Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Umoja wa Mataifa umelaani mashambulizi ya Tripoli Libya

    Umoja wa Mataifa umelaani mashambulizi ya Tripoli Libya

    Oct 17, 2016 00:59

    Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Katika Masuala ya Libya amelaani mashambulizi yaliyofanywa katika majengo ya serikali huko Tripoli mji mkuu wa Libya.

  • Russia yatoa pendekezo la kusuluhisha mgogoro wa Libya

    Russia yatoa pendekezo la kusuluhisha mgogoro wa Libya

    Oct 05, 2016 11:18

    Russia yapendekeza kuwa msuluhishi katika mgogoro wa Libya

  • Wahajiri 5,600 wanusurika kifo katika pwani ya Libya

    Wahajiri 5,600 wanusurika kifo katika pwani ya Libya

    Oct 04, 2016 04:25

    Gadi ya ulinzi wa pwani ya Italia imesema wahajiri wapatao 5,600 wamenusurika kifo katika pwani ya Libya kwenye bahari ya Mediterranean wakielekea bara Ulaya jana Jumatatu; idadi inayotajwa kuwa kubwa zaidi ya wahajiri kuokolewa katika siku moja.

  • Libya yataka kuzidishwa ushirikiano wa kiusalama kati yake na Ufaransa

    Libya yataka kuzidishwa ushirikiano wa kiusalama kati yake na Ufaransa

    Sep 28, 2016 04:04

    Libya imetaka kuzidishwa ushirikiano wa kiusalama na kijeshi kati yake na Ufaransa.

  • Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ataka kuondolewa vikwazo vya silaha

    Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ataka kuondolewa vikwazo vya silaha

    Sep 24, 2016 01:11

    Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametaka nchi yake iondolewe vikwazo vya silaha

  • Wananchi wa Libya waandamana kumuunga mkono Khalifa Haftar

    Wananchi wa Libya waandamana kumuunga mkono Khalifa Haftar

    Sep 17, 2016 10:35

    Wananchi wa Libya wameandamana katika kona mbalimbali za nchi hiyo kutangaza uungaji mkono wao kwa Jenerali Khalifa Haftar, mkuu wa jeshi la nchi hiyo mashariki mwa nchi hiyo.

  • Mamia ya wahajiri haramu waokolewa katika fukwe za Libya

    Mamia ya wahajiri haramu waokolewa katika fukwe za Libya

    Sep 15, 2016 02:57

    Maafisa wa gadi ya ulinzi wa fukwe za Italia wametangaza habari ya kuokolewa amia ya wahajiri haramu katika fukwe za Libya.

  • Vikosi vitiifu kwa Jenerali Haftar vyashambulia bandari za mafuta Libya

    Vikosi vitiifu kwa Jenerali Haftar vyashambulia bandari za mafuta Libya

    Sep 11, 2016 09:43

    Vikosi vitiifu kwa Jenerali Khalifa Haftar kamanda wa kijeshi wa mashariki mwa Libya vimezishambulia bandari za mafuta nchini humo na kukabiliana na walinzi wa vituo hivyo.

  • Ufaransa yaitaka serikali ya Libya izungumze na makundi ya nchi hiyo

    Ufaransa yaitaka serikali ya Libya izungumze na makundi ya nchi hiyo

    Sep 03, 2016 11:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa ameyataka makundi ya Libya yatatue matatizo yao na serikali ya umoja wa kitaifa na yaisaidie serikali hiyo katika jitihada zake za kuleta umoja na kupambana na mifarakano nchini humo.

  • Waziri Mkuu wa Libya: Vita dhidi ya Daesh vitaendelea

    Waziri Mkuu wa Libya: Vita dhidi ya Daesh vitaendelea

    Sep 01, 2016 11:19

    Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametembelea mji wa Sirte, uliokuwa ngome kuu ya genge la kigaidi la Daesh na kusema kuwa, mapambano dhidi ya kundi hilo yataendelea hadi kulimaliza kabisa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS