-
Mashambulizi mapya yasababisha kuuawa askari 2 na magaidi 16 Sinai, Misri
Mar 11, 2018 12:47Wimbi jipya la mapigano katika Rasi ya Sinai nchini Misri limepelekea kuuawa wapiganaji 16 wa kundi la kigaidi na wanajeshi wawili wa serikali.
-
Watu 22 wauawa Kongo katika mapigano ya kikabila
Feb 27, 2018 10:37Kwa akali watu 22 wameuawa kwenye mapigano ya kikabila mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu 30 wauawa katika mapigano ya kikabila Kongo DR
Feb 05, 2018 23:46Watu zaidi ya 30 wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea katika mkoa wa Ituri huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Mapigano mapya yaripotiwa karibu na mji mkuu wa Sudan Kusini
Jan 06, 2018 03:47Mapigano mapya kati ya jeshi na waasi yameripotiwa karibu na mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba, siku chache baada ya kuvurugika kwa makubaliano ya amani yaliyosainiwa kati ya pande hasimu za kisiasa mjini Addis Ababa nchini Ethiopia.
-
Mapigano yaanza tena katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Nov 26, 2017 09:47Duru za habari zinaripoti kutoka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwamba, mapigano makali yamezuka tena katika nchi hiyo na kuzusha wasiwasi mkubwa miongoni mwa raia.
-
Mapigano yaendelea kaskazini mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Nov 05, 2017 00:07Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imeripoti kuwa mapigano makali yangali yanaendelea katika mkoa wa Ouham kaskazini mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Watu 16 wauawa katika mapigano mashariki mwa Kongo DR
Oct 03, 2017 04:42Kwa akali wanachama 16 wa kundi la waasi wa Mai-Mai wameuawa katika mapigano na maafisa usalama, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kugeuka bunge la Uganda uwanja wa kurushiana makonde
Sep 28, 2017 23:04Mpango wa kuondolewa ukomo wa umri wa rais kwa ajili ya kumuwezesha Rais Yoweri Museven wa Uganda kugombea tena katika uchaguzi wa rais ujao, umepelekea bunge la nchi hiyo kukumbwa na hali ya mchafukoge.
-
Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano Sabratha, Libya
Sep 20, 2017 09:30Kituo cha operesheni dhidi ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kimeelezea habari ya kuendelea mapigano makali kati ya askari wanaosimamiwa na Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo na askari wanaoitwa 'Wanamapambano dhidi ya Daesh' chini ya komandi ya Khalifa Haftar, kamanda wa jeshi la kitaifa la nchi hiyo.
-
Mayahudi wa Orthodox waliokataa kujiunga na jeshi wapambana na askari wa Israel katika mji wa Quds
Sep 18, 2017 03:27Hatua ya mahkama kuu ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kufuta msamaha uliokuwa unawaruhusu Mayahudi wa Orthodox kutohudumu jeshini, imelifanya kundi moja la Mayahudi hao kufanya maandamano na kuanza kupambana vikali na askari wa Israel katika mji wa Quds unaokaliwa na utawala huo khabithi.