-
Umoja wa Mataifa umelaani mashambulizi ya Tripoli Libya
Oct 17, 2016 00:59Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Katika Masuala ya Libya amelaani mashambulizi yaliyofanywa katika majengo ya serikali huko Tripoli mji mkuu wa Libya.
-
Russia yatoa pendekezo la kusuluhisha mgogoro wa Libya
Oct 05, 2016 11:18Russia yapendekeza kuwa msuluhishi katika mgogoro wa Libya
-
Wahajiri 5,600 wanusurika kifo katika pwani ya Libya
Oct 04, 2016 04:25Gadi ya ulinzi wa pwani ya Italia imesema wahajiri wapatao 5,600 wamenusurika kifo katika pwani ya Libya kwenye bahari ya Mediterranean wakielekea bara Ulaya jana Jumatatu; idadi inayotajwa kuwa kubwa zaidi ya wahajiri kuokolewa katika siku moja.
-
Libya yataka kuzidishwa ushirikiano wa kiusalama kati yake na Ufaransa
Sep 28, 2016 04:04Libya imetaka kuzidishwa ushirikiano wa kiusalama na kijeshi kati yake na Ufaransa.
-
Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ataka kuondolewa vikwazo vya silaha
Sep 24, 2016 01:11Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametaka nchi yake iondolewe vikwazo vya silaha
-
Wananchi wa Libya waandamana kumuunga mkono Khalifa Haftar
Sep 17, 2016 10:35Wananchi wa Libya wameandamana katika kona mbalimbali za nchi hiyo kutangaza uungaji mkono wao kwa Jenerali Khalifa Haftar, mkuu wa jeshi la nchi hiyo mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mamia ya wahajiri haramu waokolewa katika fukwe za Libya
Sep 15, 2016 02:57Maafisa wa gadi ya ulinzi wa fukwe za Italia wametangaza habari ya kuokolewa amia ya wahajiri haramu katika fukwe za Libya.
-
Vikosi vitiifu kwa Jenerali Haftar vyashambulia bandari za mafuta Libya
Sep 11, 2016 09:43Vikosi vitiifu kwa Jenerali Khalifa Haftar kamanda wa kijeshi wa mashariki mwa Libya vimezishambulia bandari za mafuta nchini humo na kukabiliana na walinzi wa vituo hivyo.
-
Ufaransa yaitaka serikali ya Libya izungumze na makundi ya nchi hiyo
Sep 03, 2016 11:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa ameyataka makundi ya Libya yatatue matatizo yao na serikali ya umoja wa kitaifa na yaisaidie serikali hiyo katika jitihada zake za kuleta umoja na kupambana na mifarakano nchini humo.
-
Waziri Mkuu wa Libya: Vita dhidi ya Daesh vitaendelea
Sep 01, 2016 11:19Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametembelea mji wa Sirte, uliokuwa ngome kuu ya genge la kigaidi la Daesh na kusema kuwa, mapambano dhidi ya kundi hilo yataendelea hadi kulimaliza kabisa.