-
Kenya yasisitiza azma yake ya kuzifunga kambi za wakimbizi za Dadaab na Kakuma
May 11, 2016 11:06Licha ya mashirika mbalimbali ya kimataifa kuendelea kuitaka Kenya ifikirie upya uamuzi wake wa kutaka kuzifunga kambi za wakimbizi za Dadaab na Kakuma, serikali ya Nairobi imesisitiza kwamba, imeazimia kuzifunga kambi hizo.
-
UN yaikosoa Kenya kwa kupanga kufunga kambi za wakimbizi
May 10, 2016 02:28Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Kenya kufikiria upya mpango wake wa kufunga kambi za wakimbizi za Dadaab na Kakuma.
-
Wapinzani Kenya wakaidi amri na kuandamana kupinga tume ya uchaguzi
May 09, 2016 10:49Wafuasi wa muungano wa upinzani wa Cord nchini Kenya wamekaidi amri ya serikali na kuibua ghasia nje ya makao makuu ya Tume Huru ya Uchaguzi IEBC mjini Nairobi.
-
Madaktari wasio na mpaka wakosoa uamuzi wa Kenya wa kutaka kufunga kambi za wakimbizi
May 09, 2016 03:14Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limekosoa uamuzi wa serikali ya Kenya wa kutaka kufunga kambi ya wakimbizi za Dadaab na Kakuma.
-
Walioaga dunia kwenye mkasa wa kuporomoka jengo Nairobi, Kenya wafikia 49
May 08, 2016 10:38Habari kutoka Nairobi, mji mkuu wa Kenya zinasema idadi ya watu waliopoteza maisha kwenye mkasa wa kuporomoka jengo mtaani Huruma jijini hapo imefikia watu 49, huku familia 191 zilizoathirika zikipewa hifadhi na shirika la Msalaba Mwekundu.
-
Kenya kufunga kambi za wakimbizi kutokana na sababu za kiusalama
May 06, 2016 08:48Kenya imesema inatathmini kufunga kambi zote za wakimbizi nchini humo zikiwemo za Dadaab na Kakuma zenye idadi kubwa ya raia wa Somalia hivi karibuni.
-
Kenya yasambaratisha mtandao uliotaka kufanya mashambulizi ya biolojia
May 04, 2016 03:23Jeshi la polisi la Kenya limesema kuwa, limefanikiwa kusambaratisha mtandao wa madaktari wenye mfungamano na genge la kigaidi la Daesh (ISIS) uliokuwa na nia ya kufanya mashambulizi makubwa ya silaha za biolojia nchini humo.
-
Mtoto wa miezi 6 apatikana hai baada ya siku 3 katika jengo lililoporomoka Nairobi
May 03, 2016 12:02Habari kutoka Kenya zinasema kuwa, mtoto wa miezi sita amepatikana akiwa hai bila kujeruhiwa kwenye vifusi vye jengo lililoporomoka katika mtaa wa Huruma jijini Nairobi siku tatu zilizopita.
-
Kenya yatathmini teknolojia ya kuzalisha umeme wa nyuklia
May 03, 2016 03:00Kenya imetangaza kuanzisha tathmini kuhusu ni teknolojia ipi ya nyuklia itumike ili kujenga kinu cha nyuklia nchini humo.
-
21 Wathibitishwa kufariki katika jengo lililoporomoka Nairobi
May 02, 2016 12:26Hadi sasa watu 21 wamethibitishwa kupoteza maisha katika jengo lililporomoka kwenye mji mkuu wa Kenya Nairobi siku ya Ijumaa.