-
Waislamu Nigeria waitaka Marekani kusitisha uuzaji silaha kwa serikali ya Abuja
Aug 26, 2017 22:10Waislamu wa Nigeria wameitumia barua serikali ya Marekani wakiitaka isitishe kuiuzia silaha na zana za kijeshi serikali ya Nigeria.
-
Panya wavamia ofisi ya rais Nigeria, kikao cha baraza la mawaziri chaahirishwa
Aug 23, 2017 09:28Kikao cha kwanza cha baraza la mawaziri Nigeria ambacho kilikuwa kifanyike leo baada ya kurejea nyumbani Rais Muhammadu Buhari kutoka likizo ya miezi mitatu ya kitiba Uingereza kimeahirishwa.
-
Shambulio la kigaidi la Boko Haram laua raia wasiopungua sita kaskazini mashariki mwa Nigeria
Aug 23, 2017 03:17Watu wasiopungua sita wameuawa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Rais Buhari arejea Nigeria baada ya kuwa nje kwa miezi mitatu
Aug 20, 2017 00:13Hatimaye Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amerejea nyumbani katika mji mkuu Abuja, baada ya kuwa nje ya nchi kwa miezi mitatu akipata matibabu katika mji mkuu wa Uingereza London.
-
Wasichana zaidi ya 100 wa Chibok warejea uraiani salama
Aug 18, 2017 22:02Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa wasichana zaidi ya mia moja waliokuwa wametekwa nyara na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram mwaka 2014 sasa wako tayari kurejea katika maisha ya kawaida baada ya kupata matibabu na huduma za kisaikolojia.
-
Maulama ya Kisuni na Kishia wataka kuweko vita vya kweli dhidi ya magaidi barani Afrika
Aug 18, 2017 10:35Maulama wa Kisuni na Kishia wa Lebanon wamesisitiza udharura wa kuweko vita vya kweli na vyenye mpangilio dhidi ya magaidi katika nchi za Kiafarika.
-
Iran yalaani shambulio la kigaidi lilioua na kujeruhi zaidi ya 100 Nigeria
Aug 16, 2017 22:08Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililosababisha mauaji ya makumi ya watu nchini Nigeria usiku wa kuamkia jana Jumatano.
-
Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria
Aug 15, 2017 23:57Watu 27 wameuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria na wengine 83 kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi lililotekelezwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Wanigeria waandamana, wamtaka Buhari ajiuzulu
Aug 14, 2017 02:50Wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano makubwa wakitaka Rais Muhammadu Buhari wa nchi hiyo aliyeko London nchini Uingereza arejee nyumbani na kujiuzulu.
-
Wanajeshi wa Nigeria washambulia kambi ya UN katika mji wa Maiduguri
Aug 11, 2017 21:53Jeshi la Nigeria limefanya shambulio la kushtukiza katika kambi ya Umoja wa Mataifa katika mji wa Maiduguri kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ambao ni kitovu cha mapigano kati ya jeshi hilo na wanamgambo wa kitakfiri wa kundi la Boko Haram.