Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Trump: Hillary Clinton ni mzizi wa matatizo ya kiusalama duniani

    Trump: Hillary Clinton ni mzizi wa matatizo ya kiusalama duniani

    Jul 22, 2016 10:15

    Mgombea wa kiti cha rais kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump amesema aghalabu ya changamoto za kiusalama zinaoikabili dunia kwa sasa zilisababishwa na hasimu wake wa kisiasa Hillary Clinton, anayetaka kuwa rais kupitia chama cha Democrats.

  • Uchunguzi wa Pew: Wamarekani weusi, wahanga wa ubaguzi wa rangi

    Uchunguzi wa Pew: Wamarekani weusi, wahanga wa ubaguzi wa rangi

    Jul 19, 2016 03:29

    Uchunguzi mpya wa maoni unaonesha kuwa, Wamarekani wengi weusi wanaamini kuwa ni wahanga wa ubaguzi wa rangi.

  • Marekani yakiri, Iran imetekeleza JCPOA

    Marekani yakiri, Iran imetekeleza JCPOA

    Jul 19, 2016 03:09

    Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amekiri kwamba, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hadi sasa imetekeleza vipengee vyote vya makubaliano ya nyuklia maaufu kwa kifupi JCPOA.

  • Zarif: Marekani ina utendaji dhaifu katika utekelezaji mapatano ya nyuklia na Iran

    Zarif: Marekani ina utendaji dhaifu katika utekelezaji mapatano ya nyuklia na Iran

    Jul 18, 2016 23:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema Marekani imekuwa na utendaji dhaifu katika kufungamana na mapatano ya nyuklia yaliyofikiwa mwezi Julai mwaka jana baina ya Iran na madola sita makubwa duniani ya kundi la 5+1.

  • Muqtada Sadr atahadharisha juu ya kutumwa askari wa US, Iraq

    Muqtada Sadr atahadharisha juu ya kutumwa askari wa US, Iraq

    Jul 18, 2016 03:14

    Kiongozi wa Kiislamu nchini Iraq ameitahadharisha Marekani dhidi ya kutuma askari wake zaidi nchini humo kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi.

  • Iran yasema Marekani haitekelezi ipasavyo JCPOA

    Iran yasema Marekani haitekelezi ipasavyo JCPOA

    Jul 17, 2016 23:51

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa ameikosoa Marekani kwa kushindwa kutekeleza ipasavyo makubaliano ya nyuklia ya Vienna, mwaka mmoja tangu yatiwe saini nchini Austria.

  • Ripoti ya siri ya Kongresi: Saudia ilihusika katika mashambulizi ya Septemba 11

    Ripoti ya siri ya Kongresi: Saudia ilihusika katika mashambulizi ya Septemba 11

    Jul 16, 2016 02:18

    Kongresi ya Marekani imechapicha sehemu moja ya ripoti ya siri kuhusu mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11 mwaka 2001 nchini Marekani mbayo inaeleza uwezekano kwamba Saudi Arabia ilikuwa na uhusiano na watekelezaji wa mashambulizi hayo.

  • Newt Gingrich: Waislamu wafukuzwe Marekani

    Newt Gingrich: Waislamu wafukuzwe Marekani

    Jul 16, 2016 00:06

    Spika wa zamani wa Kongresi ya Marekani amesema kuwa Waislamu wanaoshikamana na sheria za Kiislamu wanapaswa kufukuzwa nchini Marekani.

  • Ijumaa 15 Julai 2016

    Ijumaa 15 Julai 2016

    Jul 15, 2016 00:01

    Leo ni Ijumaa tarehe 10 Shawwal 1437 Hijria inayosadifiana na 15 Julai 2016.

  • Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia

    Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia

    Jul 14, 2016 23:41

    Mamia ya Wamarekani wenye asili ya nchi za Mashariki ya Kati wamefanya maandamano mjini Washington kulaani uungaji mkono wa Saudi Arabia kwa makundi ya kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS