujuma ya anga iliyolifanya baada ya wanamgambo wa al-Shabaab kuvamia kambi ya jeshi hilo katika eneo la El-Adde nchini Somalia Januari mwaka huu na kuua idadi kubwa ya askari wa Kenya waliokuwa chini ya kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM).
-
Katibu Mkuu wa Arab League alalamikia ziara ya Benjamin Netanyahu barani Afrika
Jul 07, 2016 02:54Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amesema kuwa, lengo la Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni la kutembelea nchi kadhaa za Afrika ni kujaribu kuitoa Israel katika dimbwi la kutengwa kimataifa.
-
Waislamu nchini Kenya wakosoa vikali uhusiano wa nchi yao na Israel
Jul 06, 2016 23:52Viongozi wa Waislamu katika eneo la Pwani nchini Kenya wamekosoa vikali uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na ziara ya hivi karibuni ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo dhalimu.