Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

makubaliano ya nyuklia

  • IAEA: Hatujapokea taarifa yoyote kutoka Marekani kuhusu JCPOA

    IAEA: Hatujapokea taarifa yoyote kutoka Marekani kuhusu JCPOA

    Feb 14, 2017 10:50

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), Yukia Amano, amesema taasisi hiyo haijapokea taarifa wala kufanya mawasiliano yoyote na Marekani kuhusu msimamo wa Washington juu ya makubaliano ya nyuklia ya Iran.

  • Iran, Luxemberg zasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya nyuklia

    Iran, Luxemberg zasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya nyuklia

    Feb 14, 2017 10:46

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Luxemberg zimesisitizia umuhimu wa kuheshimiwa na kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya Vienna.

  • Rais wa Ufaransa amtaka Trump aheshimu JCPOA

    Rais wa Ufaransa amtaka Trump aheshimu JCPOA

    Jan 29, 2017 10:21

    Rais wa Ufaransa amemtaka Rais mpya wa Marekani aheshimu makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1 yaliyosainiwa huko Vienna nchini Austria Julai mwaka 2015.

  • Iran: Itibari ya JCPOA inategemea kuheshimiwa makubaliano hayo na pande zote

    Iran: Itibari ya JCPOA inategemea kuheshimiwa makubaliano hayo na pande zote

    Dec 13, 2016 04:39

    Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kufanikiwa makubaliano ya nyuklia kati ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi za kundi la 5+1 kunategemea iwapo pande zote zitayaheshimu na kuyatekeleza makubaliano hayo ipasavyo au la.

  • IAEA yathibitisha kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    IAEA yathibitisha kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    Dec 07, 2016 03:52

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umesema hatua ya Iran kuuza nje ya nchi maji mazito ya nyuklia ni katika sehemu ya kuonyesha kufangamana kwake na makubaliano ya nyuklia.

  • Jahangiri: Marekani imekiuka muafaka wa kimataifa

    Jahangiri: Marekani imekiuka muafaka wa kimataifa

    Dec 05, 2016 00:26

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali hatua ya Baraza la Seneti la Marekani ya kupitisha muswada wa kurefusha kwa muda wa miaka 10 mingine Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA) na kusema kuwa, kitendo hicho mbali na kuonyesha kuwa Washington haina muamana, pia ni ukiukaji wa makubaliano ya kimataifa.

  • CIA yamuonya Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Iran

    CIA yamuonya Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Iran

    Nov 30, 2016 11:08

    Shirika la Kijasusi la Marekani CIA limemuonya rais-mteule wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1.

  • Iran: Madola makubwa yasivuruge mapatano ya nyuklia

    Iran: Madola makubwa yasivuruge mapatano ya nyuklia

    Nov 18, 2016 00:53

    Balozi wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA amesema madola sita makubwa duniani ya kundi la 5+1 hayapaswi kuchukua hatua za kuvuruga utekelezaji mapatano ya nyuklia baina yao na Tehran.

  • IAEA yasisitizia, Iran imeheshimu makubaliano ya JCPOA

    IAEA yasisitizia, Iran imeheshimu makubaliano ya JCPOA

    Nov 10, 2016 04:27

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) umesisitiza tena katika ripoti yake mpya kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetekeleza na kuheshimu makubaliano ya nyuklia maarufu kama JCPOA kwa kifupi.

  • Rais Rouhani:  Hakuna nchi yoyote inayoweza kuyavuruga makubaliano ya nyuklia

    Rais Rouhani: Hakuna nchi yoyote inayoweza kuyavuruga makubaliano ya nyuklia

    Sep 22, 2016 10:51

    Rais Hassan Rouhani amesema hakuna nchi au rais wa nchi yoyote anayeweza kuyavuruga makubaliano ya nyuklia yaliyosainiwa baina ya Iran na nchi zinaounda kundi la 5+1 pamoja na Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS