-
Boko Haram yafanya mashambulizi ya kushtukiza na kuua 26 Borno, Nigeria
Mar 10, 2023 07:16Kwa akali watu 26 wameuawa katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulio ya kushtukiza yaliyofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram.
-
Waislamu Nigeria waadhimisha kumbukumbu ya mazazi ya Imam Mahdi (AF)
Mar 08, 2023 10:26Waislamu wa madhehebu ya Shia na wafuasi na wapenzi wa Ahlu Bait (AS) nchini Nigeria wamejiunga na wenzao kote duniani katika maadhimisho ya kukumbuka kuzaliwa Imam wa Zama, Mahdi (AF).
-
Ushindi wa mgombea wa chama tawala katika uchaguzi wa Nigeria na mustakbali wa nchi hiyo
Mar 01, 2023 14:09Kwa mujibu wa tangazo la Tume Huru ya Uchaguzi ya Nigeria (INEC), "Bola Ahmed Tinubu" aliyekuwa mgombea wa chama tawala cha "All Progressives Congress" ameshinda uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Tinubu wa chama tawala Nigeria atangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais
Mar 01, 2023 04:08Mgombea wa chama tawala nchini Nigeria, Bola Tinubu ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumamosi iliyopita.
-
Wananchi wa Nigeria wapiga kura kuchagua Rais mpya na Wabunge
Feb 25, 2023 07:18Mamilioni ya wapigakura nchini Nigeria wameelekea katika masanduku ya kupigia kura leo Jumamosi kushiriki uchaguzi wa rais wenye mchuano mkali, kumtafuta mrithi wa Muhammadu Buhari, ambaye anamaliza mihula yake miwili ya uongozi.
-
Atiku Abubakar Mgombea kiti cha urais Nigeria anajaribu tena karata yake katika uchaguzi wa Jumamosi
Feb 23, 2023 03:07Atiku Abubakar Makamu wa Rais wa zamani wa Nigeria kwa mara nyingine tena anawania wadhifa wa ngazi ya juu katika uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo uliopangwa kufanyika Jumamosi keshokutwa.
-
Rais Buhari wa Nigeria aongeza muda wa kubadilisha noti za zamani hadi Aprili
Feb 17, 2023 13:42Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari, ametoa idhini kwa Benki Kuu ya nchi hiyo kuongeza muda wa mwisho wa kubadilisha noti za zamani za pesa za nchi hiyo hadi Aprili 10 mwaka huu, baada ya uhaba wa pesa kuchochea hasira na ukosoaji wa wananchi kabla ya uchaguzi wa Rais na Bunge baadaye mwezi huu.
-
Uchaguzi wa Nigeria: Jeshi lakanusha madai ya njama ya mapinduzi kabla ya uchaguzi
Feb 13, 2023 11:25Jeshi la Nigeria limekanusha madai ya chama tawala kwamba linapanga kuvuruga uchaguzi ujao wa rais nchini humo
-
IMN: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamekuwa na taathira kubwa kwa watu wa Nigeria
Feb 09, 2023 02:21Mmoja kati ya viongozi wa ngazi ya juu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) amesema kuwa Mapinduzi ya Kiislamu yya Iran yameleta matumaini kote ulimwenguni.
-
Watu 40 wauawa katika mapigano jimboni Katsina, Nigeria
Feb 04, 2023 07:26Watu zaidi ya 40 wameuawa katika mapigano baina ya kundi la wabeba silaha na wanakijiji waliojitolea kulinda usalama katika jimbo la Katsina, kaskazini mwa Nigeria.