Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

makubaliano ya nyuklia

  • Mahudhurio ya Iran katika Klabu ya Kimataifa ya Nyuklia

    Mahudhurio ya Iran katika Klabu ya Kimataifa ya Nyuklia

    Sep 17, 2016 04:46

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (IAEO) Ali Akbar Salehi amehutubia kongamano la kila mwaka la Klabu ya Kimataifa ya Nyuklia mjini London, Uingereza akisisitzia udharura wa kuwepo ushirikiano katika masuala ya teknolojia ya nyuklia.

  • Rouhani: Kundi la 5+1 halitekelezi ipasavyo JCPOA

    Rouhani: Kundi la 5+1 halitekelezi ipasavyo JCPOA

    Aug 03, 2016 03:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za kundi la 5+1 hazitekelezi barabara makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Siasa za kiistratejia za Marekani; kuendelea miamala ya kiuhasama dhidi ya Iran

    Siasa za kiistratejia za Marekani; kuendelea miamala ya kiuhasama dhidi ya Iran

    Jun 25, 2016 23:43

    Seneta Christopher Andrew Coons mwanachama wa ngazi ya juu wa chama cha Democrat katika Seneti ya Marekani amesema kuwa Iran bado ni hatari na ni nchi ya kimapinduzi; na kwamba ingali ni hatari kuu ya kinyuklia kwa miongo ijayo.

  • Iran yaitaka Marekani ichukue hatua zaidi kutekeleza mapatano ya nyuklia

    Iran yaitaka Marekani ichukue hatua zaidi kutekeleza mapatano ya nyuklia

    Jun 14, 2016 22:24

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani inapaswa kuchukua hatua zaidi katika utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia kwa kuziruhusu benki kufanya biashara na Iran baada ya kuondolewa vikwazo.

  • Utawala wa Kizayuni ni tishio pekee la nyuklia katika Mashariki ya Kati

    Utawala wa Kizayuni ni tishio pekee la nyuklia katika Mashariki ya Kati

    Jun 14, 2016 22:23

    Utawala wa Kizayuni wa Israel katika miaka ya hivi karibuni umefanya jitihada kubwa pamoja na Marekani ili kuidhihirisha miradi ya nyuklia ya Iran yenye malengo ya amani kuwa ina malengo ya kijeshi na kwa msingi huo imekuwa ikitaka kuidhihirisha Iran kuwa ni tishio kwa usalama wa Mashariki ya Kati.

  • Amano: Iran imefungamana na makubaliano ya nyuklia

    Amano: Iran imefungamana na makubaliano ya nyuklia

    Jun 04, 2016 09:22

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) amethibitisha kuwa Iran imefungamana na makubaliano ya nyuklia.

  • Hillary Clinton aunga mkono makubaliano ya nyuklia, amkosoa Trump

    Hillary Clinton aunga mkono makubaliano ya nyuklia, amkosoa Trump

    Jun 03, 2016 02:53

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats, Hillary Clinton ameunga mkono makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina ya madola makubwa ya dunia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rais Rouhani: Iran imesambaratisha chuki dhidi ya Uislamu

    Rais Rouhani: Iran imesambaratisha chuki dhidi ya Uislamu

    Apr 19, 2016 10:58

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa kubwa la Iran limesambaratisha njama za madola makubwa na Wazayuni za kueneza chuki dhidi ya Uislamu na chuki dhidi ya Iran

  • IAEA: Iran inatekeleza ipasavyo makubaliano ya nyuklia

    IAEA: Iran inatekeleza ipasavyo makubaliano ya nyuklia

    Apr 02, 2016 02:35

    Kwa mara nyingine tena Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umetoa ithibati kuwa serikali ya Tehran inatekelezwa barabara makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati yake na kundi la 5+1 Julai mwaka jana 2015.

  • Rouhani: Makubaliano ya nyuklia ni tukio litakalokumbukwa katika historia ya Iran na Dunia

    Rouhani: Makubaliano ya nyuklia ni tukio litakalokumbukwa katika historia ya Iran na Dunia

    Mar 27, 2016 22:31

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya Iran na kundi la 5+1 ni tukio litakalosalia katika historia ya Iran na dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS