Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Indhari ya Russia kuhusu kufutwa makubaliano ya JCPOA na taathira zake mbaya

    Indhari ya Russia kuhusu kufutwa makubaliano ya JCPOA na taathira zake mbaya

    May 05, 2018 07:39

    Serikali ya Russia imetoa taarifa ikisisitiza kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni utaratibu ulio na mlingano weenye manufaa ya pande zote na kutahadharisha kuwa kuvunjwa makubaliano hayo kutakuwa kwa madhara. Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya Russia, kuvurugwa mlingano unaolegalega wa kimaslahi ndani ya makubaliano ya JCPOA kutakuwa na taathira kuu kwa usalama wa kimataifa na muundo unaopiga marufuku uenezaji wa silaha za nyuklia.

  • Marekani yazidi kuwazatiti kwa silaha waasi nchini Syria

    Marekani yazidi kuwazatiti kwa silaha waasi nchini Syria

    May 05, 2018 03:22

    Kwa mara nyingine tena, jana Ijumaa Marekani ilimimina shehena za silaha katika mkoa wa al Hasaka, kaskazini mwa Syria kama njia ya kuchochea vita na kuendeleza mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kwenye eneo hilo.

  • Russia: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itabidi iwekewe vikwazo

    Russia: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itabidi iwekewe vikwazo

    May 05, 2018 03:22

    Afisa mmoja wa Russia amesisitiza kuwa, kama Marekani itajitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA, itabidi iwekewe vikwazo vya kimataifa.

  • Ujumbe Muhimu wa Zarif kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran + VIDEO

    Ujumbe Muhimu wa Zarif kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran + VIDEO

    May 04, 2018 12:03

    Katika Ujumbe wake wa video hapo jana Alkhamisi, Muhammad Jawad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alisema kuwa kuna chaguo moja tu la kufanikisha makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita kubwa za dunia, nalo ni Marekani kutekeleza ahadi zake zote kuhusiana na makubaliano hayo.

  • Katibu Mkuu wa UN: JCPOA ni ushindi muhimu wa kidiplomasia

    Katibu Mkuu wa UN: JCPOA ni ushindi muhimu wa kidiplomasia

    May 04, 2018 02:55

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya dhidi ya kuvunjwa makubaliano ya nyuklia ya Iran huku akisisitiza kuwa mapatano hayo ni ushindi muhimu wa kidiplomasia ambayo yanapaswa kulindwa.

  • Zarif: Iran haitofanya mazungumzo yoyote kuhusu JCPOA na mapatano hayo hayataongezwa chochote

    Zarif: Iran haitofanya mazungumzo yoyote kuhusu JCPOA na mapatano hayo hayataongezwa chochote

    May 03, 2018 23:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika ujumbe alioutoa jana kwa njia ya video kwamba Tehran haitofanya mazungumzo yoyote mapya kuhusu JCPOA na wala mapatano hayo ya nyuklia hayataongezwa chochote. Amesema mapatano hayo yana njia moja tu nayo ni Marekani kuheshimu vipengee vyake vyote.

  • Muungano wa Marekani wafanya maauaji mengine ya umati nchini Syria

    Muungano wa Marekani wafanya maauaji mengine ya umati nchini Syria

    May 03, 2018 23:40

    Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani ambao unadai kupambana na magaidi wa Daeshi (ISIS) nchini Syria umefanya mauaji mengine ya umati dhidi ya raia wa mashariki mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Ripoti: Marekani imekuwa ikipigana bega kwa bega na Saudia nchini Yemen

    Ripoti: Marekani imekuwa ikipigana bega kwa bega na Saudia nchini Yemen

    May 03, 2018 23:25

    Gazeti moja la nchini Marekani limefichua kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wamekuwa wakishirikiana moja kwa moja na Saudi Arabia katika vita nchini Yemen

  • Mwanahistoria mashuhuri wa Kiyahudi: Marekani imewafanyia hadaa watu wa Palestina

    Mwanahistoria mashuhuri wa Kiyahudi: Marekani imewafanyia hadaa watu wa Palestina

    May 03, 2018 10:39

    Mwanahistoria mtajika wa Kiyahudi Ilan Pappé ameashiria jinsi baadhi ya Wapalestina walivyodhani kwamba Marekani ikiwa kama mpatanishi itasaidia mpango wa kuundwa nchi ya Palestina na kubainisha kuwa serikali za Marekani ikiwemo ya Barack Obama zimewafanyia hadaa watu wa Palestina.

  • Akthari ya Wamarekani: Mambo katika Ikulu ya White House yanaendeshwa shaghalabaghala

    Akthari ya Wamarekani: Mambo katika Ikulu ya White House yanaendeshwa shaghalabaghala

    May 03, 2018 10:11

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani yanaonyesha kuwa raia wengi wa nchi hiyo wanahisi hali katika Ikulu ya White House inakwenda shaghalabaghala.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS