-
$206m zatumika kueneza hofu na chuki dhidi ya Uislamu Marekani
Jun 21, 2016 23:35Imebainika kuwa kueneza chuki na woga dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Marekani kumegeuzwa kuwa biashara yenye kugharimu mamilioni ya dola za nchi hiyo.
-
Ripoti: Idadi ya Wamarekani weusi wanaofungwa jela ni mara 5 zaidi ya Weupe
Jun 19, 2016 10:11Ripoti mpya imefichua kuwa Wamarekani wenye asili ya Afrika wako katika hatari ya kuburuzwa jela mara tano zaidi kuliko wenzao Weupe.
-
Saudia yakariri wito wake kwa Marekani kuishambulia kijeshi Syria
Jun 18, 2016 02:30Kwa mara nyingine tena utawala wa Saudi Arabia umeitaka Marekani kuishambulia kijeshi Syria na kusisitiza kuwa mashambulizi ya anga dhidi ya majengo ya serikali ndo yataweza kumuondoa mamlakani Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo.
-
Sanders ataka mabadiliko katika chama cha Democratic Marekani
Jun 17, 2016 03:53Bernie Sanders anayewania nafasi ya kuwakilisha chama cha Demicratic katika uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani ametoa wito wa kufanyika mabadilliko ya kimsingi ndani ya chama hicho akisema kuwa kinadhibitiwa na matajiri na wafadhili.
-
Kiongozi Muadhamu aonya kuhusu njama za maadui wa Iran
Jun 15, 2016 04:05Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametahadharisha juu ya njama za maadui wanaoazimia kukwamisha maendeleo ya Iran.
-
Wanaharakati: Marekani haina nia ya kubadilisha sheria ya kumiliki silaha
Jun 15, 2016 02:57Wasomi, wadadisi wa mambo na watetezi wa haki za binadamu nchini Marekani wamesema serikali ya Washington haina azma ya kuangalia upya sheria ya kumiliki silaha licha ya mauaji ya kutisha ya hivi karibuni ya Orlando.
-
Iran yaitaka Marekani ichukue hatua zaidi kutekeleza mapatano ya nyuklia
Jun 14, 2016 22:24Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani inapaswa kuchukua hatua zaidi katika utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia kwa kuziruhusu benki kufanya biashara na Iran baada ya kuondolewa vikwazo.
-
Mauaji ya kutisha Orlando, Marekani
Jun 13, 2016 03:24Watu wasiopungua 50 wameuawa na wengine 53 kujeruhiwa katika ufyatuaji wa risasi uliotokea katika jimbo la Florida nchini Marekani.
-
Baraza la Waislamu Marekani lalaani mauaji ya Orlando
Jun 13, 2016 02:27Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limelaani hujuma katika mji wa Orlando nchini Marekani ambapo watu wasiopungua 50 waliuawa jana katika klabu moja huku wengine 53 wakijeruhiwa.
-
Marekani yashinikiza kufungwa akaunti 3,000 zaidi za 'Hizbullah'
Jun 11, 2016 03:26Zaidi ya akaunti 3,000 za benki za watu wanaoaminika kuwa na mafungamano na harakati ya Hizbullah ya Lebanon zinatazamiwa kufungwa karibuni hivi, kufuatia mashinikizo ya Marekani.