Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Vikosi vya Yemen vyashambulia tena manowari ya US kwa makombora

    Vikosi vya Yemen vyashambulia tena manowari ya US kwa makombora

    Feb 01, 2024 07:36

    Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vimefanya shambulio jipya la makombora dhidi ya meli ya kivita ya Marekani katika pwani ya Bahari Nyekundu.

  • Gazeti la US: Wanajeshi wa US walioko Iraq wamewekwa tayari kwenda kuisaidia Israel katika vita vya Gaza

    Gazeti la US: Wanajeshi wa US walioko Iraq wamewekwa tayari kwenda kuisaidia Israel katika vita vya Gaza

    Jan 31, 2024 09:42

    Gazeti la mtandaoni la The Intercept limeripoti kuwa, wanajeshi wa Marekani walioko nchini Iraq wamewekwa tayari ili itakapohitajika wakatoe msukumo na msaada katika mashambulio ya vita vya nchi kavu vya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza uliozingirwa.

  • Ukraine ina wasiwasi wa kupunguziwa misaada ya Magharibi

    Ukraine ina wasiwasi wa kupunguziwa misaada ya Magharibi

    Jan 31, 2024 07:21

    Rais wa Ukraine amekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ni dhaifu mkabala wa Russia na kusema: Ulaya peke yake haiwezi kuisaidia Ukraine dhidi ya Russia bila uungaji mkono wa Marekani.

  • Kushitakiwa Biden katika mahakama ya California kwa kuunga mkono mauaji ya kimbari

    Kushitakiwa Biden katika mahakama ya California kwa kuunga mkono mauaji ya kimbari

    Jan 29, 2024 03:34

    Sambamba na kuendelea jinai za Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza na sambamba na hatua ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ ya kutoa hukumu dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa jinai zake hizo, hivi sasa wimbi la kulaani jinai za Wazayuni na waungaji mkono wake nalo linazidi kuwa kubwa, siku baada ya siku.

  • Askari 3 wa Marekani wauawa, 30 wajeruhiwa Jordan; Muqawama wa Iraq wathibitisha kuhusika

    Askari 3 wa Marekani wauawa, 30 wajeruhiwa Jordan; Muqawama wa Iraq wathibitisha kuhusika

    Jan 29, 2024 00:19

    Askari watatu wa jeshi la Marekani wameuawa katika shambulio la ndege zisizo na rubani kwenye kambi ndogo ya jeshi hilo iliyoko nchini Jordan.

  • Trump: Iwapo Marekani itashambuliwa, NATO haitakuja kuiokoa

    Trump: Iwapo Marekani itashambuliwa, NATO haitakuja kuiokoa

    Jan 28, 2024 23:32

    Rais wa zamani wa Marekani amesema kwamba, haitakidi kuwa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO litaenda kuikoa Marekani iwapo nchi hiyo itakabiliwa na mashambulizi.

  • Biden ashtakiwa Marekani kwa

    Biden ashtakiwa Marekani kwa "kushiriki" mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel Gaza

    Jan 28, 2024 02:48

    Mahakama moja ya mji wa Oakland katika jimbo la California, imesikiliza mashtaka yaliyofunguliwa dhidi ya Rais wa Marekani Joe Biden na maafisa kadhaa waandamizi wa nchi hiyo ya "kushiriki katika mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel Gaza".

  • Upinzani wa China kwa hatua ya Marekani ya kuishambulia kijeshi Yemen

    Upinzani wa China kwa hatua ya Marekani ya kuishambulia kijeshi Yemen

    Jan 26, 2024 23:04

    Wang Wenbing, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halijatoa kibali kwa mtu yeyote kutumia nguvu dhidi ya Yemen, akimaanisha hujuma na mashambulio ya kijeshi yanayofanywa na Marekani na Uingereza dhidi ya ngome na vituo vya harakati ya Ansarullah ya Yemen.

  • Tangazo la Marekani la kuwa tayari kwa mazungumzo ya kuhitimisha kuwepo kwake kijeshi nchini Iraq

    Tangazo la Marekani la kuwa tayari kwa mazungumzo ya kuhitimisha kuwepo kwake kijeshi nchini Iraq

    Jan 26, 2024 04:27

    Afisa mmoja wa Marekani ambaye hakutaka jina lake litajwe amesema, katika barua ambayo balozi wa Marekani mjini Baghdad, Alina Romanovsky aliiwasilisha siku ya Jumatano kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq Fuad Hossein, Washington imetangaza kuwa iko tayari kuanza mazungumzo na Baghdad ya kuhitimisha uwepo kijeshi wa nchi hiyo na washirika wake katika ardhi ya Iraq.

  • Seneta Sanders: Washington ni mshirika wa jinai za Israel huko Gaza

    Seneta Sanders: Washington ni mshirika wa jinai za Israel huko Gaza

    Jan 25, 2024 08:12

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amesema serikali ya Washington ni mshirika katika jinai za kutisha za Israel huko Ukanda wa Gaza kutokana na uungaji mkono wake kwa utawala huo unaokalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS