Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Kuongezeka

    Kuongezeka "chokoraa" Mombasa, Kenya

    May 01, 2016 03:53

    Jiji la Mombasa nchini Kenya limegubikwa na idadi kubwa ya familiza za watu wa kurandaranda mitaani maarufu kwa jina la chokoraa huku idadi kubwa ya watu wao wakiwa si wenyeji wa eneo la Pwani.

  • Viongozi wa Afrika wakutana Kenya kujadili ujangili na magendo ya vipusa

    Viongozi wa Afrika wakutana Kenya kujadili ujangili na magendo ya vipusa

    Apr 30, 2016 03:08

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ni mwenyeji wa kongamano la viongozi wa bara hilo linalojadili athari za ujangili na magendo ya pembe za ndovu na vifaru, vinavyotishia sekta ya utalii na kuangamiza turathi za kitaifa barani humo.

  • Watu saba wapoteza maisha kufuatia mvua kali Nairobi

    Watu saba wapoteza maisha kufuatia mvua kali Nairobi

    Apr 29, 2016 23:37

    Watu saba wanaripotiwa kupoteza maisha siku ya Ijumaa katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi kufuatia mvua kali zinazoendelea mjini humo.

  • Viongozi wa CORD wapigwa mabomu ya kutoa machozi Nairobi

    Viongozi wa CORD wapigwa mabomu ya kutoa machozi Nairobi

    Apr 25, 2016 12:04

    Viongozi wa Muungano wa CORD wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga na wafuasi wao wamekumbwa na zahama kubwa leo baada ya polisi kuwafyatulia mabomu ya kutoa machozi katika jaribio la kutawanya maandamano yao mbele ya jengo la Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC jijini Nairobi.

  • Rais wa Kenya aidhinisha sheria dhidi ya pufya

    Rais wa Kenya aidhinisha sheria dhidi ya pufya

    Apr 22, 2016 10:53

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo ameidhinisha sheria zitakatambua pufya au doping kuwa kosa la jinai.

  • Matangazo ya biashara yanayokiuka maadili marufuku Kenya

    Matangazo ya biashara yanayokiuka maadili marufuku Kenya

    Apr 19, 2016 22:15

    Bodi ya Filamu nchini Kenya imepiga marufuku matangazo ya biashara yanayokiuka maadili mema katika redio, televisheni na maeneo ya umma nchini humo.

  • Kipindupindu chaua watu kadhaa Zambia

    Kipindupindu chaua watu kadhaa Zambia

    Apr 14, 2016 00:22

    Watu kadhaa wamepoteza maisha kutokana na kusambaa ugonjwa wa kipindupindu katika mji mkuu wa Zambia, Lusaka.

  • Al Shabab washambulia kituo cha polisi Kenya

    Al Shabab washambulia kituo cha polisi Kenya

    Apr 10, 2016 10:42

    Magaidi wameshambulia kituo cha polisi katika mpaka wa Kenya na Somalia na kupora gari la polisi na kombora moja.

  • ICC: Naibu Rais wa Kenya hana kesi ya kujibu

    ICC: Naibu Rais wa Kenya hana kesi ya kujibu

    Apr 05, 2016 12:12

    Mahakama ya Kimatiafa ya Jinai ICC imetangaza kuwa Naibu wa Rais wa Kenya William Ruto na mwanahabari Joshua Sang hawana kesi ya kujibu kufuatia kuvurugika mkondo wa kesi dhidi yao.

  • Wakenya waadhimisha mauaji ya Garissa kwa maandamano

    Wakenya waadhimisha mauaji ya Garissa kwa maandamano

    Apr 02, 2016 12:04

    Mamia ya wanafunzi na wakazi wa mji wa Garissa nchini Kenya, wamefanya maandamano ya kulaani hujuma ya kundi la kigaidi la ash-Shabab katika chuo kikuu cha mji huo mwaka mmoja uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS