Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Kushadidi vitendo vya ukandamizaji vya polisi ya Nigeria dhidi ya Waislamu

    Kushadidi vitendo vya ukandamizaji vya polisi ya Nigeria dhidi ya Waislamu

    Apr 18, 2018 03:31

    Polisi nchini Nigeria imeshadidisha vitendo vya ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo kufuatia kuongezeka maandamano na matakwa ya kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Polisi Nigeria waua mshiriki wa maandamano ya kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Polisi Nigeria waua mshiriki wa maandamano ya kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Apr 16, 2018 23:12

    Mtu moja ameuawa baada ya polisi ya Nigeria kuwafyatulia risasi watu waliokuwa wakiandamana kwa amani wakitaka kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • Nigeria katika mwaka wa nne tangu kutekwa nyara mabinti 200

    Nigeria katika mwaka wa nne tangu kutekwa nyara mabinti 200

    Apr 14, 2018 12:50

    Nigeria imeadhimisha mwaka wa nne tangu kutekwa nyara zaidi ya mabinti 200 wa shule ya sekondari huku ikikaririwa miito ili kuachiwa huru wanafunzi hao. Mabinti hao walitekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram lenye mfungamano na kundi la ukufurishaji la Daesh katika mji wa Chibok kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Magaidi wa Boko Haram wamewateka watoto zaidi ya 1,000 tokea 2013

    Magaidi wa Boko Haram wamewateka watoto zaidi ya 1,000 tokea 2013

    Apr 13, 2018 09:40

    Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wamewateka watoto zaidi ya 1,000 tokea mwaka 2013.

  • Amnesty International yakosoa ongezeko la adhabu ya kifo nchini Nigeria

    Amnesty International yakosoa ongezeko la adhabu ya kifo nchini Nigeria

    Apr 13, 2018 02:57

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limekosoa ongezeko la hukumu za adhabu ya kifo nchini Nigeria.

  • Rais Buhari wa Nigeria asema atagombea muhula wa pili mwakani

    Rais Buhari wa Nigeria asema atagombea muhula wa pili mwakani

    Apr 10, 2018 02:35

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ametangaza kuwa atagombea muhula wa pili katika uchaguzi wa rais nchini humo mwaka ujao 2019.

  • Jeshi la Nigeria lawaokoa mateka 149 kutoka mikononi mwa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria lawaokoa mateka 149 kutoka mikononi mwa Boko Haram

    Apr 09, 2018 22:19

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limewakomboa mateka 149 kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • IMN: Malalamiko yataendelea mpaka Sheikh Zakzaky atakapoachiliwa huru

    IMN: Malalamiko yataendelea mpaka Sheikh Zakzaky atakapoachiliwa huru

    Apr 08, 2018 23:08

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) imesisitiza katika taarifa yake kwamba, maandamano na malalamiko yataendelea hadi pale kiongozi wake Sheikh Ibrahim Zakzaky atakapoachiliwa huru.

  • Maandamano ya kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru Nigeria

    Maandamano ya kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru Nigeria

    Apr 08, 2018 09:19

    Watu wa Nigeria wameendeleza maandamano yao ya kulaani hatua ya serikali kuendelea kumshikilia kinyume cha sheria kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky huku wakitaka aachiliwe huru mara moja.

  • Homa ya Lassa imeshaua zaidi ya watu 140 nchini Nigeria

    Homa ya Lassa imeshaua zaidi ya watu 140 nchini Nigeria

    Apr 05, 2018 10:11

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na homa ya Lassa nchini Nigeria imepindukia 140.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS