Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Wataalamu wanasema US ilitumia ripoti bandia kuishambulia Syria

    Wataalamu wanasema US ilitumia ripoti bandia kuishambulia Syria

    Apr 16, 2017 03:01

    Mtaalamu wa mada za kemikali wa Marekani amesema serikali ya Washington ilitumia ripoti bandia kutekeleza mashambulizi ya makombora ya tomahawk dhidi ya Syria.

  • Korea Kaskazini yaonyesha kombora jipya la balestiki la SLBMs

    Korea Kaskazini yaonyesha kombora jipya la balestiki la SLBMs

    Apr 15, 2017 03:19

    Katika hali ambayo taharuki imetanda katika Peninsula ya Korea , serikali ya Korea Kaskazini imezindua kombora lake jipya la balestiki la nyambizi (SLBMs).

  • Karzai aikosoa US kwa kudondosha

    Karzai aikosoa US kwa kudondosha "Mama wa Mabomu Yote" nchini Afghanistan

    Apr 15, 2017 03:08

    Rais wa zamani wa Afghanistan Hamid Karzai ameikosoa vikali Marekani kwa kuitumia nchi yake kama sehemu ya kufanyia majaribio ya silaha zake.

  • Amnesty yasema mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni ya jazba

    Amnesty yasema mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni ya jazba

    Apr 12, 2017 02:41

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani vikali hatua ya Marekani ya kukishambulia kituo cha kijeshi cha Syria kwa makombora na kusisitiza kuwa 'mashambulizi hayo ya jazba' sio njia mbadala ya kufanyika uchunguzi wa kina juu ya mashambulizi ya silaha za kemikali katika eneo la Khan Sheikhoun.

  • Kuendelea mgogoro wa Libya na hatari ya kugawanywa nchi hiyo

    Kuendelea mgogoro wa Libya na hatari ya kugawanywa nchi hiyo

    Apr 11, 2017 10:27

    Mshauri wa Rais wa Marekani ametoa pendekezo la kugawanywa nchi ya Libya katika nchi tatu zinazojitawala. Pendekezo hilo limetolewa katika kipindi hiki ambapo Libya inaendelea kuzongwa na mgogoro mkubwa wa kisiasa.

  • Rais Rouhani: Shambulio la Marekani Syria lilikuwa kwa ajili ya kufidia kushindwa kwa magaidi

    Rais Rouhani: Shambulio la Marekani Syria lilikuwa kwa ajili ya kufidia kushindwa kwa magaidi

    Apr 10, 2017 10:27

    Rais Hassan Rouhani amelaani shambulio la makombora lililofanywa na Marekani nchini Syria na kueleza kuwa: Shambulio hilo limefanywa kufidia kushindwa kwa magaidi nchini Syria na limewahamasisha magaidi hao kuendelea kufanya jinai zao nchini humo.

  • Rouhani na Putin walaani vikali mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria

    Rouhani na Putin walaani vikali mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria

    Apr 09, 2017 23:29

    Rais Hassan Rouhani wa Iran na mwenzake wa Russia Vladimir Putin wamelaani vikali hatua ya Marekani ya kukishambulia kituo cha kijeshi cha Syria kwa makombora na kusema kuwa kitendo hicho kilifanyika ili kuyapa motisha na kuyaunga mkono magenge ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Marekani imefeli katika njama za chuki dhidi ya Iran

    Marekani imefeli katika njama za chuki dhidi ya Iran

    Apr 09, 2017 23:09

    Njama za kila namna za Marekani katika kueneza chuki dhidi ya Iran zimefeli na hazijaweza kubadilisha fikra za waliowengi nchini humo.

  • Larijani: Litaundwa kundi la kuchunguza shambulio la kemikali huko Syria

    Larijani: Litaundwa kundi la kuchunguza shambulio la kemikali huko Syria

    Apr 09, 2017 02:33

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge amelaani mashambulizi ya makombora ya Marekani huko Syria kwa kisingizio cha kutekelezwa shambulio la kemikali nchini humo na kutaka kuundwa kundi la kuchunguza suala hilo.

  • Zarif: Shambulizi la Marekani dhidi ya Syria ni uzushi hatari sana

    Zarif: Shambulizi la Marekani dhidi ya Syria ni uzushi hatari sana

    Apr 08, 2017 22:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa shambulizi la makombora lililofanywa na Marekani dhidi ya Syria ni kinyume na sheria za kimataifa na uzushi hatari sana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS