Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Jeshi la Nigeria latangaza kuua magaidi 22 wa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria latangaza kuua magaidi 22 wa Boko Haram

    Jul 16, 2018 09:51

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limeua magaidi 22 wa kundi la Boko Haram katika mapigano makali kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Askari 23 wa Nigeria watoweka baada ya shambulizi la Boko Haram

    Askari 23 wa Nigeria watoweka baada ya shambulizi la Boko Haram

    Jul 15, 2018 03:04

    Wanajeshi wasiopungua 23 wa Nigeria hawajulikani walipo baada ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kushambulia msafara wa magari ya jeshi kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Mashinikizo ya Saudia yapelekea Nigeria isimuachilie huru Sheikh Zakzaky

    Mashinikizo ya Saudia yapelekea Nigeria isimuachilie huru Sheikh Zakzaky

    Jul 12, 2018 23:39

    Utawala wa Saudi Arabia unaishinikiza serikali ya Nigeria isimuachilie huru kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Afya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky yazidi kuwa mbaya

    Afya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky yazidi kuwa mbaya

    Jul 11, 2018 03:15

    Habari kutoka kwa watu walio karibu na familia ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ambaye anaendelea kushikiliwa na vyombo vya uusalama vya nchi hiyo zinasema kuwa, hali ya kiafya ya mwanaharakati huyo wa Kiislamu imezidi kuwa mbaya.

  • Maandamano yaendelea Nigeria kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Maandamano yaendelea Nigeria kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Jul 08, 2018 08:57

    Wananchi wameendelea kuandamana katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja wakitaka serikali ya hiyo imuahcilie huru Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo.

  • Magaidi wa Boko Haram waua watu 8 katika hujuma mpakani mwa Nigeria na Cameroon

    Magaidi wa Boko Haram waua watu 8 katika hujuma mpakani mwa Nigeria na Cameroon

    Jul 01, 2018 22:08

    Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia kambi ya wakimbizi wa ndani ya nchi, IDP, katika hujuma waliyotekeleza katika eneo la mpaka wa Nigeria na Cameroon ambapo watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.

  • Watu tisa wafariki baada ya mripuko wa lori la mafuta Nigeria

    Watu tisa wafariki baada ya mripuko wa lori la mafuta Nigeria

    Jun 29, 2018 00:13

    Watu kadhaa wamefariki dunia katika mlipuko wa lori la mafuta uliotokea barabarani jana katika mji wa Lagos nchini Nigeria, na kuchoma magari mengi.

  • Idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila Nigeria yapindukia 200

    Idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila Nigeria yapindukia 200

    Jun 27, 2018 09:08

    Gavana wa jimbo la Plateau lililoko katikati mwa Nigeria amesema idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya kikabila yaliyofanyika mwishoni mwa wiki imepindukia watu 200.

  • Zaidi ya watu 80 wameuawa katika mapigano ya kikabila nchini Nigeria

    Zaidi ya watu 80 wameuawa katika mapigano ya kikabila nchini Nigeria

    Jun 25, 2018 10:11

    Polisi nchini Nigeria imetangaza habari ya kuuawa watu 86 katika mapigano mapya ya kikabila yaliyotokea katikati ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Watu 25 waaga dunia kwa maradhi ya kipindupindu Nigeria

    Watu 25 waaga dunia kwa maradhi ya kipindupindu Nigeria

    Jun 22, 2018 09:40

    Watu wasiopungua 25 wamefariki dunia kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia maradhi ya kipindupindu yaliyoibuka katika maeneo hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS