-
Mapigano yapamba moto kaskazini magharibi mwa Libya
Sep 17, 2017 23:31Mapigano makali yamepamba moto kati ya makundi hasimu katika mji wa Misrata wa kaskazini magharibi mwa Libya. Mtu mmoja ameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa.
-
Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan Kusini na kuendelea mapigano
Aug 28, 2017 02:47Mgogoro wa kisiasa na mapigano katika nchi ya Sudan Kusini yanaendelea katika hali ambayo, kwa akali watu 40 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya yaliyotokea kati ya jeshi la nchi hiyo na waasi katika jimbo la Yei.
-
19 akiwemo mwanahabari wa US wauawa katika mapigano Sudan Kusini
Aug 26, 2017 23:15Watu 19 akiwemo mwandishi wa habari raia wa Marekani wameuawa katika mapigano mapya baina ya vikosi vya serikali na waasi wanaobeba silaha katika jimbo la Yei, nchini Sudan Kusini.
-
Mapigano makubwa ya kikabila yatokea katika mkoa wa Tanganyika DRC
Aug 06, 2017 11:53Msemaji wa Jumuiya ya Kiraia ya mkoa wa Tanganyika katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza kuwa, kumetokea mapigano makubwa ya kikabila katika mkoa huo ambayo yamesababisha umwagaji damu mkubwa.
-
Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Sudan
Jul 24, 2017 02:44Watu 28 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila katika eneo la Darfur magharibi mwa Sudan.
-
60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia
Jul 23, 2017 09:19Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.
-
Jeshi la Congo latakiwa kukomesha mapigano mashariki mwa nchi
Jul 19, 2017 23:36Viongozi wa eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamelitaka jeshi la nchi hiyo kukomesha mapigano yanayoendelea katika eneo hilo.
-
Watu kadhaa wauawa katika mapigano ya ndani CAR
Jul 01, 2017 02:03Mapigano yanayojiri nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati yamesababisha vifo vya watu wawili na kujeruhiwa wengine wanne.
-
Waasi 12 wa Maimai wauawa DRC
Jun 18, 2017 03:23Watu 13 wameuawa katika mapigano yaliyozuka baina ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mapigano yazuka baina ya waandamani na polisi nchini Morocco
Jun 17, 2017 09:55Maandamano makubwa ya wananchi wa Morocco huko kaskazini mwa nchi hiyo, leo yamegeuka kuwa uwanja wa mapigano kati yao na vikosi vya usalama vya nchi hiyo ya kaskazini magharibi mwa Afrika.