Apr 18, 2017 03:52
Kufuatia kuendelea vurugu na machafuko nchini Libya na kuweko uwezekano wa kuibuka tena vita vya ndani katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo, Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imeitaka jamii ya kimataifa iingilie kati mgogoro wa nchi hiyo na kuhitimisha machafuko ya ndani.