-
IAEA: Hatujapokea taarifa yoyote kutoka Marekani kuhusu JCPOA
Feb 14, 2017 10:50Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), Yukia Amano, amesema taasisi hiyo haijapokea taarifa wala kufanya mawasiliano yoyote na Marekani kuhusu msimamo wa Washington juu ya makubaliano ya nyuklia ya Iran.
-
Iran, Luxemberg zasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya nyuklia
Feb 14, 2017 10:46Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Luxemberg zimesisitizia umuhimu wa kuheshimiwa na kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya Vienna.
-
Rais wa Ufaransa amtaka Trump aheshimu JCPOA
Jan 29, 2017 10:21Rais wa Ufaransa amemtaka Rais mpya wa Marekani aheshimu makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1 yaliyosainiwa huko Vienna nchini Austria Julai mwaka 2015.
-
Iran: Itibari ya JCPOA inategemea kuheshimiwa makubaliano hayo na pande zote
Dec 13, 2016 04:39Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kufanikiwa makubaliano ya nyuklia kati ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi za kundi la 5+1 kunategemea iwapo pande zote zitayaheshimu na kuyatekeleza makubaliano hayo ipasavyo au la.
-
IAEA yathibitisha kuwa Iran imefungamana na JCPOA
Dec 07, 2016 03:52Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umesema hatua ya Iran kuuza nje ya nchi maji mazito ya nyuklia ni katika sehemu ya kuonyesha kufangamana kwake na makubaliano ya nyuklia.
-
Jahangiri: Marekani imekiuka muafaka wa kimataifa
Dec 05, 2016 00:26Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali hatua ya Baraza la Seneti la Marekani ya kupitisha muswada wa kurefusha kwa muda wa miaka 10 mingine Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA) na kusema kuwa, kitendo hicho mbali na kuonyesha kuwa Washington haina muamana, pia ni ukiukaji wa makubaliano ya kimataifa.
-
CIA yamuonya Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Iran
Nov 30, 2016 11:08Shirika la Kijasusi la Marekani CIA limemuonya rais-mteule wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1.
-
Iran: Madola makubwa yasivuruge mapatano ya nyuklia
Nov 18, 2016 00:53Balozi wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA amesema madola sita makubwa duniani ya kundi la 5+1 hayapaswi kuchukua hatua za kuvuruga utekelezaji mapatano ya nyuklia baina yao na Tehran.
-
IAEA yasisitizia, Iran imeheshimu makubaliano ya JCPOA
Nov 10, 2016 04:27Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) umesisitiza tena katika ripoti yake mpya kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetekeleza na kuheshimu makubaliano ya nyuklia maarufu kama JCPOA kwa kifupi.
-
Rais Rouhani: Hakuna nchi yoyote inayoweza kuyavuruga makubaliano ya nyuklia
Sep 22, 2016 10:51Rais Hassan Rouhani amesema hakuna nchi au rais wa nchi yoyote anayeweza kuyavuruga makubaliano ya nyuklia yaliyosainiwa baina ya Iran na nchi zinaounda kundi la 5+1 pamoja na Umoja wa Mataifa.