Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Kenya kuwa makao makuu ya Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa cha Afrika Mashariki

    Kenya kuwa makao makuu ya Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa cha Afrika Mashariki

    Jun 12, 2016 00:00

    Kenya imeteuliwa kuwa makao makuu ya kanda ya Kituo cha Kuratibu Udhibti wa Magonjwa Afrika, CDC-Africa, ili kufuatilia afya ya umma na changamoto katika nchi za Afrika Mashariki.

  • Serikali ya Kenya yaainisha muda wa kuondoka wakimbizi katika kambi ya Daadab

    Serikali ya Kenya yaainisha muda wa kuondoka wakimbizi katika kambi ya Daadab

    Jun 11, 2016 23:12

    Serikali ya Kenya imeainisha muhula wa kuondoka maelfu ya wakimbizi wanaoishi kwenye kambi ya Dadaab nchini humo.

  • Muungano wa CORD: Maandamano yako pale pale kila Jumatatu na Alkhamis Kenya

    Muungano wa CORD: Maandamano yako pale pale kila Jumatatu na Alkhamis Kenya

    Jun 10, 2016 23:52

    Muungano wa Cord nchini Kenya umetangaza kuandaa maandamano mapya siku ya Jumatatu na Alhamisi ijayo licha ya kuendelea juhudi za mazungumzo kati yake na serikali kuhusu utata unaohusu Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) nchini humo.

  • Mkuu wa UNHCR azuru Kenya kujadili kurejeshwa nyumbani wakimbizi kutoka Somalia

    Mkuu wa UNHCR azuru Kenya kujadili kurejeshwa nyumbani wakimbizi kutoka Somalia

    Jun 10, 2016 09:50

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi UNHCR Filippo Grandi yuko nchini Kenya ili kutathmini hali ya kambi ya wakimbizi ya Dadaab baada ya Kenya kuchukua uamuzi wa kufunga kambi hiyo yenye wakimbizi kutoka Somalia.

  • Somalia: Tuko tayari kuwapokea wakimbizi wa Dadaab

    Somalia: Tuko tayari kuwapokea wakimbizi wa Dadaab

    Jun 08, 2016 09:55

    Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia amesema nchi yake iko tayari kuwapokea raia wake kutoka kambi ya ya wakimbizi ya Dadaab nchini Kenya, kwa shabaha ya kuwapa fursa wakimbizi hao kujenga taifa lao.

  • Kenya yapiga marufuku kwa mara nyingine maandamano ya CORD

    Kenya yapiga marufuku kwa mara nyingine maandamano ya CORD

    Jun 08, 2016 02:26

    Kwa mara nyingine serikali ya Kenya imepiga marufuku maandamano ya aina yoyote ya wafuasi wa muungano wa CORD unaoongozwa na waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo Raila Odinga, ili kushinikiza viongozi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC kung'atuka madarakani.

  • Watu saba wauawa na kujeruhiwa Kenya

    Watu saba wauawa na kujeruhiwa Kenya

    Jun 06, 2016 23:11

    Mapigano kati ya vikosi vya usalama na waandamanaji katika mji wa Kisumu Kenya yamesababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine sita.

  • Kenya na Uturuki zakubaliana kushirikiana katika kubadilishana taarifa za usalama

    Kenya na Uturuki zakubaliana kushirikiana katika kubadilishana taarifa za usalama

    Jun 03, 2016 02:53

    Marais wa Kenya na Uturuki wamekubaliana nchi zao mbili kushirikiana katika kubadilishana taarifa za usalama na za kiintelijinsia kwa lengo la kuzima uwezekano wa kutokea mashambulio ya kigaidi.

  • Kenya yahimiza kufungwa kambi kubwa ya wakimbizi duniani ya Dadaab

    Kenya yahimiza kufungwa kambi kubwa ya wakimbizi duniani ya Dadaab

    Jun 01, 2016 11:08

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya amesema kuwa, kambi ya wakimbizi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo itakuwa imefungwa ifikapo mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka huu.

  • Wakenya wengine watatu wauliwa na ash Shabab

    Wakenya wengine watatu wauliwa na ash Shabab

    May 30, 2016 00:05

    Mkuu wa Jeshi la Polisi la eneo la Pwani nchini Kenya ametangaza habari ya kuuawa raia kadhaa wa nchi hiyo, jana asubuhi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS