Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • UN yalaani mauaji ya wakili wa haki za binadamu Kenya

    UN yalaani mauaji ya wakili wa haki za binadamu Kenya

    Jul 06, 2016 00:02

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imelaani vikali mauaji ya wakili wa haki za binadamu nchini Kenya Bwana Willie Kimani, mteja wake Josphat Mwenda, na dereva wao wa taxi Joseph Muiruri, yaliyofanyika Juni 23.

  • Wakenya wakerwa na safari ya Netanyahu nchini humo

    Wakenya wakerwa na safari ya Netanyahu nchini humo

    Jul 05, 2016 09:27

    Safari ya Benjami Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel imewakera wananchi wa wengi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki na kulemaza shughuli za kila siku haswa wakazi wa mji mkuu, Nairobi.

  • Juhudi za Israel za kutaka kuwa na ushawishi barani Afrika

    Juhudi za Israel za kutaka kuwa na ushawishi barani Afrika

    Jul 05, 2016 03:21

    Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni jana usiku aliwasili Kenya katika ziara ya kiserikali.

  • Mawakili Kenya katika mgomo wa siku 5 kulalamikia kuuawa mwenzao

    Mawakili Kenya katika mgomo wa siku 5 kulalamikia kuuawa mwenzao

    Jul 04, 2016 23:21

    Maelfu ya mawakili nchini Kenya jana Jumatatu walitangaza mgomo wa siku tano wa kususia vikao mahakamana kufuatia kuuawa wakili mwenzao ambaye mwili wake ulipatikana ukiwa umetupwa kwenye mto kusini mashariki mwa mji mkuu, Nairobi.

  • Vijana wa Lamu Kenya wafanya usafi kujitayarisha kwa sikukuu ya Idul Fitr

    Vijana wa Lamu Kenya wafanya usafi kujitayarisha kwa sikukuu ya Idul Fitr

    Jul 02, 2016 08:21

    Vijana wa Lamu nchini Kenya wameendeleza sunna nzuri ya kufanya usafi kwa ajili ya kujitayarisha kwa sikukuu kubwa ya Waislamu, sikukuu ya Idul Fitr. Video hii inaonesha baadhi ya vijana hao wakiwa kazini wakizungumzia suala hilo...

  • Wakimbizi wa kambi ya Dadaab Kenya waanza kurejeshwa makwao

    Wakimbizi wa kambi ya Dadaab Kenya waanza kurejeshwa makwao

    Jul 02, 2016 07:52

    Oparesheni ya kuwarejeshwa makwao wakimbizi waliokuwepo katika kambi ya Dadaab huko Kenya imeanza licha ya kuwepo juhudi za kimataifa za kutaka kuzuia zoezi hilo.

  • Wakimbizi wa kambi ya Dadaab waanza kurejeshwa makwao

    Wakimbizi wa kambi ya Dadaab waanza kurejeshwa makwao

    Jul 02, 2016 03:33

    Operesheni ya kuwarejesha makwao wakimbizi wanaoishi katika kambi ya Dadaab huko mashariki mwa Kenya imeanza kutekelezwa.

  • Sita wauawa baada ya mabasi kufyatuliwa risasi Mandera Kenya

    Sita wauawa baada ya mabasi kufyatuliwa risasi Mandera Kenya

    Jul 01, 2016 10:50

    Watu wasiopungua sita wameuawa baada ya watu wenye silaha kuyamiminia risasi mabasi mawili hii leo katika kaunti ya Mandera nchini Kenya kwenye mpaka wa nchi hiyo na Somalia.

  • Ripoti: Wakenya 100 wamejiunga na ISIS Libya, Syria

    Ripoti: Wakenya 100 wamejiunga na ISIS Libya, Syria

    Jun 30, 2016 02:56

    Vyombo vya kiintelijensia nchini Kenya vinakadiria kuwa makumi ya raia wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki wamejiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) na kueleleza wasiwasi wao kuwa kundi hilo linaendelea kupanua wigo wake katika kanda ya Afrika Mashariki.

  • Jeshi la Kenya laua wanachama 4 wa al-Shabaab, Lamu

    Jeshi la Kenya laua wanachama 4 wa al-Shabaab, Lamu

    Jun 29, 2016 23:04

    Askari wa Kenya wamewaangamiza wanamgambo wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS