-
Waziri Mkuu wa Uingereza atembelea msikiti akiwa amevaa mtandio kichwani
Feb 19, 2018 12:09Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May ametembelea msikiti mmoja mjini London akiwa amevaa mtandio kichwani ikiwa ni sehemu ya kushiriki katika kampeni maalumu ya Waislamu wa Uingereza inayoendeshwa chini ya kaulimbiu ya "Tembelea Msikiti Wangu."
-
Wapalestina waandamana katika "Ijumaa ya Ghadhabu" dhidi ya Trump
Dec 15, 2017 13:32Raia wa Palestina leo Ijumaa wamefanya maandamano katika ardhi zote zinazokaliwa kwa mabavu chini ya anwani "Ijumaa ya Hasira" ili kulalamikia na kupinga hatua ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuutangaza mji mtakatifu wa Quds kuwa mji mkuu wa Israel.
-
Wazayuni waunda kikosi kipya cha polisi ili kuwakandamiza zaidi Waislamu
Nov 02, 2017 00:41Waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa amri ya kuundwa kikosi kingine maalumu kitakachowakandamiza Wapalestina katika Msikiti wa al Aqsa.
-
Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa
Oct 22, 2017 11:02Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa na kuvunjia heshima eneo hilo takatifu la Kiislamu.
-
Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa
Aug 28, 2017 23:53Wanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Quds wametoa wito kwa Waislamu Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa mjini humo.
-
Wazayuni wandelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Aug 28, 2017 10:52Walowezi wa Kizayuni wameuvamia kwa mara nyingine tena Msikiti wa al Aqsa na kukivunjia heshima Kibla hicho cha Kwanza cha Waislamu.
-
Nguzo za msikiti mtukufu wa Al-Aqsa zinakaribia kuporomoka
Aug 22, 2017 11:00Taasisi ya Kimataifa ya Quds imetangaza kuwa nguzo za msingi wa msikiti wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu zinakaribia kuporomoka kutokana na mashimo na njia za chini ya ardhi zinazochimbwa kiholela na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Walowezi wa Kizayuni wauvamia msikiti wa al-Aqswa
Aug 03, 2017 09:41Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo Alkhamisi wameuvamia tena msikiti wa al-Aqswa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu huko Baytul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Israel imepora nyaraka muhimu zaidi za msikiti wa al-Aqsa kipindi hiki
Jul 31, 2017 03:48Mkuu wa kituo cha kimataifa cha Quds amesema kuwa, hadi sasa nyaraka muhimu za idara ya waqfu wa Kiislamu mjini Qudsi zilizokuwa katika milango ya msikiti wa al-Aqsa zimeporwa kikamilifu na Wazayuni.
-
Kiongozi: Hija ni fursa ya kutangaza msimamo kuhusu msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo
Jul 30, 2017 10:45Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hija ni fursa bora ya mahali na wakati kwa Umma wa Kiislamu kutangaza misimamo kuhusu kadhia ya Palestina, msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.