Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mazungumzo yasiyo na natija kati ya Merkel na Trump

    Mazungumzo yasiyo na natija kati ya Merkel na Trump

    Mar 18, 2017 08:58

    Rais Donald Trump wa Marekani na Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel jana alasiri Machi 17 walifanya mazungumzo katika ikulu ya Rais wa Marekani (White House). Mazungumzo hayo yameshindwa kupunguza hitilafu za pande mbili katika masuala ya uchumi, usalama, siasa na jamii kutokana na viongozi wa Ujerumani na Marekani kushikilia misimamo yao ya huko nyuma.

  • Radiamali ya Iran kwa madai ya 'kipuuzi' ya Mwana Mfalme wa Saudia alipokutana na Trump

    Radiamali ya Iran kwa madai ya 'kipuuzi' ya Mwana Mfalme wa Saudia alipokutana na Trump

    Mar 18, 2017 04:04

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa vikali madai ya kipropaganda ya Riyadh na kuyataja kama ya kipuuzi na yasiyokuwa na msingi matamshi dhidi ya Tehran yaliyotolewa na Mwana Mfalme wa Saudi Arabia alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Marekani, Donald Trump katika Ikulu ya White House hivi karibuni.

  • Marekani: Chaguo la kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini lipo mezani

    Marekani: Chaguo la kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini lipo mezani

    Mar 18, 2017 03:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema Washington haitavumilia tena chokochoko za Korea Kaskazini na ikibidi, US itashambulia kijeshi Pyongyang.

  • Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Mar 17, 2017 00:27

    Vyombo vya habari vya nchini Marekani vimeripoti habari ya kushambuliwa msikiti mwingine, kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Amnesty yaitaka US ikome kuziuzia silaha Saudia na Bahrain

    Amnesty yaitaka US ikome kuziuzia silaha Saudia na Bahrain

    Mar 16, 2017 11:05

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Marekani iache kuziuzia silaha serikali za Saudi Arabia na Bahrain kutokana na nchi hizo kutumia silaha hizo kuvunja haki za raia.

  • Sudan Kusini: Marekani inachochea machafuko kwa kuwafadhili waasi nchini mwetu

    Sudan Kusini: Marekani inachochea machafuko kwa kuwafadhili waasi nchini mwetu

    Mar 16, 2017 11:04

    Serikali ya Juba imeituhumu Marekani kuwa inachochea machafuko na mapigano nchini humo, kwa kuyaunga mkono na kuyafadhili magenge ya waasi.

  • Zarif: Vikwazo  vya Marekani dhidi ya Iran havina natija iyokusudiwa

    Zarif: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina natija iyokusudiwa

    Mar 16, 2017 03:55

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran katika nyuga za kisaisa na kiuchumi vitaku na natija ambayo Wamarekani hawakukusudia.

  • Marekani yaongoza kwa kuwa na wafungwa wengi duniani

    Marekani yaongoza kwa kuwa na wafungwa wengi duniani

    Mar 15, 2017 12:56

    Ripoti mpya iliyotolewa hivi karibuni inaonyesha kuwa idadi ya wafungwa wanaoshikiliwa katika jela za Marekani ni kubwa zaidi kuliko ya nchi zote duniani na hivi sasa kuna karibu wafungwa milioni mbili na laki tatu katika jela za nchi hiyo.

  • Mwana wa Muhammad Ali akamatwa tena Marekani kwa kuwa ni Muislamu

    Mwana wa Muhammad Ali akamatwa tena Marekani kwa kuwa ni Muislamu

    Mar 12, 2017 14:58

    Mwana wa aliyekuwa bingwa wa masumbwi duniani marehemu Muhammad Ali, amekamtwa na kusailiwa tena katika uwanja wa ndege wa mji mkuu wa Marekani, Washington, DC kabla ya kuruhusiwa kupanda ndege.

  • Sanders: Trump ataitumbukiza Marekani katika utawala wa kiimla

    Sanders: Trump ataitumbukiza Marekani katika utawala wa kiimla

    Mar 12, 2017 04:22

    Aliyekuwa mgombea tiketi ya kukiwakilisha chama cha Democrati katika uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka jana 2016, Bernie Sanders ameonya kuwa Rais Donald Trump ataitumbukiza nchi hiyo katika utawala wa kidikteta na kiimla.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS