-
Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (6)
Mar 16, 2025 08:06Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kama ilivyo mvua ya msimu wa machipuo, inayonyesha kwenye jangwa kavu lenye kiu ya maji. Jongeeni tukidhi kiu ya nyoyo zetu kwa maji ya mvua hii ya uzima.
-
Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (5)
Mar 13, 2025 07:24Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu ya tano ya kipindi hiki maalumu tulichokutayarishieni kwa mnasaba wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhni.
-
Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (3)
Mar 12, 2025 09:13Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza kipindi kingine maalumu ambacho tumekutayarishieni kwa mnasaba wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
-
Kuendelezwa sera za Mohammad Bin Salman za kupiga vita dini nchini Saudi Arabia
Mar 26, 2022 11:49Serikali ya Saudi Arabia imepitisha uamuzi wa kupiga marufuku kurushwa hewani adhana kwenye vyombo ya habari vya nchi hiyo katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Mkuu wa Jeshi la Polisi ya Tanzania: Polisi itakagua yanayofundishwa nyumba za ibada
Sep 11, 2021 13:30Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa litakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday Schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa.
-
Marekani: Saudia inaongoza kwa kukiuka uhuru wa kuabudu
Apr 30, 2019 12:22Kamisheni ya Kimataifa ya Kutathmini Uhuru wa Kuabudu ya Marekani (USCIRF) imeitaja Saudi Arabia kama moja ya nchi zinazoongoza duniani kwa kukiuka uhuru wa kuabudu.
-
Rais Rouhani apongeza umoja wa kidini nchini Iran
Jun 03, 2018 08:07Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza umoja miongoni mwa dini na madhehebu mbalimbali hapa nchini akisisitiza kuwa serikali yake imeazimia kulinda haki za jamii zote.
-
Dakta Zarif: Ugaidi si nembo ya dini wala kaumu yoyote ile
Aug 19, 2017 06:59Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali utendaji wa kindumakuwili wa baadhi ya mataifa kuhusiana na ugaidi.
-
Iran yakadhibisha madai ya US kuwa inakandamiza uhuru wa kuabudu
Aug 16, 2017 14:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepuuzilia mbali madai yaliyotolewa na Marekani kwamba hakuna uhuru wa kuabudu hapa nchini.
-
Viongozi wa kidini nchini Rwanda waunga mkono upangaji uzazi
Feb 12, 2017 07:55Viongozi wa kidini nchini Rwanda wamekutana katika mji mkuu Kigali kujadili njia za kuboresha afya ya uzazi.