Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kuendelea himaya ya Marekani kwa Israel; kuongezeka mashahidi wa Kipalestina katika anga ya uhaba wa chakula na dawa

    Kuendelea himaya ya Marekani kwa Israel; kuongezeka mashahidi wa Kipalestina katika anga ya uhaba wa chakula na dawa

    Mar 12, 2024 22:40

    Kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni katika kivuli cha uungaji mkono wa Marekani kwa utawala huo na kufungwa njia za kufikisha misaada na kuingia chakula na dawa katika Ukanda wa Gaza kumesababisha kuongezeka la idadi ya mashahidi wa Palestina.

  • Watunisia waandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Tunis dhidi ya Israel

    Watunisia waandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Tunis dhidi ya Israel

    Mar 12, 2024 04:11

    Wananchi wa Tunisia jana waliandamana mbele ya ubalozi wa Marekani huko Tunis mji mkuu wa Tunisia kulaani mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Iran: Msaada wa kimaonyesho wa US kwa Gaza ni mchezo mchungu wa kuigiza

    Iran: Msaada wa kimaonyesho wa US kwa Gaza ni mchezo mchungu wa kuigiza

    Mar 11, 2024 08:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani kile alichokitaja kuwa onyesho chungu la kipropaganda la Marekani na kueleza kuwa, hatua ya Washington ya kudai kuwapa misaada ya kibinadamu Wapalestina wa Gaza, na wakati huo huo inazuia juhudi za kimataifa za usitishaji vita katika eneo hilo lililozingirwa, ni kichekesho.

  • Kukosolewa propaganda za Marekani kuhusiana na misaada ya kibinadamu

    Kukosolewa propaganda za Marekani kuhusiana na misaada ya kibinadamu

    Mar 10, 2024 07:50

    Akihutubia bunge la Marekani siku ya Alkhamisi, Rais Joe Biden alisema ameliamuru jeshi la nchi hiyo kuweka bandari kwenye pwani ya Gaza katika Bahari ya Mediterania.

  • Wapalestina watano wauawa na misaada wa kudondoshwa kutoka angani, Gaza

    Wapalestina watano wauawa na misaada wa kudondoshwa kutoka angani, Gaza

    Mar 09, 2024 08:19

    Wapalestina watano wameuawa na vifurushi vya misaada vilivyodondoshwa na ndege za Marekani na washirika wake kwenye Ukanda wa Gaza unaozingirwa na Israel, huku mamlaka ya Gaza ikilishutumu zoezi hilo kuwa ni "propaganda tupu" na sio huduma ya kibinadamu.

  • Kamanda Salami: Vita vya Gaza vimeifedhehesha Marekani

    Kamanda Salami: Vita vya Gaza vimeifedhehesha Marekani

    Mar 08, 2024 03:53

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amesema mauaji ya wanawake, watoto wadogo na raia wengine wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza si kitu chochote kingine ghairi ya aibu na fedheha kwa Marekani.

  • Marekani yafanya kimya kimya mauzo 100 ya silaha kwa Israel

    Marekani yafanya kimya kimya mauzo 100 ya silaha kwa Israel

    Mar 08, 2024 00:10

    Ripoti mpya imefichua kuwa, Marekani imeidhinisha kimya kimya mauzo 100 ya silaha kwa Israel tangu utawala huo wa Kizayuni uanzishe vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza Oktoba 7, 2023.

  • Ukosoaji wa UN wa mashambulizi ya makusudi ya Israel dhidi ya misafara ya misaada huko Gaza

    Ukosoaji wa UN wa mashambulizi ya makusudi ya Israel dhidi ya misafara ya misaada huko Gaza

    Mar 06, 2024 08:01

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki ya Chakula ametangaza kwamba, jeshi la Israel linashambulia kwa makusudi misafara ya misaada ya kibinadamu huko Gaza licha ya kujua njia za misafara hiyo.

  • Kuongezeka uungaji mkono wa wananchi wa Marekani kwa Wapalestina

    Kuongezeka uungaji mkono wa wananchi wa Marekani kwa Wapalestina

    Mar 05, 2024 04:12

    Matokeo ya uchunguzi wa maaoni uliofanywa na jarida la Wall Street Journal yanaonyesha kuwa, wananchi wengi wa Marekani hawaridhishwi na utendaji kazi wa Rais Joe Biden katika vita vya Gaza.

  • Kuongezeka mgawanyiko katika Baraza la Mawaziri la Vita la utawala wa Kizayuni kutokana na safari ya Gantz nchini Marekani

    Kuongezeka mgawanyiko katika Baraza la Mawaziri la Vita la utawala wa Kizayuni kutokana na safari ya Gantz nchini Marekani

    Mar 03, 2024 22:58

    Safari ya Benny Gantz, mmoja wa wajumbe wa Baraza la Mawaziri la Vita la utawala wa Kizayuni huko Marekani imekosolewa vikali na Benyamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS