Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • ICC yatoa waranti nyingine ya kukamatwa kamanda wa jeshi la Libya

    ICC yatoa waranti nyingine ya kukamatwa kamanda wa jeshi la Libya

    Jul 05, 2018 08:58

    Kwa mara nyingine tena, majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wametoa waranti ya kutiwa nguvuni kamanda wa Jeshi la Taifa la Libya (LNA) anayetuhumiwa kuua makumi ya wafungwa wa kitakfiri.

  • Wahajiri 63 wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya

    Wahajiri 63 wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya

    Jul 03, 2018 11:07

    Wahajiri 63 wametoweka baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Libya, wakiwa katika jitihada za kuvuka bahari ya Mediterranean na kuingia barani Ulaya kutafuta maisha.

  • Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi

    Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi

    Jul 02, 2018 22:37

    Shirika la Taifa la Mafuta la Libya limetangaza kuwa mapigano ya hivi karibuni katika eneo la Hilali ya Mafuta nchini humo yamesababisha hasara ya mamilioni ya dola kwa uchumi wa nchi hiyo.

  • Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya

    Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya

    Jun 30, 2018 03:11

    Jenerali Khalifa Haftari, kamanda wa kikosi kinachojulikana kama Jeshi la Taifa la Libya ameonya kuhusiana na kuweko kwa vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo kwa kisingizio cha kupambana na uhajiri haramu.

  • Jeshi la Libya latangaza kukomboa kikamilifu mji wa Derna

    Jeshi la Libya latangaza kukomboa kikamilifu mji wa Derna

    Jun 29, 2018 02:52

    Vikosi vya Jeshi la Taifa la Libya vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar vimetangaza kuwa vimeshafanikiwa kukomboa kikamilifu mji wa Derna ulioko mashariki mwa nchi hiyo.

  • UNHCR: Misaada itolewe kwa ajili ya kuimarisha amani Libya, Mali na Niger

    UNHCR: Misaada itolewe kwa ajili ya kuimarisha amani Libya, Mali na Niger

    Jun 26, 2018 10:11

    Mkuu wa Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kutolewa misaada ya kifedha kwa ajili ya kuimarisha amani katika nchi za Mali, Niger na Libya.

  • Karibu wahajiri elfu moja wazuiwa kusafiri katika fukwe za Libya

    Karibu wahajiri elfu moja wazuiwa kusafiri katika fukwe za Libya

    Jun 25, 2018 10:07

    Karibu wahajiri elfu moja waliokuwa mbioni kupanda mitumbwi kuelekea barani Ulaya kupitia bahari ya Mediterranean wamezuia kusafiri katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita kwenye fukwe za Libya.

  • Libya yafurahishwa na uamuzi wa kuanzishwa tena safari za ndege baina yake na Syria

    Libya yafurahishwa na uamuzi wa kuanzishwa tena safari za ndege baina yake na Syria

    Jun 24, 2018 10:41

    Waziri wa Uchumi na Viwanda wa Libya amepongeza uamuzi uliotangazwa na Waziri wa Usafiri na Uchukuzi wa Syria kuhusu kuanzishwa tena safari za ndege baina ya nchi hizo mbili.

  • Mapigano yaripotiwa kuendelea kwenye Hilali ya Mafuta, Libya

    Mapigano yaripotiwa kuendelea kwenye Hilali ya Mafuta, Libya

    Jun 21, 2018 23:15

    Msemaji wa Jeshi la Libya amesema kuwa mapigano bado yanaendelea kati ya jeshi hilo la makundi ya waasi katika eneo linalojulikana kama Hilali ya Mafuta nchini humo.

  • Wahajiri haramu 191 waokolewa katika pwani za Libya

    Wahajiri haramu 191 waokolewa katika pwani za Libya

    Jun 19, 2018 03:06

    Askari wa gadi ya pwani ya Libya wamewaokoa wahajiri haramu 191 katika pwani za nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS