Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Haftar atoa dola milioni 2 kuimarisha uhusiano wa 'Jeshi la Kitaifa la Libya' na Marekani

    Haftar atoa dola milioni 2 kuimarisha uhusiano wa 'Jeshi la Kitaifa la Libya' na Marekani

    May 22, 2019 06:07

    Kamanda wa vikosi vinavyojiita Jeshi la Kitaifa la Libya lenye uhusiano wa karibu na Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) amekodisha shirika moja la kulobi la Marekani kwa shabaha ya kumsaidia kuimarisha uhusiano wake na Marekani.

  • Khalifa Haftar atishia kuziangamiza meli za Uturuki

    Khalifa Haftar atishia kuziangamiza meli za Uturuki

    May 21, 2019 22:51

    Kamanda wa vikosi vinavyojiiita Jeshi la Kitaifa la Libya amewaamuru wapiganaji wake kuishambulia meli yoyote ya Uturuki ambayo itakaribia katika eneo la pwani ya Libya.

  • Serikali ya Libya kuanzisha operesheni mpya kwa kutumia silaha za Uturuki

    Serikali ya Libya kuanzisha operesheni mpya kwa kutumia silaha za Uturuki

    May 19, 2019 20:51

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya inayoongozwa na Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj imetangaza habari ya kupokea zana mpya za kivita, vifaru na magari ya deraya kwa ajili ya kuyatumia katika operesheni zake dhidi ya wapiganaji wa jenerali muasi Khalifa Haftar.

  • Kuendelea mapigano nchini Libya; tishio kwa usalama wa kimataifa

    Kuendelea mapigano nchini Libya; tishio kwa usalama wa kimataifa

    May 14, 2019 07:22

    Sambamba na kuendelea mapigano nchini Libya na kupanuka wigo wake, Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya wametoa taarifa iliyoyataja mashambulio ya jeshi la taifa la Libya dhidi ya mji mkuu Tripoli na viunga vyake kwamba ni tishio kwa amani na usalama wa kimataifa.

  • Gadi ya Pwani Libya yawaokoa Wahamiaji haramu 150

    Gadi ya Pwani Libya yawaokoa Wahamiaji haramu 150

    May 12, 2019 22:58

    Gadi ya Pwani ya Libya imetangaza kuwaokoa takribani wahamiaji haramu wapatao 150 waliokuwa kwenye boti katika Bahari ya Mediterania wakielekea Ulaya.

  • Libya: Trump asitishe uungaji mkono wa kigeni kwa Jenerali  muasi Haftar

    Libya: Trump asitishe uungaji mkono wa kigeni kwa Jenerali muasi Haftar

    May 11, 2019 08:27

    Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya (GNA), ambayo inatambuliwa kimataifa, imemtaka rais Donald Trump wa Marekani asitishe uungaji mkono wa kigeni kwa jenerali muasi Khalifa Haftar ambaye askari wake wanaendeleza hujuma dhidi ya mji mkuu Tripoli.

  • Baraza la Usalama la UN lataka kusitishwa mapigano Libya

    Baraza la Usalama la UN lataka kusitishwa mapigano Libya

    May 11, 2019 03:36

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa mwito wa kusitishwa mapigano nchini Libya, huku likiziasa pande husika kurejea katika meza ya mazungumzo.

  • Makumi ya wahajiri wa Kiafrika waghariki katika pwani ya Tunisia

    Makumi ya wahajiri wa Kiafrika waghariki katika pwani ya Tunisia

    May 10, 2019 22:30

    Makumi ya wahajiri wamepoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika pwani ya Tunisia, wakitokea pwani ya Libya.

  • Tripoli yatishia kuyafutia leseni mashirika ya kigeni nchini Libya

    Tripoli yatishia kuyafutia leseni mashirika ya kigeni nchini Libya

    May 10, 2019 21:48

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya (GNA) yenye makao yake Tripoli na ambayo inaungwa mkono na jamii ya kimataifa imetishia kuyapokonya leseni mashirika 40 ajinabi likiwemo shirika la mafuta la Ufaransa Total yanayohudumu nchini humo.

  • Watu 3 wauawa katika shambulio la Daesh (ISIS) kusini mwa Libya

    Watu 3 wauawa katika shambulio la Daesh (ISIS) kusini mwa Libya

    May 09, 2019 07:47

    Kwa mara nyingine tena kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) limetumia mwanya uliosababishwa na mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya, kutekeleza shambulio kusini mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS