Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • China na Marekani zatunishiana misuli juu ya Bahari ya China Kusini

    China na Marekani zatunishiana misuli juu ya Bahari ya China Kusini

    Jul 13, 2016 23:38

    China imeionya Marekani na waitifaki wake katika eneo dhidi ya kugeuza kadhia ya Bahari ya China Kusini kuchochea taharuki na vita.

  • Jumuiya za Kiislamu Marekani zapinga propaganda chafu katika vitabu vya shule

    Jumuiya za Kiislamu Marekani zapinga propaganda chafu katika vitabu vya shule

    Jul 13, 2016 10:49

    Kundi linalojumuisha jumuiya 15 kubwa za Kiislamu nchini Marekani limelalamikia kitendo cha kuwekwa propaganda chafu dhidi ya Uislamu katika vitabu vya shule za jimbo la California.

  • Amnesty yaeleza wasiwasi kutokana na kukamatwa waandamanaji Marekani

    Amnesty yaeleza wasiwasi kutokana na kukamatwa waandamanaji Marekani

    Jul 11, 2016 12:27

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza wasiwasi wake mkubwa kutokana na kukamatwa waandamanaji wanopinga ukatili wa polisi nchini Marekani.

  • Mwanae bin Laden aitisha Marekani kuwa atalipiza kisasi

    Mwanae bin Laden aitisha Marekani kuwa atalipiza kisasi

    Jul 10, 2016 23:04

    Mwana wa kiume wa Osama bin Laden, kinara wa zamani wa mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda ametuma ujumbe wa sauti na kuitishia Marekani kuwa, atalipiza kisasi damu ya baba yake.

  • Wamarekani waendelea kupinga ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi

    Wamarekani waendelea kupinga ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi

    Jul 09, 2016 23:25

    Marekani imegubikwa na wingu zito la maandamano ya wananchi wanaopinga ukatili na mauaji yanayofanywa na polisi wazungu dhidi ya raia wenye asili ya Afrika.

  • Iran yakosoa Kongresi ya Marekani kuzuia uuzwaji ndege za Boeing

    Iran yakosoa Kongresi ya Marekani kuzuia uuzwaji ndege za Boeing

    Jul 08, 2016 08:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani inapaswa kuondoa matatizo yanayoibuka nchini humo kuhusu utekelezwaji mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango wa Pamoja wa Utekelezwaji JCPOA.

  • Polisi 4 wa Marekani wauawa Dallas, maelfu wapinga ukatili wa polisi

    Polisi 4 wa Marekani wauawa Dallas, maelfu wapinga ukatili wa polisi

    Jul 08, 2016 03:50

    Maafisa 4 polisi ya Marekani wameuwa baada ya 11 miongoni mwao kupigwa risasi katika maandamano ya wananchi wanaopinga ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya Wamarekani weusi katika mji wa Dallas, Texas.

  • Mlipuko nje ya ubalozi mdogo wa Marekani Jeddah, Saudi Arabia

    Mlipuko nje ya ubalozi mdogo wa Marekani Jeddah, Saudi Arabia

    Jul 04, 2016 09:45

    Bomu limelipuka nje ya jengo la ubalozi mdogo wa Marekani mjini Jeddah, Saudi Arabia na kuwajeruhi maafisa wawili wa polisi.

  • Uchunguzi kuhusu Marekani kuitungua ndege ya abiria ya Iran

    Uchunguzi kuhusu Marekani kuitungua ndege ya abiria ya Iran

    Jul 02, 2016 08:50

    Kwa munasaba wa kukumbuka jinai ya kivita ya Marekani kuitungua ndege ya abiria ya Iran mnamo Julai 3 mwaka 1988, kumeitishwa kikao cha kujadili mitazamo ya kisheria kuhusu tukio hilo.

  • Kukiri Marekani kuhusu kuuawa raia na ndege zake zisizo na rubani

    Kukiri Marekani kuhusu kuuawa raia na ndege zake zisizo na rubani

    Jul 02, 2016 03:42

    Hatimaye serikali ya Marekani imekiri wazi kwamba, zaidi ya raia 116 wameuawa wakati wa mashambulio ya ndege zake zisizo na rubani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS