Sep 20, 2017 14:00
Kituo cha operesheni dhidi ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kimeelezea habari ya kuendelea mapigano makali kati ya askari wanaosimamiwa na Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo na askari wanaoitwa 'Wanamapambano dhidi ya Daesh' chini ya komandi ya Khalifa Haftar, kamanda wa jeshi la kitaifa la nchi hiyo.