-
Saeb Erekat: Taifa la Palestina katu halitakubali matakwa ya Marekani
Jan 24, 2018 23:30Katibu wa kamati ya utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema kuwa, matakwa na siasa za kuegemea upande mmoja za Marekani zinazotekelezwa kwa maslahi ya utawala haramu wa Israel katu hazikubaliwi na taifa la Palestina.
-
Russia na Syria zakanusha madai ya Marekani kuhusu silaha za kemikali
Jan 24, 2018 23:27Russia na Syria zimekadhibisha madai yaliyotolewa na Marekani na Ufaransa kwamba serikali ya Damascus imetumia silaha za kemikali katika mashambulizi yake, zikisisitiza kuwa tuhuma hizo zinapania kutia vizingiti katika juhudi za kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani mgogoro unaoshuhudiwa katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
UNRWA yazindua mfuko wa kimataifa baada ya Marekani kuipungizia misaada
Jan 23, 2018 04:24Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa UNRWA limezindua mfuko wa kimataifa utakaoisaidia taasisi hiyo kutekeleza majukumu yake baada ya Marekani kuipunguzia misaada.
-
Wahaiti waandamana kulaani kauli ya kebehi ya Trump dhidi ya nchi yao
Jan 22, 2018 23:56Wananchi wa Haiti wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa nchi hiyo, Port-au-Prince, kulaani matamshi ya kudhalilisha na ya kibaguzi yaliyotolewa na Donald Trump hivi karibuni.
-
Stratijia mpya ya ulinzi wa Marekani, kukaririwa madai bandia dhidi ya Iran
Jan 21, 2018 23:33Ijumaa iliyopita Jim Mattis, Waziri wa Ulinzi wa Marekani aliwasilisha waraka mpya wa stratijia za ulinzi za taifa la Marekani katika mwaka huu wa 2018.
-
UAE iliilipa kampuni ya Marekani kueneza propaganda dhidi ya Qatar
Jan 21, 2018 04:18Shirika la habari la NBC News limefichua kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu uliilipa kampuni moja ya Marekani dola 333,000 ili kueneza propaganda chafu dhidi ya Qatar mwaka jana.
-
Hassan Nasrullah: Inasikitisha kuona bado kuna nchi zinaendeleza uhusiano na Israel
Jan 20, 2018 01:12Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon sambamba na kuzitaka nchi zote za dunia kujiepusha kufanya uhusiano na utawala katili wa Israel, ameonyesha masikitiko kwamba bado kuna nchi zinaendeleza uhusiano na utawala huo.
-
Mpambe wa Trump mwenye chuki dhidi ya Waislamu ajiuzulu
Jan 19, 2018 10:39Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Marekani aliyeteuliwa na Rais Donald Trump amelazimika kujiuzulu baada ya kanali ya televisheni ya CNN kufichua kanda ya sauti, ambapo anasikika akitoa maneno ya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.
-
Tillerson asisitiza kuendelea kuwepo wanajeshi wa Marekani huko Syria
Jan 18, 2018 03:37Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amesisitiza kuendelea kuwepo wanajeshi wa nchi hiyo huko Syria.
-
Marekani yakosolewa kwa kuipunguzia msaada UNRWA
Jan 17, 2018 11:33Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwashughulikia wakimbizi wa Kipalestina limekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuipunguzia msaada tasisi hiyo kwa zaidi ya asilimia 50.