Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Kufikishwa mahakamani Sheikh Ibrahim Zakzaky na kufanyika kikao cha kimaonyesha

    Kufikishwa mahakamani Sheikh Ibrahim Zakzaky na kufanyika kikao cha kimaonyesha

    May 16, 2018 08:10

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) jana Jumanne alifikishwa mahakama kuu ya jimbo la Kaduna.

  • Sheikh Zakzaky apandishiwa kizimbani jimboni Kaduna

    Sheikh Zakzaky apandishiwa kizimbani jimboni Kaduna

    May 16, 2018 03:04

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky pamoja na mkewe wamefikishwa katika Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna.

  • Wahajiri wa Nigeria waishtaki Italia kwa kukanyaga haki zao

    Wahajiri wa Nigeria waishtaki Italia kwa kukanyaga haki zao

    May 08, 2018 22:28

    Kundi la wahajiri raia wa Nigeria ambao ni manusura wa ajali za boti zilizoshuhudiwa mwaka jana wameifungulia mashitaka serikali ya Italia kwa kukiuka haki zao za binadamu.

  • Watu 1000 waliokuwa wametekwa na Boko Haram Nigeria waokolewa

    Watu 1000 waliokuwa wametekwa na Boko Haram Nigeria waokolewa

    May 08, 2018 03:09

    Jeshi la Nigeria limesema hivi karibuni lilifanikiwa kuwaokoa mateka wapatao elfu 1 kutoka kwa kundi lenye msimamo mkali la Boko Haram katika jimbo la Borno.

  • Tuhuma mpya za serikali ya Nigeria dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Tuhuma mpya za serikali ya Nigeria dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    May 02, 2018 09:34

    Katika hali ambayo serikali ya Nigeria inaendelea kumshikilia kinyume cha sheria kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na kukaidi hukumu ya Mahakama Kuu ya nchi hiyo illiyoamrisha aachiliwe huru, sasa hivi serikali ya Abuja imezuka na tuhuma mpya dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Watu zaidi ya 60 wauawa katika milipuko ya mabomu kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu zaidi ya 60 wauawa katika milipuko ya mabomu kaskazini mashariki mwa Nigeria

    May 01, 2018 23:48

    Watu zaidi ya 60 wameuawa katika matukio mawili ya milipuko ya mabomu ya kujitolea muhanga kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu 11 wauawa Nigeria, misikiti 2 yachomwa moto

    Watu 11 wauawa Nigeria, misikiti 2 yachomwa moto

    Apr 26, 2018 10:54

    Kwa akali watu 11 wameuawa katika jimbo la Benue, katikati mwa Nigeria katika mapigano ya kikabila, siku moja baada ya watu wengine 18 kuuawa wakiwa kanisani katika jimbo hilo.

  • Watu 18 wauawa katika hujuma dhidi ya kanisa nchini Nigeria

    Watu 18 wauawa katika hujuma dhidi ya kanisa nchini Nigeria

    Apr 24, 2018 22:28

    Kundi la watu waliobeba silaha limeshambulia kanisa moja la Kikatoliki nchini Nigeria na kuua watu wasiopungua 18.

  • Mashambulizi pacha ya mabomu yaua kadhaa msikitini Nigeria

    Mashambulizi pacha ya mabomu yaua kadhaa msikitini Nigeria

    Apr 22, 2018 09:31

    Mashambulizi pacha ya mabomu yameua waumini watatu wa Kiislamu msikitini katika mji wa Bama jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu wenye silaha waua watu 27 kaskazini mwa Nigeria

    Watu wenye silaha waua watu 27 kaskazini mwa Nigeria

    Apr 21, 2018 02:47

    Maafisa wa serikali ya Nigeria wametangaza habari ya kuuawa watu 27 katika mashambulizi ya magenge yenye silaha kaskazini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS