Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Serikali ya Niger yatangaza maadhimisho ya mapinduzi kuwa ni

    Serikali ya Niger yatangaza maadhimisho ya mapinduzi kuwa ni "Sikukuu ya Kitaifa"

    Jul 24, 2024 02:35

    Serikali ya kijeshi ya Niger imetangaza Julai 26 kuwa ni Sikukuu ya Kitaifa itakayokuwa ikiadhimishwa kila mwaka nchini humo kusherehekea matendo ya kizalendo ya watu wa Niger.

  • Magaidi 6 wauliwa na jeshi la Niger magharibi mwa nchi

    Magaidi 6 wauliwa na jeshi la Niger magharibi mwa nchi

    Jul 12, 2024 06:38

    Kwa uchache magaidi sita wameuliwa na vikosi vya ulinzi na usalama vya Niger karibu na kijiji cha Abdou Gangani katika mkoa wa magharibi wa nchi hiyo wa Tillabery.

  • Kupasishwa mpango wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Kupasishwa mpango wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Jul 06, 2024 06:48

    Baada ya miezi minne, serikali ya Marekani imetangaza kwamba vikosi vyake vyote vya kijeshi vitaondoka nchini Niger hivi karibuni.

  • Makumi ya askari wauawa katika shambulio la kigaidi Niger

    Makumi ya askari wauawa katika shambulio la kigaidi Niger

    Jun 26, 2024 11:50

    Askari wasiopungua 20 wa jeshi la Niger wameuauwa katika shambulio la 'muungano wa makundi ya kigaidi' magharibi mwa nchi hiyo.

  • Niger yaifutia leseni kampuni ya fueli nyuklia ya Ufaransa

    Niger yaifutia leseni kampuni ya fueli nyuklia ya Ufaransa

    Jun 21, 2024 07:44

    Niger imebatilisha kibali cha kuliruhusu shirika moja la nishati la Ufaransa kuendelea kuzalisha fueli nyuklia katika moja ya migodi mikubwa zaidi ya urani duniani.

  • Waziri wa Biashara na Viwanda wa Niger asisitiza juu ya kuimarisha uhusiano na Iran

    Waziri wa Biashara na Viwanda wa Niger asisitiza juu ya kuimarisha uhusiano na Iran

    May 03, 2024 10:43

    Waziri wa Biashara na Viwanda wa Jamhuri ya Niger amesisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano baina ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyanja mbalimbali zikiwemo za kiuchumi.

  • Mji wa Agadez nchini Niger kwa mara nyingine umekuwa kitovu cha wahajiri kuelekea Ulaya

    Mji wa Agadez nchini Niger kwa mara nyingine umekuwa kitovu cha wahajiri kuelekea Ulaya

    May 02, 2024 02:35

    Maidani ya usafiri wa umma katika mji wa Agadez huko kaskazini mwa Niger imekuwa ikishuhudia wimbi la watu wanaowasili na kuondoka tangu utawala wa kijeshi wa nchi hiyo ubatilishe amri ya kupiga marufuku usafirishaji wa wahamiaji haramu na shughuli zote zinazohusiana na wahajiri huko Niger Novemba mwaka jana.

  • Kushindwa njama za Marekani za kutaka kuendelea kuwa na uwepo wa kijeshi nchini Niger

    Kushindwa njama za Marekani za kutaka kuendelea kuwa na uwepo wa kijeshi nchini Niger

    Apr 24, 2024 02:32

    Baada ya kugonga mwamba mazungumzo ya kisiasa ya Marekani ya kudumisha uwepo wake wa kijeshi nchini Niger, kwa mara nyingine tena raia katika nchi hiyo ya Kiafrika wametoa mwito wa kuondoka kwa wanajeshi wa Marekani katika nchi yao kwa kufanya maandamano mbele ya kambi ya kijeshi ya Marekani kaskazini mwa Niger.

  • Waniger waandamana kutaka majeshi ya kigeni yaondoke nchini mwao

    Waniger waandamana kutaka majeshi ya kigeni yaondoke nchini mwao

    Apr 14, 2024 11:10

    Mamia ya watu wameshiriki katika maandamano ya kupinga uwepo wa majeshi ya kigeni nchini Niger, vikiwemo vikosi vya jeshi vya Marekani ambayo ina kambi ya kijeshi kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Hatua ya serikali ya Niger ya kufuta makubaliano ya kijeshi na Marekani

    Hatua ya serikali ya Niger ya kufuta makubaliano ya kijeshi na Marekani

    Mar 20, 2024 02:36

    Amadou Abdurrahman, Msemaji wa Serikali ya Niger, ametangaza kupitia taarifa kwamba nchi hiyo imefuta makubaliano yote ya kijeshi na Marekani ambayo yaliruhusu nchi hiyo ya Magharibi kuweka majeshi yake katika ardhi ya Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS