-
MSF: 180 wamepoteza maisha katika kambi ya wakimbizi Nigeria
Jun 23, 2016 03:30Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka MSF limesema makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mkurupuko wa ugonjwa wa kuendesha na kutapika katika kambi moja ya wakimbizi nchini Nigeria, katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.
-
Nigeria, Chad, Niger zaanzisha oparesheni ya pamoja dhidi ya Boko Haram
Jun 22, 2016 02:37Majeshi ya Nigeria, Niger na Chad yameanzisha oparesheni ya pamoja dhidi ya magaidi wakufurishaji wa Boko Haram.
-
Sheikh Zakzaky alishukuru taifa la Iran kwa kuwasaidia wanaodhulumiwa
Jun 21, 2016 08:59Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa na jeshi la nchi hiyo amewashukuru wananchi wa Iran kwa kuwafikishia walimwengu ujumbe wa kudhulumiwa na kukandamizwa wa harakati hiyo.
-
Boko Haram waua watu 4 na kuteka nyara wanawake 3 Chibok, Nigeria
Jun 15, 2016 11:06Wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameua wanakijiji wasiopungua wanne na kuwateka nyara wanawake watatu karibu na mji wa Chibok ulioko kaskazini mashariki mwa Nigeria ambako miaka miwili nyuma waliwateka nyara wasichana zaidi ya 200.
-
Jeshi Nigeria laangamiza Boko Haram
Jun 14, 2016 08:16Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limefanikiwa kusafisha maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo kwa kuangamiza makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Vikosi vya ulinzi vya Nigeria vyalaumiwa kwa kukandamiza raia
Jun 10, 2016 02:53Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Amnesty International limevilaumu vyombo vya ulinzi vya Nigeria kwa kukandamiza waandamanaji wasio na silaha.
-
Walipiza Kisasi wa Delta, Nigeria: Msishambulie askari wala kuteka nyara raia
Jun 05, 2016 10:56Kundi la wanamgambo linalojiita Walipiza Kisasi wa Niger Delta nchini Nigeria limeyataka makundi mengine ya wanamgambo nchini humo kutoshambulia askari wala kuteka nyara raia.
-
Niger wafanya maandamano kulaani jinai za Boko Haram
Jun 05, 2016 09:54Wananchi wa mji mkuu wa Niger, wamefanya maandamano makubwa ya kutangaza uungaji mkono wao kwa wahanga wa mashambulizi ya hivi karibuni ya genge la kigaidi la Boko Haram.
-
Boko Haram yadhibiti mji wa mpaka na Niger
Jun 04, 2016 03:43Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la Nigeria limeteka na kudhibiti mji wa Bosso, ulioko kusini mashariki mwa mpaka wa Niger.
-
Buhari: Jeshi la Nigeria litaendelea kupambana na wanamgambo wa Niger Delta
May 30, 2016 00:09Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo itaendelea kusisitiza umuhimu wa kuendelezwa mapambano dhidi ya waasi wa eneo la Niger Delta nchini humo.