Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Mahakama ya Jinai Misri yawahukumu watu 47 vifungo tofauti

    Mahakama ya Jinai Misri yawahukumu watu 47 vifungo tofauti

    Nov 05, 2016 23:13

    Mahakama ya Jinai nchini Misri imetoa hukumu ya vifungo vya miaka 7 hadi 15 jela kwa watu 47 baada ya kuwapata na hatia ya kupiga kambi katika Medani ya Rābiʻa al-ʻAdawiyya nchini humo.

  • Wawili wahukumiwa kunyongwa nchini Misri kwa ugaidi

    Wawili wahukumiwa kunyongwa nchini Misri kwa ugaidi

    Nov 05, 2016 11:36

    Mahakama moja nchini Misri imewahukumu kifo watu wawili kwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi na wengine 12 vifungo virefu na vifupi kwa kosa hilo hilo.

  • Watu 10 wauawa kaskazini mwa Misri

    Watu 10 wauawa kaskazini mwa Misri

    Oct 30, 2016 12:07

    Watu 10 wameuawa katika mapigano baina ya jeshi la Misri na watu wenye silaha katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Waziri wa Awqaf Misri asisitiza kuhusu vita dhidi ya wenye misimamo mikali

    Waziri wa Awqaf Misri asisitiza kuhusu vita dhidi ya wenye misimamo mikali

    Oct 28, 2016 23:08

    Waziri wa Awqaf nchini Misri amesisitiza kuhusu ulazima wa kukabiliana na misimamo mikali ya kidini sambamba na kuwepo jitihada za kueneza amani katika jamii.

  • Misri yaidhinisha kifungo cha maisha jela dhidi ya kiongozi wa Ikhwani

    Misri yaidhinisha kifungo cha maisha jela dhidi ya kiongozi wa Ikhwani

    Oct 27, 2016 04:33

    Mahakama ya Rufaa nchini Misri jana Jumatano ilitilia nguvu hukumu iliyotolewa na mahakama ya chini ya kifungo cha maisha jela kwa kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin.

  • Luteka ya pamoja ya kijeshi ya Russia na Misri yamalizika

    Luteka ya pamoja ya kijeshi ya Russia na Misri yamalizika

    Oct 26, 2016 11:47

    Televisheni ya al Ekhbariya ya nchini Syria imetangaza habari ya kumalizika mazoezi ya pamoja ya kijeshi baina ya Misri na Russia yaliyobeba kaulimbiu ya "Walinzi wa Urafiki 2016."

  • Mahakama ya Misri yathibitisha hukumu ya kifungo jela dhidi ya Morsi

    Mahakama ya Misri yathibitisha hukumu ya kifungo jela dhidi ya Morsi

    Oct 23, 2016 00:56

    Mahakama ya rufaa nchini Misri imethibitisha na kupitisha rasmi hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela dhidi ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo Muhammad Morsi.

  • Wanaharakati wa Misri wataka kufanyike mapinduzi ya wenye njaa dhidi ya al Sisi

    Wanaharakati wa Misri wataka kufanyike mapinduzi ya wenye njaa dhidi ya al Sisi

    Oct 15, 2016 23:08

    Wanaharakati wa kambi ya upinzani nchini Misri wamewataka wananchi wa nchi hiyo kufanya maandamano dhidi ya Rais Abdul Fattah al Sisi wa nchi hiyo.

  • Mbunge: Uwezekano wa Misri kukata uhusiano na Saudia ni mkubwa

    Mbunge: Uwezekano wa Misri kukata uhusiano na Saudia ni mkubwa

    Oct 15, 2016 04:50

    Mbunge mmoja nchini Misri ameonya kuwa uwezekano wa Cairo kukata uhusiano wake na Saudi Arabia ni mkubwa sana na kusisitiza kuwa iwapo nchi mbili hizo zitakata uhusiano wao, itakuwa ni kwa manufaa na maslahi ya Ulimwengu wa Kiarabu.

  • Wanajeshi wa Russia wawasili Misri kwa ajili ya manuva ya kijeshi

    Wanajeshi wa Russia wawasili Misri kwa ajili ya manuva ya kijeshi

    Oct 14, 2016 10:55

    Kundi moja la wanajeshi maalumu wa kikosi cha anga wa Russia wamewasili Misri kwa lengo la kushiriki kwenye manuva ya kijeshi dhidi ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS