Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Syria yafichua kuwa Marekani inawapatia magaidi mafunzo na silaha huko Syria

    Syria yafichua kuwa Marekani inawapatia magaidi mafunzo na silaha huko Syria

    Jun 27, 2018 03:20

    Duru za habari zimearifu kuhusu awamu mpya ya misaada ya Marekani kwa magaidi huko Syria katika kipindi hiki cha utawala wa Donald Trump.

  • Larijani: Ni upuuzi kufanya mazungumo na Marekani

    Larijani: Ni upuuzi kufanya mazungumo na Marekani

    Jun 26, 2018 21:44

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema hakuna umuhimu na maana yoyote kufanya mazungumzo na Marekani, baada ya Washington kujiondoa kiwepesi kwenye mapatano ya kimataifa.

  • Syria yaikosoa Marekani kwa kuwasaidia wapiganaji wa Daesh

    Syria yaikosoa Marekani kwa kuwasaidia wapiganaji wa Daesh

    Jun 26, 2018 21:43

    Mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena ameikosoa Marekani kwa kuwasaidia kwa silaha na fedha wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh.

  • Marekani ni miongoni mwa nchi hatari zaidi kwa wanawake

    Marekani ni miongoni mwa nchi hatari zaidi kwa wanawake

    Jun 26, 2018 02:58

    Marekani imetajwa kuwa miongoni mwa nchi hatari zaidi kwa wanawake duniani ambapo imebainika kuwa katika kila wanawake watano nchini humo mmoja wao amewahi kunajisiwa.

  • Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria

    Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria

    Jun 25, 2018 23:51

    Ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani zimewasafarisha makamanda wawili wa kundi la kigaidi la Daesh kutoka eneo a Tuimin hadi katika kituo cha Marekani kilichoko katika mji wa al Shaddadah mkoani Hasakah nchini Syria.

  • Shamkhani: Baadhi ya pande Mashariki ya Kati zinajaribu kuitishwa Iraq ugaidi

    Shamkhani: Baadhi ya pande Mashariki ya Kati zinajaribu kuitishwa Iraq ugaidi

    Jun 25, 2018 23:50

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ameashiria jitihada za Marekani za kuwaunga mkono masalia ya magaidi katika eneo hili na kueleza kuwa baadhi ya nchi katika eneo hili zinafanya kila ziwezalo kuyumbisha amani na kuitishwa Iraq ugaidi. 

  • Iran: Mapatano ya nyuklia ya JCPOA bado yako hai

    Iran: Mapatano ya nyuklia ya JCPOA bado yako hai

    Jun 25, 2018 10:25

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, licha ya kwamba Marekani imejitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA lakini makubaliano hayo ya kimataifa bado yako hai na mazungumzo juu ya namna ya kuendeleza ushirikiano kupitia mapatano hayo yangali yanaendelea.

  • Kufuatiliwa mashitaka ya Iran dhidi ya Marekani katika mahakama ya kimataifa ya ICJ

    Kufuatiliwa mashitaka ya Iran dhidi ya Marekani katika mahakama ya kimataifa ya ICJ

    Jun 24, 2018 08:07

    Ijumaa iliyopita Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) ya The Hague, Uholanzi ilisema kwamba itaanza kuchunguza mashitaka ya Iran dhidi ya Marekani ya kuzuiliwa mabilioni ya dola zake katika benki za nchi hiyo.

  • Assad: Kufanya mazungumzo na Marekani ni kupoteza wakati

    Assad: Kufanya mazungumzo na Marekani ni kupoteza wakati

    Jun 23, 2018 09:27

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema ni kupoteza wakati kufanya mazungumzo na utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu mgogoro katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • ICJ kusikiliza kesi ya Iran dhidi ya Marekani kuhusu uzuiaji mabilioni ya dola

    ICJ kusikiliza kesi ya Iran dhidi ya Marekani kuhusu uzuiaji mabilioni ya dola

    Jun 23, 2018 09:23

    Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imesema itasikiliza kesi iliyowasilishwa na Iran dhidi ya Marekani kuhusu mabilioni ya dola ya fedha za Iran ambazo serikali ya Marekani imezuzuia katika benki za nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS