-
Kuongezeka "chokoraa" Mombasa, Kenya
May 01, 2016 03:53Jiji la Mombasa nchini Kenya limegubikwa na idadi kubwa ya familiza za watu wa kurandaranda mitaani maarufu kwa jina la chokoraa huku idadi kubwa ya watu wao wakiwa si wenyeji wa eneo la Pwani.
-
Viongozi wa Afrika wakutana Kenya kujadili ujangili na magendo ya vipusa
Apr 30, 2016 03:08Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ni mwenyeji wa kongamano la viongozi wa bara hilo linalojadili athari za ujangili na magendo ya pembe za ndovu na vifaru, vinavyotishia sekta ya utalii na kuangamiza turathi za kitaifa barani humo.
-
Watu saba wapoteza maisha kufuatia mvua kali Nairobi
Apr 29, 2016 23:37Watu saba wanaripotiwa kupoteza maisha siku ya Ijumaa katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi kufuatia mvua kali zinazoendelea mjini humo.
-
Viongozi wa CORD wapigwa mabomu ya kutoa machozi Nairobi
Apr 25, 2016 12:04Viongozi wa Muungano wa CORD wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga na wafuasi wao wamekumbwa na zahama kubwa leo baada ya polisi kuwafyatulia mabomu ya kutoa machozi katika jaribio la kutawanya maandamano yao mbele ya jengo la Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC jijini Nairobi.
-
Rais wa Kenya aidhinisha sheria dhidi ya pufya
Apr 22, 2016 10:53Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo ameidhinisha sheria zitakatambua pufya au doping kuwa kosa la jinai.
-
Matangazo ya biashara yanayokiuka maadili marufuku Kenya
Apr 19, 2016 22:15Bodi ya Filamu nchini Kenya imepiga marufuku matangazo ya biashara yanayokiuka maadili mema katika redio, televisheni na maeneo ya umma nchini humo.
-
Kipindupindu chaua watu kadhaa Zambia
Apr 14, 2016 00:22Watu kadhaa wamepoteza maisha kutokana na kusambaa ugonjwa wa kipindupindu katika mji mkuu wa Zambia, Lusaka.
-
Al Shabab washambulia kituo cha polisi Kenya
Apr 10, 2016 10:42Magaidi wameshambulia kituo cha polisi katika mpaka wa Kenya na Somalia na kupora gari la polisi na kombora moja.
-
ICC: Naibu Rais wa Kenya hana kesi ya kujibu
Apr 05, 2016 12:12Mahakama ya Kimatiafa ya Jinai ICC imetangaza kuwa Naibu wa Rais wa Kenya William Ruto na mwanahabari Joshua Sang hawana kesi ya kujibu kufuatia kuvurugika mkondo wa kesi dhidi yao.
-
Wakenya waadhimisha mauaji ya Garissa kwa maandamano
Apr 02, 2016 12:04Mamia ya wanafunzi na wakazi wa mji wa Garissa nchini Kenya, wamefanya maandamano ya kulaani hujuma ya kundi la kigaidi la ash-Shabab katika chuo kikuu cha mji huo mwaka mmoja uliopita.