Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Boko Haram yaua raia 10 katika shambulizi la kigaidi nchini Nigeria

    Boko Haram yaua raia 10 katika shambulizi la kigaidi nchini Nigeria

    Mar 07, 2018 22:11

    Habari kutoka Nigeria zimeripoti kwamba kwa akali raia 10 wameuawa na wanamgambo wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram katika mashambulizi matatu tofauti, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watu 16 waripotiwa kuuawa katika mapigano ya wakulima na wafugaji Nigeria

    Watu 16 waripotiwa kuuawa katika mapigano ya wakulima na wafugaji Nigeria

    Mar 06, 2018 13:48

    Watu wasiopungua 16 wameuawa katika mapigano yaliyotokea kati ya wakulima na wafugaji huko katikati mwa Nigeria.

  • UN yasimamisha shughuli zake Nigeria baada ya wahudumu wake kuuawa

    UN yasimamisha shughuli zake Nigeria baada ya wahudumu wake kuuawa

    Mar 04, 2018 04:36

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kusitisha shughuli zake za utoaji huduma na misaada ya kibinadamu kaskazini mashariki mwa Nigeria kutokana na kuuawa wafanyakazi wake katika mashambulizi ya hivi karibuni ya magaidi wa Boko Haram.

  • Madaktari wasio na mipaka wasimamisha kazi zao kaskazini mwa Nigeria

    Madaktari wasio na mipaka wasimamisha kazi zao kaskazini mwa Nigeria

    Mar 03, 2018 12:29

    Duru za kuaminika nchini Nigeria zimetangaza habari ya kusimamishwa kazi za madaktari wasio na mipaka kaskazini mwa nchi hiyo kutokana na mashambulizi ya magaidi wa Boko Haram.

  • Makumi wapoteza maisha Nigeria kutokana na homa ya Lassa

    Makumi wapoteza maisha Nigeria kutokana na homa ya Lassa

    Mar 01, 2018 01:07

    Wizara ya Afya ya Nigeria imetangaza kuwa makumi ya watu wamefariki dunia nchini humo kutokana na maambukizi ya homa ya Lassa.

  • Machafuko yaibuka Nigeria baada ya wasichana Wakristo kupenda kuolewa na Waislamu

    Machafuko yaibuka Nigeria baada ya wasichana Wakristo kupenda kuolewa na Waislamu

    Feb 27, 2018 12:56

    Mwenendo wa wasichana wa Kikristo wa jimbo la Kaduna nchini Nigeria kupendelea kuolewa na vijana wa Kiislamu, umepelekea kuibuka vurugu kubwa zilizoendana na umwagaji damu.

  • Makumi ya wasichana watoweka Yobo baada ya shambulizi la Boko Haram

    Makumi ya wasichana watoweka Yobo baada ya shambulizi la Boko Haram

    Feb 21, 2018 11:01

    Zaidi ya wasichana 90 wa shule wanahofiwa kutoweka baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kushambulia kijiji kimoja cha kaskazini mashariki mwa jimbo la Yobo nchini Nigeria.

  • Jeshi la Nigeria lashindwa kumkamata kinara Boko Haram

    Jeshi la Nigeria lashindwa kumkamata kinara Boko Haram

    Feb 20, 2018 12:06

    Vikosi vya jeshi la Nigeria vimeshindwa kumkamata kiongozi wa kundi la magaidi wakufurishaji la Boko Haram, Abubakar Shekau katika oparesheni maalumu iliyofanyika hivi karibuni.

  • Nigeria yawaachia huru mamia ya washukiwa wa Boko Haram

    Nigeria yawaachia huru mamia ya washukiwa wa Boko Haram

    Feb 18, 2018 23:35

    Serikali ya Nigeria imewaachia huru mamia ya watu waliokuwa wakishukiwa kuwa wananchama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram kwa ukosefu wa ushahidi katika kesi zilizokuwa zikiwaandama.

  • Harakati Ya Kiislamu Nigeria yataka haki itendeke kuhusu wafuasi wake waliouawa

    Harakati Ya Kiislamu Nigeria yataka haki itendeke kuhusu wafuasi wake waliouawa

    Feb 17, 2018 13:46

    Wafuasi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana kwa mnasaba wa Siku ya Arubaini ya kuuawa wafuasi kadhaa wa harakati hiyo wakati wakishiriki katika maandamano ya kutaka Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS