Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Magaidi wafanya mauaji mengine ya kinyama nchini Msumbiji

    Magaidi wafanya mauaji mengine ya kinyama nchini Msumbiji

    Jun 06, 2018 07:27

    Kundi la kigaidi linaloaminika kuwa na mfungamano na al-Shabaab ya Somalia limevamia kijiji kimoja katika mkoa wa Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji na kuua watu saba kwa kuwakata vichwa.

  • Magaidi waua watu 10 kwa kuwakata vichwa nchini Msumbiji

    Magaidi waua watu 10 kwa kuwakata vichwa nchini Msumbiji

    May 29, 2018 13:46

    Kundi moja la kigaidi limevamia kijiji cha Monjane kaskazini mwa Msumbiji na kuua watu kumi wakiwemo watoto wadogo kwa kuwakata vichwa.

  • Afonso Dhlakama, kiongozi wa zamani wa waasi Msumbiji, afariki dunia

    Afonso Dhlakama, kiongozi wa zamani wa waasi Msumbiji, afariki dunia

    May 04, 2018 13:39

    Kiongozi wa zamani wa waasi nchini Msumbuji, Afonso Dhlakama, ambaye alikuwa agombee urais mwakani, amefariki dunia Alhamisi akiwa na umri wa miaka 65.

  • Rais wa Msumbiji awapiga kalamu nyekundu mawaziri wanne

    Rais wa Msumbiji awapiga kalamu nyekundu mawaziri wanne

    Dec 13, 2017 15:18

    Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji amewafuta kazi mawaziri wanne wakiwemo wa mambo ya nje na mafuta. Hata hivyo ofisi yake haijatoa sababu ya kupigwa kalamu nyekundu mawaziri hao.

  • Rais wa Msumbiji awafuta kazi wakuu wa upelelezi na majeshi

    Rais wa Msumbiji awafuta kazi wakuu wa upelelezi na majeshi

    Oct 25, 2017 07:08

    Rais wa Msumbiji amewavuta kazi Mkuu wa Shirika la Upelelezi na Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo wiki mbili baada ya mauaji ya watu 16 katika shambulizi lililofanyika kaskazini mwa nchi hiyo.

  • 16 wauawa katika mapigano na polisi nchini Msumbiji

    16 wauawa katika mapigano na polisi nchini Msumbiji

    Oct 08, 2017 04:46

    Watu 16 wameuawa baada ya watu wenye silaha kushambulia vituo vya polisi katika mji mmoja mdogo wa kaskazini mwa Msumbiji. Polisi wawili na watu 14 wenye silaha wameuawa katika mlolongo wa mashambulizi dhidi ya vituo vya polisi katika mji mdogo wa Mocimboa de Praia, kaskazini mwa Msumbiji.

  • Watu 1,200 waambukizwa kipindupindu nchini Msumbiji

    Watu 1,200 waambukizwa kipindupindu nchini Msumbiji

    Mar 15, 2017 02:29

    Wizara ya Afya ya Msumbiji imetangaza kwamba mamia ya watu wameathiriwa na ugonjwa wa kipindupindu katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Muda wa usitishwaji vita waongezwa Msumbiji

    Muda wa usitishwaji vita waongezwa Msumbiji

    Mar 04, 2017 03:22

    Chama kikuu cha upinzani Msumbiji, Renamo, ambacho pia ni harakati ya waasi, kimeongeza muda wa usitishwaji mapigano kwa miezi mingine miwili ili kutoa mwanya wa mazungumzo na serikali ya Rais Filipe Nyusi.

  • Watu 12 wafariki dunia kwenye mgodi nchini Msumbiji

    Watu 12 wafariki dunia kwenye mgodi nchini Msumbiji

    Feb 05, 2017 14:20

    Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha baada ya mgodi kuwaporomokea katika mkoa wa Zambézia nchini Msumbiji.

  • Chama kikuu cha upinzani Msumbiji charefusha muda wa usitishwaji vita

    Chama kikuu cha upinzani Msumbiji charefusha muda wa usitishwaji vita

    Jan 03, 2017 14:21

    Chama kikuu cha upinzani nchini Msumbiji kimetangaza kurefusha muda wa usitishaji vita kati yake na serikali kwa muda wa miezi miwili, ili kutoa nafasi kwa mazungumzo ya amani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS