-
Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi
Jul 02, 2018 22:37Shirika la Taifa la Mafuta la Libya limetangaza kuwa mapigano ya hivi karibuni katika eneo la Hilali ya Mafuta nchini humo yamesababisha hasara ya mamilioni ya dola kwa uchumi wa nchi hiyo.
-
Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya
Jun 30, 2018 03:11Jenerali Khalifa Haftari, kamanda wa kikosi kinachojulikana kama Jeshi la Taifa la Libya ameonya kuhusiana na kuweko kwa vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo kwa kisingizio cha kupambana na uhajiri haramu.
-
Jeshi la Libya latangaza kukomboa kikamilifu mji wa Derna
Jun 29, 2018 02:52Vikosi vya Jeshi la Taifa la Libya vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar vimetangaza kuwa vimeshafanikiwa kukomboa kikamilifu mji wa Derna ulioko mashariki mwa nchi hiyo.
-
UNHCR: Misaada itolewe kwa ajili ya kuimarisha amani Libya, Mali na Niger
Jun 26, 2018 10:11Mkuu wa Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kutolewa misaada ya kifedha kwa ajili ya kuimarisha amani katika nchi za Mali, Niger na Libya.
-
Karibu wahajiri elfu moja wazuiwa kusafiri katika fukwe za Libya
Jun 25, 2018 10:07Karibu wahajiri elfu moja waliokuwa mbioni kupanda mitumbwi kuelekea barani Ulaya kupitia bahari ya Mediterranean wamezuia kusafiri katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita kwenye fukwe za Libya.
-
Libya yafurahishwa na uamuzi wa kuanzishwa tena safari za ndege baina yake na Syria
Jun 24, 2018 10:41Waziri wa Uchumi na Viwanda wa Libya amepongeza uamuzi uliotangazwa na Waziri wa Usafiri na Uchukuzi wa Syria kuhusu kuanzishwa tena safari za ndege baina ya nchi hizo mbili.
-
Mapigano yaripotiwa kuendelea kwenye Hilali ya Mafuta, Libya
Jun 21, 2018 23:15Msemaji wa Jeshi la Libya amesema kuwa mapigano bado yanaendelea kati ya jeshi hilo la makundi ya waasi katika eneo linalojulikana kama Hilali ya Mafuta nchini humo.
-
Wahajiri haramu 191 waokolewa katika pwani za Libya
Jun 19, 2018 03:06Askari wa gadi ya pwani ya Libya wamewaokoa wahajiri haramu 191 katika pwani za nchi hiyo.
-
Dereva wa Bin Laden atiwa mbaroni nchini Libya
Jun 18, 2018 03:04Dereva wa aliyekuwa kiongozi wa mtandao wa al Qaida, Usama bin Laden ametiwa mbaroni katika mji wa Derna wa mashariki mwa Libya.
-
Mufti Mkuu wa Libya aishambulia Imarati kwa kuchochea machafuko nchini mwake
Jun 15, 2018 23:34Mufti Mkuu wa Libya, Sheikh Sadiq al Ghariani ameushambulia vikali Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa kueneza fitna na kuchochea chuki na uhasama katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.