Watu 28 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila katika eneo la Darfur magharibi mwa Sudan.
Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.
Viongozi wa eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamelitaka jeshi la nchi hiyo kukomesha mapigano yanayoendelea katika eneo hilo.
Mapigano yanayojiri nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati yamesababisha vifo vya watu wawili na kujeruhiwa wengine wanne.
Watu 13 wameuawa katika mapigano yaliyozuka baina ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi, mashariki mwa nchi hiyo.
Maandamano makubwa ya wananchi wa Morocco huko kaskazini mwa nchi hiyo, leo yamegeuka kuwa uwanja wa mapigano kati yao na vikosi vya usalama vya nchi hiyo ya kaskazini magharibi mwa Afrika.
Gavana wa eneo la Qibli kusini mwa Tunisia ametangaza kuwa watu 78 wamejeruhiwa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea jana katika eneo hilo.
Kwa akali watu 47 wameuawa katika mapigano yanayoendelea katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, kati ya wapiganaji wa makundi mawii hasimu ya kisiasa.
Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makumi ya maelfu ya watu wamekimbia makazi yao katikati mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kukimbilia kusini mwa nchi hiyo.
Makumi ya watu wameuawa baada ya vikosi tiifu kwa makundi hasimu ya kisiasa nchini Libya kukabiliana huko kusini mwa nchi.