Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mapigano

  • Mapigano yapamba moto kaskazini magharibi mwa Libya

    Mapigano yapamba moto kaskazini magharibi mwa Libya

    Sep 17, 2017 23:31

    Mapigano makali yamepamba moto kati ya makundi hasimu katika mji wa Misrata wa kaskazini magharibi mwa Libya. Mtu mmoja ameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa.

  • Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan Kusini na kuendelea mapigano

    Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan Kusini na kuendelea mapigano

    Aug 28, 2017 02:47

    Mgogoro wa kisiasa na mapigano katika nchi ya Sudan Kusini yanaendelea katika hali ambayo, kwa akali watu 40 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya yaliyotokea kati ya jeshi la nchi hiyo na waasi katika jimbo la Yei.

  • 19 akiwemo mwanahabari wa US wauawa katika mapigano Sudan Kusini

    19 akiwemo mwanahabari wa US wauawa katika mapigano Sudan Kusini

    Aug 26, 2017 23:15

    Watu 19 akiwemo mwandishi wa habari raia wa Marekani wameuawa katika mapigano mapya baina ya vikosi vya serikali na waasi wanaobeba silaha katika jimbo la Yei, nchini Sudan Kusini.

  • Mapigano makubwa ya kikabila yatokea katika mkoa wa Tanganyika DRC

    Mapigano makubwa ya kikabila yatokea katika mkoa wa Tanganyika DRC

    Aug 06, 2017 11:53

    Msemaji wa Jumuiya ya Kiraia ya mkoa wa Tanganyika katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza kuwa, kumetokea mapigano makubwa ya kikabila katika mkoa huo ambayo yamesababisha umwagaji damu mkubwa.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Sudan

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Sudan

    Jul 24, 2017 02:44

    Watu 28 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila katika eneo la Darfur magharibi mwa Sudan.

  • 60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia

    60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia

    Jul 23, 2017 09:19

    Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.

  • Jeshi la Congo latakiwa kukomesha mapigano mashariki mwa nchi

    Jeshi la Congo latakiwa kukomesha mapigano mashariki mwa nchi

    Jul 19, 2017 23:36

    Viongozi wa eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamelitaka jeshi la nchi hiyo kukomesha mapigano yanayoendelea katika eneo hilo.

  • Watu kadhaa wauawa katika mapigano ya ndani CAR

    Watu kadhaa wauawa katika mapigano ya ndani CAR

    Jul 01, 2017 02:03

    Mapigano yanayojiri nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati yamesababisha vifo vya watu wawili na kujeruhiwa wengine wanne.

  • Waasi 12 wa Maimai wauawa DRC

    Waasi 12 wa Maimai wauawa DRC

    Jun 18, 2017 03:23

    Watu 13 wameuawa katika mapigano yaliyozuka baina ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Mapigano yazuka baina ya waandamani na polisi nchini Morocco

    Mapigano yazuka baina ya waandamani na polisi nchini Morocco

    Jun 17, 2017 09:55

    Maandamano makubwa ya wananchi wa Morocco huko kaskazini mwa nchi hiyo, leo yamegeuka kuwa uwanja wa mapigano kati yao na vikosi vya usalama vya nchi hiyo ya kaskazini magharibi mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS