-
Magaidi wafanya mauaji mengine ya kinyama nchini Msumbiji
Jun 06, 2018 07:27Kundi la kigaidi linaloaminika kuwa na mfungamano na al-Shabaab ya Somalia limevamia kijiji kimoja katika mkoa wa Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji na kuua watu saba kwa kuwakata vichwa.
-
Magaidi waua watu 10 kwa kuwakata vichwa nchini Msumbiji
May 29, 2018 13:46Kundi moja la kigaidi limevamia kijiji cha Monjane kaskazini mwa Msumbiji na kuua watu kumi wakiwemo watoto wadogo kwa kuwakata vichwa.
-
Afonso Dhlakama, kiongozi wa zamani wa waasi Msumbiji, afariki dunia
May 04, 2018 13:39Kiongozi wa zamani wa waasi nchini Msumbuji, Afonso Dhlakama, ambaye alikuwa agombee urais mwakani, amefariki dunia Alhamisi akiwa na umri wa miaka 65.
-
Rais wa Msumbiji awapiga kalamu nyekundu mawaziri wanne
Dec 13, 2017 15:18Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji amewafuta kazi mawaziri wanne wakiwemo wa mambo ya nje na mafuta. Hata hivyo ofisi yake haijatoa sababu ya kupigwa kalamu nyekundu mawaziri hao.
-
Rais wa Msumbiji awafuta kazi wakuu wa upelelezi na majeshi
Oct 25, 2017 07:08Rais wa Msumbiji amewavuta kazi Mkuu wa Shirika la Upelelezi na Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo wiki mbili baada ya mauaji ya watu 16 katika shambulizi lililofanyika kaskazini mwa nchi hiyo.
-
16 wauawa katika mapigano na polisi nchini Msumbiji
Oct 08, 2017 04:46Watu 16 wameuawa baada ya watu wenye silaha kushambulia vituo vya polisi katika mji mmoja mdogo wa kaskazini mwa Msumbiji. Polisi wawili na watu 14 wenye silaha wameuawa katika mlolongo wa mashambulizi dhidi ya vituo vya polisi katika mji mdogo wa Mocimboa de Praia, kaskazini mwa Msumbiji.
-
Watu 1,200 waambukizwa kipindupindu nchini Msumbiji
Mar 15, 2017 02:29Wizara ya Afya ya Msumbiji imetangaza kwamba mamia ya watu wameathiriwa na ugonjwa wa kipindupindu katika nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Muda wa usitishwaji vita waongezwa Msumbiji
Mar 04, 2017 03:22Chama kikuu cha upinzani Msumbiji, Renamo, ambacho pia ni harakati ya waasi, kimeongeza muda wa usitishwaji mapigano kwa miezi mingine miwili ili kutoa mwanya wa mazungumzo na serikali ya Rais Filipe Nyusi.
-
Watu 12 wafariki dunia kwenye mgodi nchini Msumbiji
Feb 05, 2017 14:20Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha baada ya mgodi kuwaporomokea katika mkoa wa Zambézia nchini Msumbiji.
-
Chama kikuu cha upinzani Msumbiji charefusha muda wa usitishwaji vita
Jan 03, 2017 14:21Chama kikuu cha upinzani nchini Msumbiji kimetangaza kurefusha muda wa usitishaji vita kati yake na serikali kwa muda wa miezi miwili, ili kutoa nafasi kwa mazungumzo ya amani.