Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • MSF: 180 wamepoteza maisha katika kambi ya wakimbizi Nigeria

    MSF: 180 wamepoteza maisha katika kambi ya wakimbizi Nigeria

    Jun 23, 2016 03:30

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka MSF limesema makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mkurupuko wa ugonjwa wa kuendesha na kutapika katika kambi moja ya wakimbizi nchini Nigeria, katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

  • Nigeria, Chad, Niger  zaanzisha oparesheni ya pamoja dhidi ya Boko Haram

    Nigeria, Chad, Niger zaanzisha oparesheni ya pamoja dhidi ya Boko Haram

    Jun 22, 2016 02:37

    Majeshi ya Nigeria, Niger na Chad yameanzisha oparesheni ya pamoja dhidi ya magaidi wakufurishaji wa Boko Haram.

  • Sheikh Zakzaky alishukuru taifa la Iran kwa kuwasaidia wanaodhulumiwa

    Sheikh Zakzaky alishukuru taifa la Iran kwa kuwasaidia wanaodhulumiwa

    Jun 21, 2016 08:59

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa na jeshi la nchi hiyo amewashukuru wananchi wa Iran kwa kuwafikishia walimwengu ujumbe wa kudhulumiwa na kukandamizwa wa harakati hiyo.

  • Boko Haram waua watu 4 na kuteka nyara wanawake 3 Chibok, Nigeria

    Boko Haram waua watu 4 na kuteka nyara wanawake 3 Chibok, Nigeria

    Jun 15, 2016 11:06

    Wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameua wanakijiji wasiopungua wanne na kuwateka nyara wanawake watatu karibu na mji wa Chibok ulioko kaskazini mashariki mwa Nigeria ambako miaka miwili nyuma waliwateka nyara wasichana zaidi ya 200.

  • Jeshi Nigeria laangamiza Boko Haram

    Jeshi Nigeria laangamiza Boko Haram

    Jun 14, 2016 08:16

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limefanikiwa kusafisha maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo kwa kuangamiza makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Vikosi vya ulinzi vya Nigeria vyalaumiwa kwa kukandamiza raia

    Vikosi vya ulinzi vya Nigeria vyalaumiwa kwa kukandamiza raia

    Jun 10, 2016 02:53

    Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Amnesty International limevilaumu vyombo vya ulinzi vya Nigeria kwa kukandamiza waandamanaji wasio na silaha.

  • Walipiza Kisasi wa Delta, Nigeria: Msishambulie askari wala kuteka nyara raia

    Walipiza Kisasi wa Delta, Nigeria: Msishambulie askari wala kuteka nyara raia

    Jun 05, 2016 10:56

    Kundi la wanamgambo linalojiita Walipiza Kisasi wa Niger Delta nchini Nigeria limeyataka makundi mengine ya wanamgambo nchini humo kutoshambulia askari wala kuteka nyara raia.

  • Niger wafanya maandamano kulaani jinai za Boko Haram

    Niger wafanya maandamano kulaani jinai za Boko Haram

    Jun 05, 2016 09:54

    Wananchi wa mji mkuu wa Niger, wamefanya maandamano makubwa ya kutangaza uungaji mkono wao kwa wahanga wa mashambulizi ya hivi karibuni ya genge la kigaidi la Boko Haram.

  • Boko Haram yadhibiti mji wa mpaka na Niger

    Boko Haram yadhibiti mji wa mpaka na Niger

    Jun 04, 2016 03:43

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la Nigeria limeteka na kudhibiti mji wa Bosso, ulioko kusini mashariki mwa mpaka wa Niger.

  • Buhari: Jeshi la Nigeria litaendelea kupambana na wanamgambo wa Niger Delta

    Buhari: Jeshi la Nigeria litaendelea kupambana na wanamgambo wa Niger Delta

    May 30, 2016 00:09

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo itaendelea kusisitiza umuhimu wa kuendelezwa mapambano dhidi ya waasi wa eneo la Niger Delta nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS